The perfect guy
Member
- Nov 20, 2018
- 45
- 30
Kweli kabisa na 2025 asahau kabisa ata kuingia 3 bora ndani ya ccm yeye atakomea urais wa katiba tu.Ninachoona mama ameishiwa ushawishi anatafuta mileage ya kisiasa.. Muda unavyokwenda makonda atakamatwa nae.. We mpaka mafisadi wakina Singh wameachwa huru