Utawala wa Magu ulikuqa wapi kufatilia ukweli wa mambo hadi alipotupwa kuzimu ndio wamepata nafuu.aliyewaweka ndani ni JK tena muislam mwenzao,jiwe hausiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala wa Magu ulikuqa wapi kufatilia ukweli wa mambo hadi alipotupwa kuzimu ndio wamepata nafuu.aliyewaweka ndani ni JK tena muislam mwenzao,jiwe hausiki
Wewe una hakika unaona pande zote mbili?Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia...
achana na hao wenye laana za mama zaoKiusalama wewe unatakiwa uende mahabusu ukakae 7 solid years then uachiwe baada ya hiyo miaka kwa kua ushahidi utakua hakuna.
Bladful,
Nyie ndio mlikua mmefunga shughuli za kisiasa kwa vyama vya upinzani mkidai sababu za ki integensia, sababu za ki usalama bludful kumbe mnakula keki ya kitaifa kimya kimya.
Hapana na Mimi nimpenda haki lakin tuache muda utaongeaKiusalama wewe unatakiwa uende mahabusu ukakae 7 solid years then uachiwe baada ya hiyo miaka kwa kua ushahidi utakua hakuna.
Bladful,
Nyie ndio mlikua mmefunga shughuli za kisiasa kwa vyama vya upinzani mkidai sababu za ki integensia, sababu za ki usalama bludful kumbe mnakula keki ya kitaifa kimya kimya.
Kazi iendeleeMaskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto🙆♂️🙆♂️
Utawala wa Magu ulikuqa wapi kufatilia ukweli wa mambo hadi alipotupwa kuzimu ndio wamepata nafuu.
Mbona alimtoa babu seyaKwann uulizie utawala uliowakuta badala ya uliowafunga.Anza na wale viongozi wa zenji waliowatupia huku badala ya kuwaacha huko zenji. Jiwe hausiki hapa.
Ukimaliza hayo uloyataja wataje kina Ben Sanane, na wengine wooote, usisahau wale wa kimara na mbezi walovunjiwa nyumba kwa nguvu na wengine kuaga dunia,........ukimaliza halafu jiangalie kwenye kioo upige kifua kua wewe unayajua yote yaliyotokea.Maskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto🙆♂️🙆♂️
Mbona alimtoa babu seya
Ugaidi ni upepo umepita kama itakavyopita corona.Na tangu hawa watu wahifadhiwe, hali ilikuwa shwari.
Magaidi wa msumbiji viongozi wake wengine wanatoke a Tanzania.
Leo hii, yanatukuta tena Watanzania.
Mungu Irehemu nchi ya Tanzania, maana bila Rehema ya Mungu kinachofuata ni kilio na kusaga meno.
hapa umeongea point kubwa Sana. Naunga mkono hoja always time tells si kwa hili tu ni kwa kila Jambo nakukukumbusha.Hapana na Mimi nimpenda haki lakin tuache muda utaongea
Kesi za kubambikwa hata ukae miaka 50 ushahidi hauwezi kamilika zaidi ya jamhuri kuaibikaKama walikuwa hawana hatia basi sawa, ila kama kweli ni wazinguaji na wameachiwa kwa sababu tu za kisiasa itakuwa si sawa
jiwe hatetewi usipoteze muda wako. Unafata maneno ya watu au unazingatia haki? halafu watu wakikushauri ndio utukane?Kama ambavyo Jiwe alimvyomsamehe Babu seya alisemwa sana, na kama Jiwe ndio angewatowa hao masheikh nadhani ingeonekana ni udikteta wake ndio uliyomfanya afanye hayo maamuzi.
Hao waliokaa ndani miaka 8 walikuwa wanalala gereza tofauti na watuhumiwa?Babu alikua mtuhumiwa au tayari alishakua na hukumu?