Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia.

Mkajifunze kuheshimu haki za wengine kama nyie mnavyotaka haki zenu ziheshimiwe, msijione bora zaidi ya wengine mpaka kuwasababishia maumivu ya aina yoyote.

Mmefurahi kutoka jela ila mjue sasa mna jukumu la kulinda raia wengine wasio wa imani kama yenu, muache mihemko, fanyeni yenu muwaache wengine wafanye yao kwa uhuru wao, hii Tanzania ni yetu sote, hakuna alie juu ya mwingine wala hatakuwepo.
Kwa hivyo shitaka lao ndio liliambatana na hayo uliyoyasema! ikiwa hujui ondoa chuki mbona mnadhalilisha wapenda haki.
 
Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia...
Well said
 
Hivi watu hawa walivyo wapiga watu risasi, wakawamwagia mapadri na watalii tindikali leo hii wanaachiwa bila hata case kumalizwa haraka......
Nafikir kwenye hili dini imehusika na wala si swala la ushahidi
 
Hapo Kikwete atakuwa kavimba kama chura
Kikwete avimbe nini? hivi vikosi vile vya marekani vilivyo fanikisha kukamatwa kwa hawa watu vilikuwa vinawasingizia..... wale mapadre na watalii na masheikh walio kuwa wanatwangwa risasi wanajua umuhimu wa jk kwenye nchi hii na walishukuru sana alivyo thibiti hili janga...
Hawa ni magaidi tuu
 
Waende tena wakaanze mahubiri yao uchwara ya kuwafanya watanzania wote wawe waislamu hadi kupelekea mapdri kuanza kuchinjwa na magaidi ya kibiti
 
Kikwete avimbe nini? hivi vikosi vile vya marekani vilivyo fanikisha kukamatwa kwa hawa watu vilikuwa vinawasingizia..... wale mapadre na watalii na masheikh walio kuwa wanatwangwa risasi wanajua umuhimu wa jk kwenye nchi hii na walishukuru sana alivyo thibiti hili janga...
Hawa ni magaidi tuu
Kabisa mkuu!

Kuna jinga lingine pale juu nemona linataka kuleta chuki zake lilizonazo kwa marehemu jiwe kwamba kukaa kwao hapo sababu ya uonevu wa jiwe! Nchi ina wapumbavu wengi sana hii!

Hivi vitoto vinaingia humu na simu kujibaraguza havijui hata kwamba kuna watu wanaumia hawalali ili vyenyewe viwe vina hara humu kwa amani.
 
Mashekhe wamerudi uraiani. Jiwe yuko kuzimu anaoza.
chuki zingine huwaga zinamtoa mtu akili nakuwa kama anawaza kwa kutumia makalio sasa jpm ndiyo aliwafunga? kama ni dini aliyewafunga ni wakwao uwe unafikiria kwanza uuache mihemko
 
Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia...
Well said.
 
Back
Top Bottom