Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
wameachiwa kwa sababubya kila mwenye nia njema alipiga kelele juu ya uonevu ikiwemo pamoja na Vyama hasa Chadema. We ni mjinga unapinga jitihada za wazi zilifanywa na CHADEMA na Tundu Lissu wakati aa kampeni
nyie jamaa umbwa sana.
 
Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Kwenda UKOO kenge weee mbona hamjathibitisha makos Yao mbwa weee
 

Je ukiambiwa uthibitishe utakuwa tayari?

Tumuogope Mwenyezi Mungu .

Tusisukumwe na mihemko kuandika tusiyoyajua kwa undani.

Rais huapa kwa kushika kitabu kitakatifu kulilinda Jamhuri ya Muungano na watu wake.

Rais huwa ni wa wote na siyo wa watu wa dini yake tu.

Kumbuka urais ni taasisi siyo mtu mmoja hususa yanapokuja maswala yenye kuhusiana na maswala ya kiusalama wa nchi.

Tafakari bila mhemko wa kidini.
 
Mimi ni Mkatoliki! Ila naamini Uislam ni dini ya haki, amani na upendo. Ni wapuuzi wachache tu ndiyo huitumia hii dini kwa manufaa yao binafsi.
Hiyo 'wachache' ni relative term, yawezekana kwako wapuuzi milioni 100 ikawa ni wachache
 
Serikali ya Tanzania ni Serikali ambayo ni coward sana.Walichokuwa wanafanya serikali ya Tanzania ni kuwatishia Masheikh wa uamsho ili waje kurudi nyuma katika kudai kile walichokuwa wanakidai.Ni tekniki ya kishamba sana.The same wanachofanya kwa Mdude.🐒🐒🐒
 
Kwahiyo jeshi linarudi kazini kutafuta waliofanya yale matukio?
Inabidi waliokuwa wagombea wakati ule wakamatwe na kujibu hoja ,mambo ndo yanaaanza miaka tisa unaachiwaje ? Hana makosa itabidi yule Andunje akamatwe na yule aliewambia wananyea kwenye madebe .
 
Back
Top Bottom