Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Kamsikilize mkuuAnasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamsikilize mkuuAnasemaje
Nakupa kumiNionyeshe familia moja tu inayoshindia mlo mmoja Zanzibar ili mimi nikuonyeshe familia 1000 zinazoishi maisha ya ajabu huko.
Majaribu,Wakatulie sasa watakuwa wamejifunza. Wakianza tena tutawachukua tena.
Denoo,Msiione haki kwa upande mmoja tu kutaka nyie mpewe zaidi ya wengine, huo ni ubinafsi, aina ya mahubiri mliyotoa yalihamasisha chuki zilizowaumiza wengine ambao nao wana haki zao, baada yenu kuwekwa ndani hali ikatulia.
Mkajifunze kuheshimu haki za wengine kama nyie mnavyotaka haki zenu ziheshimiwe, msijione bora zaidi ya wengine mpaka kuwasababishia maumivu ya aina yoyote.
Mmefurahi kutoka jela, ila mjue sasa mna jukumu la kulinda raia wengine wasio wa imani kama yenu, muache mihemko, fanyeni yenu muwaache wengine wafanye yao kwa uhuru wao, hii Tanzania ni yetu sote, hakuna alie juu ya mwingine wala hatakuwepo.
Hajto,Masha Allah, Allah awafanyie wepesi watambue ilo walilokutana nalo ni sehemu tu mitihani ya dunia, watulie sasa
Tate...Mkawashauri sasa hao Masheikh wenzenu waishi kama dini yenu inavyotaka. Yale masuala ya kuhamasisha vurugu, utengano kwa kuwaumiza watu wasio na hatia, kumwagia watu wa imani tofauti tindikali, nk. Yalikuwa yanakiuka kabisa uvumilivu wa kiimani.
Wengine tupo bize kupinga mauaji yanayotokea palestina ngoja tukipata muda ndo tutawaongelea hawaHongera sana Shehe Ponda ni wewe pekee kati ya wachache tulikusikia ukipaza sauti kwa uwazi bila ya kutetereka tikea yule aliepelekewa akae nao hajaaiaga dunia. Bila ya kuwasahau mashehe wengine waliopo vizuizini kwenye mikoa mbalimbali na pale arusha ambapo uwazi wake upo kweupe kabisa.
Majaribu,Wakatulie sasa watakuwa wamejifunza. Wakianza tena tutawachukua tena.
Dullah07,Wengine tupo bize kupinga mauaji yanayotokea palestina ngoja tukipata muda ndo tutawaongelea hawa
..msimamo wa mwendazake kuhusu mashekhe wa uamsho.
Siasa za kuumizana!
Siasa za kutishana. Mama Samia Suluhu Hassan Allah atakulipa kilaa jazaa ya kheri
Tate...
Hayo usemayo mbona yameshindwa kupata ithibati mahakamani?
Unajua Uislam unafundisha nini?
Muislamu hawezi kufanya hayo usemayo.
Leo kuna tatizo kubwa la ushoga ndani ya Kanisa lakini sisi Waislam tunajua fika kuwa hayo si mafunzo ya Yesu Kristo.
Nitafanya makosa ikiwa mimi nitaandika hapa kuwa Ukristo unahimiza uchafu huu.
Tumia muda kufikiri kabla ya kunyanyua kalamu.
Na sisi tulikuwa tunashinikiza hukumu itokeJe hao wabakaji walikua wamehukumiwa au bado?
Unataka kufikisha ujumbe gani mkuu?Sahi tunavyoongea Ethiopia hawapendani na Egypt,kwasababu Egypt wanajiona Kama watu wa juu Sana,Lakini wapi!!! Ethiopia ambayo Ni 80%Orthodox Christian imejikakamua nakumtisha Adui mpaka Akaogopa,Egypt Nayo Imeenda Kuita Arab league wenzake wamsaidie Lakini wakaogopa Israel ambayo Ni Rafiki ya Egypt.