Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto🙆♂️🙆♂️
100%Una uhakika?
Ushahidi wako muhimu paleka kwa DPP ,Na tangu hawa watu wahifadhiwe, hali ilikuwa shwari....
Miaka 9 ni fundisho... wameelewa kitu kuhusu hiiJamhuri ya Muungano wa Tanzania - nakumbuka waliingia wakati wa JK - wamekaa kaaa ki ukweli.Maskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto🙆♂️🙆♂️
Kweli aisee. Ndio maana yule Jaji alisema ameahirisha kesi kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake.Mama Samia Suluhu kaamua kuacha fitina!
Mdude CHADEMA naye atakuwa huru soon!!
Waongo hao jamaa na wanaowatetea kuna wakati walizusha sijui wamefanywaje ili kutengeneza taharuki lkn haikusaidiamiaka 9 ni fundisho... wameelewa kitu kuhusu hiiJamhuri ya Muungano wa Tanzania - nakumbuka waliingia wakati wa JK - wamekaa kaaa ki ukweli.
Thus hakuna ushahidi ndo maana wapo huru.Miaka 8 wametafuta ushahidi umekosekanaMaskini machozi ya yule padre aliyemwagiwa tindikali, yule shehe mwenye asili ya tanga aliyemwagiwa tindikali, yule polisi aliyechinjwa hapo mwanakwwrekwe, wataliinwaliokuwa wanamwagiwa tindikali, makanisa yaliyokuwa yanachomwa , bar, pamoja na mabucha ya kitimoto🙆♂️🙆♂️
Sheria sometimes sio fair sasa remedy za hao victims inakuwaje? Au ndio ile remi ongala aloimba kuwa ni kilio cha samaki au walatino wanayosema ni Damnum absque injuria?Thus hakuna ushahidi ndo maana wapo huru.Miaka 8 wametafuta ushahidi umekosekana
Haina athari yoyote Kwa sababu mlalamikaji ni jamhuri, aliyekuwa kawashikikia kwa kipindi chote ni jamhuri na aliyeamua kuwaachia ni jamhuri huyo huyo.Kiusalama hii imekaaje?
Sheria utungwa na watawala Ili kuwakandamiza wanyongeSheria sometimes sio fair sasa remedy za hao victims inakuwaje? Au ndio ile remi ongala aloimba kuwa ni kilio cha samaki au walatino wanayosema ni Damnum absque injuria?
Wote 36 wameachiwa huru, DPP mwenye amezungumza sema zimebaki taratibu tu za kutoka magerezaBismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA...
BAKWATA ni genge la wasaka fursa tupuHaina athari yoyote Kwa sababu mlalamikaji ni jamhuri, aliyekuwa kawashikikia kwa kipindi chote ni jamhuri na aliyeamua kuwaachia ni jamhuri huyo huyo.