secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Raisi anajua mambo mengi kuliko ww kapukuHuyu ni roho mbaya tu,mbna hizo tuhuma hazikuwahi kuthibitishwa????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raisi anajua mambo mengi kuliko ww kapukuHuyu ni roho mbaya tu,mbna hizo tuhuma hazikuwahi kuthibitishwa????
mnafiki mkubwa wewe. Jiwe ametesa sana watu ndio maana Mungu kampa adhabu ya kifo. Bado nyie wahuni
HaleluyaaaaaTakibiiiir!!
ameeniHaleluyaaaaa
milele na milele...una matatizo ya akili..haya kaanzishe kanisa kabisa...maana nikikuuliza kitu gani mama amefanya yeye kama yeye utarukaruka tu..praise and worship bana..Mama enu mwenyewe kasema anafuata ya mwendazake..huku mtaani ndo mnajifanya mnamjua sana..pumbavuHao uliowapa big up wote hawastahili.
Katika tawala zao waliona hawa watu wanaonewa lakini wakaamua kuunyamazia kimya uonevu huo.
Mama tutamkumbuka kwa uongozi wake milele na milele
Wewe ulitaka afanye nini ulidhike kwani unatukana tu utadhani na wewe ni rais wa nchi hii kwamba uko reserve unasubiri zamu yako uingie uwanjanimilele na milele...una matatizo ya akili..haya kaanzishe kanisa kabisa...maana nikikuuliza kitu gani mama amefanya yeye kama yeye utarukaruka tu..praise and worship bana..Mama enu mwenyewe kasema anafuata ya mwendazake..huku mtaani ndo mnajifanya mnamjua sana..pumbavu
Nimeyapokea maoni yako kwa heshima kubwa Sheikh wangu Mohamed Said , na natambua fika wewe ni mmoja wa Wanazuoni waliobobea kwenye dini ya Kiislam.Tate...
Hayo usemayo mbona yameshindwa kupata ithibati mahakamani?
Unajua Uislam unafundisha nini?
Muislamu hawezi kufanya hayo usemayo.
Leo kuna tatizo kubwa la ushoga ndani ya Kanisa lakini sisi Waislam tunajua fika kuwa hayo si mafunzo ya Yesu Kristo.
Nitafanya makosa ikiwa mimi nitaandika hapa kuwa Ukristo unahimiza uchafu huu.
Tumia muda kufikiri kabla ya kunyanyua kalamu.
Kuna watu wana chuki na Dini ya wezetu, hivi akisema buana yesu asifiwe we mtu wakawaida utapata nini?....Kwa hiyo wewe ukiulizwa unataka rais akufanyie nini?? Jibu lako itakuwa ni "aseme tumsifu yesu kristo"???
Ama kweli nchi hii
Acha kutetea ujingaWalihatarisha uhai aa nani? hakuna mtu ameondoa uhai wa watu kama jiwe.
Tukutane street sasa hivi ni Jino kwa jino, mkichoma kanisa tunachoma misikitiBado nafasi unayo mkuu maana mahubiri bado yapo.
Mkuu sasa hivi Hakuna kuwa wanyonge ni panga kwa panga. Wakristo Waliozanzibar Wanyoe panga zao wakae tayari tayariNikweli hawana hatia
Sasa nani alimua padri mushi kwa risasi huko Zanzibar?
Waliomwagiwa tindikali huko Zzanzibar wanajisikiaje?
Mwana kulitafuta mwana kulipata, sasa tusubiri warudi wakajadili watoke vp next round
Karibuni uraiani tena mashekhe
Hili jambo wala siyo la kutunga! Baada ya kuibuka kwa mihadhara ya hao Masheikh, matukio mengi ya uvunjifu wa amani yalilipotiwa Zanzibar! Vyombo vingibvya habari vili ripoti kwa kina vuguvugu la hao Masheikh.Kama u mwenye Uhakika huo Mkuu...Thibitisha hapa JF...
Lile wazo la uwepo wa Serikali Tatu lilikuwa ni wazo sahihi sana! Huenda lingepunguza pakubwa kuhusu hicho kinachoitwa Kero za Muungano!Nyie warabu weusi ni shida Sana,Mungu akipenda huu muungano uvunjike hauna faida kwa wabara,ajira zenyewe tu Kama za ualimu mpaka tuwaajiri
Kweli kabisa hao warabu koko wamezidi kulia lia Sana na huyo goi goi wao aliyepo madarakani ebu watuachie nchi yetu Tanganyika waendeleze na siasa zao za maji taka Mara sisi waunguja Mara sisi wapemba tuna mafuta na kudumisha mila na desturi za kiarabu!huku wakila mlo mmoja kwa ck pengine na kushindia boflo! yahani wabunge tuwalipe sisi mshahara na kiinua mgongo watoto wao watumie Kodi zetu kuingia chuo kikuu ajira waajiriwe kwetu kwao sie wabara haturuhusiwi kuajiriwa Mara Zanzibar inaidai Tanganyika cjuhi sh ngpy lkn Zanzibar haidaiwi kwenye deni la taifa
🙏🙏🙏🙏Black...
Kuna wengi hawajui yaliyomo ndani ya jamii kwa kutekwa na propaganda.
Soma kwa uchache uelewa sifa za masheikh wetu na nini mchango wao kwa Waislam:
SHEIKH MSELEM BIN ALI ALITUNUKIWA NISHANI NA WAISLAM AKIWA KIFUNGONI 2014
Katika mkutano wa mwaka uliofanyika Pongwe, Tanga mwaka wa 2014 Jukwaa la Vijana wa Kiislam Tanzania walimtunuku Shekh Mselem bin Ali Nishani Maalum kwa mchango wake katika kuisomesha Qur'an Tukufu.
Kwa kuwa Sheikh Mselem alikuwa kifungoni nishani hii ilipokelewa na mwanae, Shaib Ali Mselem kwa niaba ya baba yake.
Nishani hii ilitolewa kwake na Sheikh Ahmada Kidege ambae na yeye sasa yuko jela kwa tuhuma za ugaidi.
Sheikh Kidege ni mja mwema na mwalimu wa madrasa na shule ya Chekechea ya Kiislam akisomesha watoto Qur'an Tukufu.
Tumwombee dua Allah amnusuru.
Amin
Msimamo madhubuti huu
Eti roho mbichi 😂😂😂😂😂Alas! Kumbe aliomba mwenyewe akamatwe?!
Eti atamtoa mtu roho mbichi!