Masheikh wa Uamsho wafutiwa kesi, warejea uraiani
🤣🤣🤣juzi Sabaya kukaa wiki tu wamelalamika hao utadhani mashoga. Sabaya wiki moja tu kakondeana kama anaumwa ngoma. Sijui huwa wanajionaje wanaposhabikia udhalimu
Yupo anapanga nao foleni ya chakula aliowabambika kesi.
 
Hili linawezekana kama wananchi walichangia mil 200+ kuwatoa kina Mboe gerezani hata hili nalo linawezekana.Kila mwananchi aliyeguswa na maumivu ya hawa mashekh akitoa sh 1000 nahakika zaidi ya mil 500 inaweza kupatikana na kurudisha tabasamu la hawa mashekh.Hii kuonyesha kwamba muda wote wa tulikuwa pamoja nao. MUNGU MBARIKI MAMA WA HAKI MAMA SSH
Vipi kuwachangia waathirika wa tindikali, fujo na familia zilizopoteza wapendwa wao kutokana matamko yao kuhamasisha fujo na mapambano?
 
Hili linawezekana kama wananchi walichangia mil 200+ kuwatoa kina Mboe gerezani hata hili nalo linawezekana.Kila mwananchi aliyeguswa na maumivu ya hawa mashekh akitoa sh 1000 nahakika zaidi ya mil 500 inaweza kupatikana na kurudisha tabasamu la hawa mashekh.Hii kuonyesha kwamba muda wote wa tulikuwa pamoja nao. MUNGU MBARIKI MAMA WA HAKI MAMA SSH
Tuwachangie bukubuku alafu walihamshe tenaa
 
Any movement will get them into a big problem. Usidhani wameachiwa bila mashart yoyote ya kimyakimya. Usije shangaa wakafunga vinywa vyao milele
Katika maongezi Yao wanasema wameachiwa Ila wakikosea mda wotewote wanaweza kurudishwa rumande tena. Sahizi itawabidi kukaa mbali na media

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Ujumbe wangu ni niwa Uislamu hufai Africa,urudi Uarabuni huko eneo za Iraq na Syria
Daaah! Hili umeshafeli mkuu, uislam africa ndio dini inayoongoza kuwa na wafuasi wengi kuli dini yoyote, pambania ishu nyingine mkuu, sasahivi waislam ndio wanaongoza nchi za zanzibar na tanzania zuri zaidi washauri wastaafu wamebaki waislam tu wakristo Muumba kawatwaa
 
Mambo mengine siyo ya kuleta siasa na huruma, kuna mambo yanahitaji mkono wa chuma. Karibuni kitaa masheik.
Black...
Kuna wengi hawajui yaliyomo ndani ya jamii kwa kutekwa na propaganda.

Soma kwa uchache uelewa sifa za masheikh wetu na nini mchango wao kwa Waislam:

SHEIKH MSELEM BIN ALI ALITUNUKIWA NISHANI NA WAISLAM AKIWA KIFUNGONI 2014

Katika mkutano wa mwaka uliofanyika Pongwe, Tanga mwaka wa 2014 Jukwaa la Vijana wa Kiislam Tanzania walimtunuku Shekh Mselem bin Ali Nishani Maalum kwa mchango wake katika kuisomesha Qur'an Tukufu.

Kwa kuwa Sheikh Mselem alikuwa kifungoni nishani hii ilipokelewa na mwanae, Shaib Ali Mselem kwa niaba ya baba yake.

Nishani hii ilitolewa kwake na Sheikh Ahmada Kidege ambae na yeye sasa yuko jela kwa tuhuma za ugaidi.

Sheikh Kidege ni mja mwema na mwalimu wa madrasa na shule ya Chekechea ya Kiislam akisomesha watoto Qur'an Tukufu.

Tumwombee dua Allah amnusuru.
Amin
 
Wametoka kwa makubaliano ya Hayati Seif na Mwinyi kama moja ya masharti ya kuunda serikali waliyonayo huko zenji sio kwa shinikizo lenu mkuu
Na sisi tulikuwa tunashinikiza hukumu itoke
 
Mkuu,

Mjadala wetu umekuja kwamba wewe umesema je ni hao tu ndio wamekaa muda mrefu magerezani mpaka Leo waachiwe?? Nikakwambia mimi nijuavyo ni hao tu, ila kama wewe unawajua wengine basi weka majina hapa wanazengo tuanze kupiga kelele nao waachiwe. Tangu mchana Leo mpaka sasa hivi saa tano na nusu usiku hujaweka majina.

Ndio kwanza unaniuliza maswali tu, hebu weka majina ya watu wengine waliopo magerezani huu mwaka wa 8 kesi zao bado
Kumbe sio muelewa mkuu, nimekutajia masheikh wa Arusha ambao nao wapo huko muda tu isivyo haki na waislamu wanafuatilia kesi zao ili nao waachiwe ila kumbe wewe unajadili miaka 8, sasa huo si utoto unaoufanya hapa sheikh wangu.

Mimi nilidhani hapa tunajadili watu waliyoweka huko magerezani kwa muda mrefu isivyo haki ila kumbe wewe mwenzangu unajadili miaka 8 tu ndio unaona huo ndio muda mrefu na hivyo hao masheikh wa uamsho tu ndio hawakuwa wakitendewa haki, ndio maana hatuelewani.

Kuna mtu ninamjua mimi alikaa gerezani miaka kumi na kitu bila kuhukumiwa ndio kaja kuhukumiwa juzi juzi tu ndio kapigwa miaka 20, na ukitaka jina nakupa
 
Back
Top Bottom