Jiwe anaingiaje hapa..... Kawatia ndani kikwete ..... Unamlaumu jiweJiwe aliposhauriwa na Lissu na Lowasa awatoe mashekhee alitukana sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe anaingiaje hapa..... Kawatia ndani kikwete ..... Unamlaumu jiweJiwe aliposhauriwa na Lissu na Lowasa awatoe mashekhee alitukana sana.
Lipo jambo
Wakati mwingi sherehe hugeuka vilio
Ni swala la muda mtagundua jambo
Majuto atakuwa mjukuu
Mtashangazwa
Endeleeni kupiga makofi
uamsho kwanza
Wapinzani mtasubiri sana
Hiyo sio agenda yao. Kama unataka wewe pia unaweza ukaanza kuifundisha jamii juu ya kuacha zinaa, kutunza family na kuacha dawa za kulevya.Naunga mkono hoja, jamii ina changamoto nyingi sana zinazohitaji mafundisho ili kuzitatua kuliko, kung'ang'ana kufundisha chuki dhidi ya wengine.
Kwa uchache tu, sasa wana kazi ya kuwafundisha vijana kuacha, zinaa, wanaume kuwa waaminifu kwa wake zao na kutunza familia, jamii iepuke wizi, rushwa, madawa ya kulevya, ulevi, mauaji, uchawi n.k.
Pia wakiwahamasisha wanajamii kupendana na kusameheana lea kweli Mwenyezi Mungu atawarehemu na kuwapa barka nyingi katika maisha haya na ahera.
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
Ni kweli mkuu wataanza kutokea watu kama waliompiga risasi Tundu Lisu,waliompoteza Mawazo,Ben Sanane ,Azory Gwanda,Mawazo na wengne.Mungu huyu adhihaikiwi lakini huwezi ukafanya kinyago ni muuumba wako ukawa na akili ,overNa tangu hawa watu wahifadhiwe, hali ilikuwa shwari.
Magaidi wa msumbiji viongozi wake wengine wanatoke a Tanzania.
Leo hii, yanatukuta tena Watanzania.
Mungu Irehemu nchi ya Tanzania, maana bila Rehema ya Mungu kinachofuata ni kilio na kusaga meno.
Swadakta!BAKWATA ni genge la wasaka fursa tupu
Leo swala ya alfajir pale beit el Ras msikiti ulijaa balaa.Mambo mengine siyo ya kuleta siasa na huruma, kuna mambo yanahitaji mkono wa chuma. Karibuni kitaa masheik.
Kweli mkuuKuna miCCM itataka kupata ujiko kwenye hili, wakati vyama vya upinzani vilipigia kelele sana kushinikiza serikali itende haki
DPP amewaahidi Masheikh wa UAMSHO kwamba hata wale wa Arusha na nchi nzima atashughulikia masuala yao na haki zitapatikana in shaa Allah.Hongera sana Shehe Ponda ni wewe pekee kati ya wachache tulikusikia ukipaza sauti kwa uwazi bila ya kutetereka tikea yule aliepelekewa akae nao hajaaiaga dunia. Bila ya kuwasahau mashehe wengine waliopo vizuizini kwenye mikoa mbalimbali na pale arusha ambapo uwazi wake upo kweupe kabisa.
Nimtete marehemu? mtu aliyekufa anatetewa kwa jambo lipi? upo sawa lakini mkuu?jiwe hatetewi usipoteze muda wako. Unafata maneno ya watu au unazingatia haki? halafu watu wakikushauri ndio utukane?
Hili ni jambo la faraja sana hasa ukichukulia hawa watu hawajahukumiwa kutokuwa na makosa bali kesi imefutwa. Kilio cha wengi kwa muda wote huu kilikuwa kwenye options 3, kwamba ushahidi uaptikane na wafungwe jela, kama ushahidi ulikuwa haupo basi wangepewa dhamana ili ukikamilika ndio waitwe Mahakamani au basi waachiwe huru kama ilivyotokea ....hii imesubiri miaka 9 (ajabu),Eee..!.Mungu Baba Mwenyezi twakuomba uliepushe taifa letu lisije tena likapata watawala dhalimu kama jiwe milele na milele sio leo,kesho na hata vizazi vyetu vijavyo.
Nafunga katika Jina la YESU jina kuu kuliko majina yote.Nikiomba na kuamini hakika hakuna kiongozi dhalimu tena ataketokea katika taifa hili katika Jina la YESU Kristo ulie hai.! Nateketeza kwa moto ulao !
roho zote chafu za viongozi kama Sabaya bashite zisiinuke tena katika taifa hili milele na milele.Tukiomba na kuamini.Na KILA mmoja na aseme.Amee...ni !
Kumbe mkuu wameachiwa kwa sababu gani??ujinga ni kufikiri wameachiwa sababu ya vyama vya upinzani.
Makafiri walisema hawatokaa watokeWakatulie sasa.
Watolewe masheikh tu halafu unataka aombewe na watanzania wote?DPP amewaahidi Masheikh wa UAMSHO kwamba hata wale wa Arusha na nchi nzima atashughulikia masuala yao na haki zitapatikana in shaa Allah.
Tunae rais ambae anastahili kuombewa na Watanzania wote maana neema tele zinakuja.
Hlf nyie mna fikra la kiarabu hilo eneo ni la tanganyika msituletee ufirauni wenuMbona hukupeleka ushahid Mahakamani kwa kipindi cha miaka Kumi NYINYI ni madhalimu washenzi but haki huchelewa lkn hupatikani
Munawazuia watu miaka Kumi kwa kesi za ujanja ujanja kisa chuki zenu dhidi ya ZANZIBAR kwa taarifa yako mateso haya mnayotufanyia ndio yanayotuleta pamoja zaid
Ushindi wa wazi wa Maalim Seif alioupata 2015 kisa ni hawa masheikh
WAKOLONI WEUSI TUACHENI TUPUMUWE
Wewe Mrundi kama hutaki kumuombea Mheshimiwa Rais wacha.Watolewe masheikh tu halafu unataka aombewe na watanzania wote?
Nimemshangaa. Eti aitwa Muftihivi yule naye ni shekhe?