Lipo jambo
Wakati mwingi sherehe hugeuka vilio
Ni swala la muda mtagundua jambo
Majuto atakuwa mjukuu
Mtashangazwa
Endeleeni kupiga makofi
uamsho kwanza
Wapinzani mtasubiri sana

Watakuelewa wachache
 
Hiyo sio agenda yao. Kama unataka wewe pia unaweza ukaanza kuifundisha jamii juu ya kuacha zinaa, kutunza family na kuacha dawa za kulevya.

Wao agenda yao ni kuukataa Muungano huu wa Ukandamizaji na uonevu kwa Wazanzibari wenzao.

Na kazi hiyo ITAENDELEA kwa kauli mbiu ya KAZI IENDELEE
 
Na tangu hawa watu wahifadhiwe, hali ilikuwa shwari.
Magaidi wa msumbiji viongozi wake wengine wanatoke a Tanzania.
Leo hii, yanatukuta tena Watanzania.
Mungu Irehemu nchi ya Tanzania, maana bila Rehema ya Mungu kinachofuata ni kilio na kusaga meno.
Ni kweli mkuu wataanza kutokea watu kama waliompiga risasi Tundu Lisu,waliompoteza Mawazo,Ben Sanane ,Azory Gwanda,Mawazo na wengne.Mungu huyu adhihaikiwi lakini huwezi ukafanya kinyago ni muuumba wako ukawa na akili ,over

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Utaratibu wa fidia ukiwepo tena kwa kuwakata mafao yao watumishi wote wanaoweka watu ndani kabla ya ushahidi kukamilika itasaidia kupunguza utitiri watu kukaa mahabusu na kuokoa kodi zetu.

Kwa sababu hakuna utaratibu huo easy tu mtu kukaa ndani hata miaka zaidi ya hio. Hao ni mashehe tu je kuna wangapi Wana miaka zaidi ya hio ndani?

Ulimwengu wa Sasa hivi ni ngumu Sana huwezi jificha popote pasipojulikana kama upo nje kwa Dhamana. Ipo haja kama ushahidi haujakamilika mtu asikamatwe kama walivyo wenzetu.
 
DPP amewaahidi Masheikh wa UAMSHO kwamba hata wale wa Arusha na nchi nzima atashughulikia masuala yao na haki zitapatikana in shaa Allah.

Tunae rais ambae anastahili kuombewa na Watanzania wote maana neema tele zinakuja.
 
jiwe hatetewi usipoteze muda wako. Unafata maneno ya watu au unazingatia haki? halafu watu wakikushauri ndio utukane?
Nimtete marehemu? mtu aliyekufa anatetewa kwa jambo lipi? upo sawa lakini mkuu?

Halafu wewe unafikiri hao masheikh wametoka kwa sababu ya kuzingatiwa haki? hivi huko gerezani kulikuwa na hao masheikh tu ndio ambao waliwekwa huko gerezani muda mrefu isivyo haki?
 
Hili ni jambo la faraja sana hasa ukichukulia hawa watu hawajahukumiwa kutokuwa na makosa bali kesi imefutwa. Kilio cha wengi kwa muda wote huu kilikuwa kwenye options 3, kwamba ushahidi uaptikane na wafungwe jela, kama ushahidi ulikuwa haupo basi wangepewa dhamana ili ukikamilika ndio waitwe Mahakamani au basi waachiwe huru kama ilivyotokea ....hii imesubiri miaka 9 (ajabu),
Huenda wapo wengine wengi kama hawa na wanapitia mateso haya haya.

Kuwekana sana, hili si tatizo la mwendazake maana naye aliwakuta ndani tayari na akawaacha. Sijui tunaweza kusema ni tatizo la ccm au vyovyote lakini lililo kubwa ni kupata aina ya KATIBA itakayotulazimisha kutendeana haki na hata tusipoitenda haki basi tuone haya.
Tujifunze sasa badala ya kutegemea huruma au 'ukatili' wa mtu binafsi eti sababu ya cheo chake basi tuitegemee Katiba walau kwa 60%
 
DPP amewaahidi Masheikh wa UAMSHO kwamba hata wale wa Arusha na nchi nzima atashughulikia masuala yao na haki zitapatikana in shaa Allah.

Tunae rais ambae anastahili kuombewa na Watanzania wote maana neema tele zinakuja.
Watolewe masheikh tu halafu unataka aombewe na watanzania wote?
 
Hlf nyie mna fikra la kiarabu hilo eneo ni la tanganyika msituletee ufirauni wenu
 
Watolewe masheikh tu halafu unataka aombewe na watanzania wote?
Wewe Mrundi kama hutaki kumuombea Mheshimiwa Rais wacha.

Kwanza maombi yako hayana msaada wowote. Sisi Watanzania tutamuombea maana ndio nchi yetu itapata neema kwa kuwa na rais muadilifu asiependa wananchi wake waonewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…