Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Shekhe sina hakika..miaka karibia kenda sasa.Miaka 8! Nke zao salamaaa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shekhe sina hakika..miaka karibia kenda sasa.Miaka 8! Nke zao salamaaa??
True..Mambo mengine siyo ya kuleta siasa na huruma, kuna mambo yanahitaji mkono wa chuma. Karibuni kitaa masheik.
ujinga ni kufikiri wameachiwa sababu ya vyama vya upinzani.Kuna miCCM itataka kupata ujiko kwenye hili, wakati vyama vya upinzani vilipigia kelele sana kushinikiza serikali itende haki
hivi yule naye ni shekhe?Ndio maana yule shehe ubwabwa mmoja jana akajifanya naye anataka mashehe waachiwe
Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
wameachiwa kwa sababubya kila mwenye nia njema alipiga kelele juu ya uonevu ikiwemo pamoja na Vyama hasa Chadema. We ni mjinga unapinga jitihada za wazi zilifanywa na CHADEMA na Tundu Lissu wakati aa kampeniujinga ni kufikiri wameachiwa sababu ya vyama vya upinzani.
Unajuaje kama walivyokuwa wanaishi ni kinyume na dini yao inavyotaka?Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. ...
nyie jamaa umbwa sana.wameachiwa kwa sababubya kila mwenye nia njema alipiga kelele juu ya uonevu ikiwemo pamoja na Vyama hasa Chadema. We ni mjinga unapinga jitihada za wazi zilifanywa na CHADEMA na Tundu Lissu wakati aa kampeni
Kwa hivyo wanzazibari hawana haki ya kudai mamlaka kamili? Kwa hili nakupa jibu la Prophet Bob marley:Wakatulie sasa.
Kama ambavyo Jiwe alimvyomsamehe Babu seya alisemwa sana, na kama Jiwe ndio angewatowa hao masheikh nadhani ingeonekana ni udikteta wake ndio uliyomfanya afanye hayo maamuzi.Jiwe aliposhauriwa na Lissu na Lowasa awatoe mashekhee alitukana sana.
Mimi ni Mkatoliki! Ila naamini Uislam ni dini ya haki, amani na upendo. Ni wapuuzi wachache tu ndiyo huitumia hii dini kwa manufaa yao binafsi.Unajuaje kama walivyokuwa wanaishi ni kinyume na dini yao inavyotaka?
Kwenda UKOO kenge weee mbona hamjathibitisha makos Yao mbwa weeeMkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
100%
Hiyo 'wachache' ni relative term, yawezekana kwako wapuuzi milioni 100 ikawa ni wachacheMimi ni Mkatoliki! Ila naamini Uislam ni dini ya haki, amani na upendo. Ni wapuuzi wachache tu ndiyo huitumia hii dini kwa manufaa yao binafsi.
Inabidi waliokuwa wagombea wakati ule wakamatwe na kujibu hoja ,mambo ndo yanaaanza miaka tisa unaachiwaje ? Hana makosa itabidi yule Andunje akamatwe na yule aliewambia wananyea kwenye madebe .Kwahiyo jeshi linarudi kazini kutafuta waliofanya yale matukio?
huku hayawahusu wao na ccm chungu kimojaNasubiri taarifa rasmi ya BAKWATA, au wao wanahusika na maswala ya kutangaza mwezi tu! Hili haliwahusu?