Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
Nionyeshe familia moja tu inayoshindia mlo mmoja Zanzibar ili mimi nikuonyeshe familia 1000 zinazoishi maisha ya ajabu huko.
Nakupa kumi
Makame< kutoka kutukuu(Pemba)
Twaki <kutoka pwani mchangi(Unguja)
Jindo <kutoka kinyansini
Haji<kutoka kwazani (Pemba)
Bayuu<kutoka kumba urembo(Unguja)
Hashimu<kutoka matemwe kigomani
Muhsini<kutoka mzingani
Zahoro<==kutoka chake chake
Nyara<kutoka kizimkazi
Mohammed<kutoka kendwa
Ukinitajia 100 kutoka bara najiondoa jf
 
Wakatulie sasa watakuwa wamejifunza. Wakianza tena tutawachukua tena.
Majaribu,
Wanaostahili kutulia ni wale waliowakamata kwa tuhuma za ugaidi wakashindwa kutoa ushahidi kwa miaka tisa.

Wanaotakiwa kujifunza ni hawa walioshindwa kuthibitisha kuwa masheikh wetu ni magaidi.
 
Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia.

Mkajifunze kuheshimu haki za wengine kama nyie mnavyotaka haki zenu ziheshimiwe, msijione bora zaidi ya wengine mpaka kuwasababishia maumivu ya aina yoyote.

Mmefurahi kutoka jela, ila mjue sasa mna jukumu la kulinda raia wengine wasio wa imani kama yenu, muache mihemko, fanyeni yenu muwaache wengine wafanye yao kwa uhuru wao, hii Tanzania ni yetu sote, hakuna alie juu ya mwingine wala hatakuwepo.
Denoo,
Masheikh wameachiwa baada ya kukosekana ushahidi kuwa ni magaidi.

Hayo mengine unayosema hayawahusu.
 
Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Tate...
Hayo usemayo mbona yameshindwa kupata ithibati mahakamani?

Unajua Uislam unafundisha nini?
Muislamu hawezi kufanya hayo usemayo.

Leo kuna tatizo kubwa la ushoga ndani ya Kanisa lakini sisi Waislam tunajua fika kuwa hayo si mafunzo ya Yesu Kristo.

Nitafanya makosa ikiwa mimi nitaandika hapa kuwa Ukristo unahimiza uchafu huu.

Tumia muda kufikiri kabla ya kunyanyua kalamu.
 
Hongera sana Shehe Ponda ni wewe pekee kati ya wachache tulikusikia ukipaza sauti kwa uwazi bila ya kutetereka tikea yule aliepelekewa akae nao hajaaiaga dunia. Bila ya kuwasahau mashehe wengine waliopo vizuizini kwenye mikoa mbalimbali na pale arusha ambapo uwazi wake upo kweupe kabisa.
Wengine tupo bize kupinga mauaji yanayotokea palestina ngoja tukipata muda ndo tutawaongelea hawa
 
Wengine tupo bize kupinga mauaji yanayotokea palestina ngoja tukipata muda ndo tutawaongelea hawa
Dullah07,
Asubuhi Sheikh Ponda kafika Zanzibar kuwaona masheikh.

Huyo hapo chini na Sheikh Mselem bin Ali.

Screenshot_20210617-003432_WhatsApp.jpg
 
Uislamu Ni Ugaidi😬 Hii Dini ililetwa Africa na Waarabu Magaidi,Mwislamu Mwafrica Ni Usaliti🤮 Hawa Hawa Waarabu munaofwata Wanatuitanga Sisi ngozi Nyeusi Slaves/Yani wafungwa🙄
 
Wwe Mwafrika mweusi,unayejiita Mwislamu,Enda tu Hapa Saudi,uone Kama watakuona Kama mtu wao🤮 Nyinyi munajifanya Jeuri na kuacha Dini za Mababu wenu na kukimbilia za Waarabu,ambao Kazi Ni kutuchinja huko kwao ata Kama wwe Ni Mwislamu😳
 
Sahi tunavyoongea Ethiopia hawapendani na Egypt,kwasababu Egypt wanajiona Kama watu wa juu Sana,Lakini wapi!!! Ethiopia ambayo Ni 80%Orthodox Christian imejikakamua nakumtisha Adui mpaka Akaogopa,Egypt Nayo Imeenda Kuita Arab league wenzake wamsaidie Lakini wakaogopa Israel ambayo Ni Rafiki ya Egypt.
 
Egypt kitambo ilikuwa ya Waafrica Lakini Egypt Waka Uwa Mababu zetu,wakachukua Utamaduni Zetu na kuzifanya Zao😬Wamisri(Egypt) walikuwa wakristo 100% Hapo Ndio ukristo ulipoanzia Lakini Hawa Waarabu wakatumaliza kwa kuwakaribisha Nyumbani wakatusoma Kisha wakamaliza kila mtu aliyekuwemo😬⚰️ Ndiposa Misri ya sai ina Waarabu wengi na wwe Kama Ni Mwislamu mweusi wwe ni Msaliti🤮Badilika
 
Ndugu yangu hawa hawawaezi kamwe kumiliki nafsi zao pale linapokuja suala lililo kinyume na maslahi ya din yao
Tate...
Hayo usemayo mbona yameshindwa kupata ithibati mahakamani?

Unajua Uislam unafundisha nini?
Muislamu hawezi kufanya hayo usemayo.

Leo kuna tatizo kubwa la ushoga ndani ya Kanisa lakini sisi Waislam tunajua fika kuwa hayo si mafunzo ya Yesu Kristo.

Nitafanya makosa ikiwa mimi nitaandika hapa kuwa Ukristo unahimiza uchafu huu.

Tumia muda kufikiri kabla ya kunyanyua kalamu.
 
Hili linawezekana kama wananchi walichangia mil 200+ kuwatoa kina Mboe gerezani hata hili nalo linawezekana.Kila mwananchi aliyeguswa na maumivu ya hawa mashekh akitoa sh 1000 nahakika zaidi ya mil 500 inaweza kupatikana na kurudisha tabasamu la hawa mashekh.Hii kuonyesha kwamba muda wote wa tulikuwa pamoja nao. MUNGU MBARIKI MAMA WA HAKI MAMA SSH
 
Sahi tunavyoongea Ethiopia hawapendani na Egypt,kwasababu Egypt wanajiona Kama watu wa juu Sana,Lakini wapi!!! Ethiopia ambayo Ni 80%Orthodox Christian imejikakamua nakumtisha Adui mpaka Akaogopa,Egypt Nayo Imeenda Kuita Arab league wenzake wamsaidie Lakini wakaogopa Israel ambayo Ni Rafiki ya Egypt.
Unataka kufikisha ujumbe gani mkuu?
 
Back
Top Bottom