Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Usije tu kukimbia humu na chupi kichwani! Nakutahadharisha tu mapema.Kwenda UKOO kenge weee mbona hamjathibitisha makos Yao mbwa weee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usije tu kukimbia humu na chupi kichwani! Nakutahadharisha tu mapema.Kwenda UKOO kenge weee mbona hamjathibitisha makos Yao mbwa weee
Mbona hukupeleka ushahid Mahakamani kwa kipindi cha miaka Kumi NYINYI ni madhalimu washenzi but haki huchelewa lkn hupatikaniMsiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia.
Mkajifunze kuheshimu haki za wengine kama nyie mnavyotaka haki zenu ziheshimiwe, msijione bora zaidi ya wengine mpaka kuwasababishia maumivu ya aina yoyote.
Mmefurahi kutoka jela ila mjue sasa mna jukumu la kulinda raia wengine wasio wa imani kama yenu, muache mihemko, fanyeni yenu muwaache wengine wafanye yao kwa uhuru wao, hii Tanzania ni yetu sote, hakuna alie juu ya mwingine wala hatakuwepo.
Mashekhe wamerudi uraiani. Jiwe yuko kuzimu anaoza.nyie jamaa umbwa sana.
Jamaa roho inakuuma kwa haki kutendeka?? 😅😅😅Leo tunapiga gambe mpaka pakuche. We endelea kununaUsije tu kukimbia humu na chupi kichwani! Nakutahadharisha tu mapema.
Bora mkoloni mzungu kuliko hawa washenzi wakoloni weusi. Ni mashetaniMbona hukupeleka ushahid Mahakamani kwa kipindi cha miaka Kumi NYINYI ni madhalimu washenzi but haki huchelewa lkn hupatikani
Munawazuia watu miaka Kumi kwa kesi za ujanja ujanja kisa chuki zenu dhidi ya ZANZIBAR kwa taarifa yako mateso haya mnayotufanyia ndio yanayotuleta pamoja zaid
Ushindi wa wazi wa Maalim Seif alioupata 2015 kisa ni hawa masheikh
WAKOLONI WEUSI TUACHENI TUPUMUWE
Sisi tuliwapigia kelele kuhusu hawa mashekhe nanyi pigeni kaelele hao wapagani waachiwe.Naulizia hivi;
Je huko gerezani hakuna wengine ambao wamekaa zaidi ya muda huo ?
Je nao wametolewa?
Kama ni haki inapaswa kutolewa kwa watu wote hata wasio amini yani wapagani ilimradi ni binadamu wameumbwa na Mungu.
Wacha ujinga wacha chuki pumbavu miaka Kumi mnatesa watu bila sababu kina Babu seya muliwaachia ndugu zetu mwawatesa bila sababu yoyoteUsije tu kukimbia humu na chupi kichwani! Nakutahadharisha tu mapema.
wale 247 waliotajwa na Polisi walibambikiwa kesi soon watakuja tule nao mahindi hapa dumila.Tunaomba vyombo vyetu, POLISI, DPP na MAHAKAMA visijihusishe na tabia ya kuwaonea raia na kukandamiza haki za watuhumiwa.
kesi hii ni mfano mbaya wa ukiukwaji na ukandamizaji wa haki za watuhumiwa.
miaka 8 watu wamekaa rumande, huku nyimbo za upelelezi hauja kamilika zikiimbwa!!! na wengine wamefumba macho kama vile hawaoni haki zina kiukwa.
hili lisijirudie tena, maaana inaonekana kama sio uwezo wa Mungu wangekaa mahabusu zaidi ya miaka 8.
Mimi sina tatizo na hao Masheikh kutoka. Maana sihusiki kwa namna yoyote ile na hiyo ishu yao. Huyo mpuuzi amenitukana, kisa tu nimetoa maoni yangu.Jamaa roho inakuuma kwa haki kutendeka?? 😅😅😅Leo tunapiga gambe mpaka pakuche. We endelea kununa
Boss Masheih ni Kikwete sio Jiwe ,Mashekhe wamerudi uraiani. Jiwe yuko kuzimu anaoza.
Ye ndo aliwakamataKwani walikuwa mikononi mwake?
Aisee! Basi sawa. Endeleeni kusherehekea. Ila mkiendelea na ule upuuzi wenu wa kuwamwagia watu tindikali, safari ijayo tutawapoteza kabisa.Wacha ujinga wacha chuki pumbavu miaka Kumi mnatesa watu bila sababu kina Babu seya muliwaachia ndugu zetu mwawatesa bila sababu yoyote
Ndio ushangae sasa. Miaka yote alikuwa amekaa kimyaa!Ndio maana yule shehe ubwabwa mmoja jana akajifanya naye anataka mashehe waachiwe
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Mashekhe wamerudi uraiani. Jiwe yuko kuzimu anaoza.
Jiwe anaingiaje hapo? Acha unafiki shukuru Mungu wametoka.Mashekhe wamerudi uraiani. Jiwe yuko kuzimu anaoza.
Umechukia kutolewa kawarejeshe basi Ili uendelee kufualrahiMimi sina tatizo na hao Masheikh kutoka. Maana sihusiki kwa namna yoyote ile na hiyo ishu yao. Huyo mpuuzi amenitukana, kisa tu nimetoa maoni yangu.
Nimemtahadharisha tu mapema kwa sababu nina desturi ya kujibu mashambulizi.