Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

mr c

Member
Joined
Jan 16, 2019
Posts
47
Reaction score
55
Assalam aleykum !

Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu.

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba Ukristo sio dini ni imani na kipindi cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana.

Ila naonaga hafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika hafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
 
Watu wadini siwapendi.

Ukizingatia waanzilishi wa dini hizi 2 ni wamoja, huwa ninakereka sana na udini. Kuwa rational basi, Bible (Agano la Kale) na Koran vinafanana. Dini zote zinamuamini Mungu.

Yesu anatambulika pande zote, Mariam, Joseph/Yusuf nk wanatambulika kote, Kanzu, tasbih na kujisitiri kupo kote. Dini hizi zina kiitikio maarufu "ameen/amina/ amen.

Ni mjinga tu ndiye ataona dini fulani ni bora kuliko nyingine
 
Sasa wewe jamaa hivi unajua Mtume Muhamad aliishi na jamii ya watu wasiokuwa waislamu?Soma historia ya uislam vizuri.Halafu kwa nini hafla unaandika ghafla?

Elewa nilichomaanisha sijakataa kuishi na jamii sio ya kiislam ila kiongozi wa kiislam ambae anaamini ukiristo sio dini kwa vitabu ila mbele ya hadhara anayoingoza ana kiri kuutambua

Upi msimamo wao???

Elewa kwanza Mtume wetu alikua anasambaza dini na mafundisho ya kiislam na uislam hautamki mdhuru asiye muislam au usiishi na asiye muislam

Mada hii kuhusu ndimi zao kutamka kuutambua ikiwa wao viongozi wetu na wanajua wazi...
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mzee una dhana mbaya sana,mie napenda kujifunza sana

Dini ndio maisha yetu hatuna budi kujifunza kila leo kwa watu tofaut tofaut hata kwa wasio dini yako
 
Watu wadini siwapendi.

Ukizingatia waanzilishi wa dini hizi 2 ni wamoja, huwa ninakereka sana na udini.

Kuwa rational basi.

Bible (Agano la Kale) na Koran vinafanana.

Dini zote zinamuamini Mungu.

Yesu anatambulika pande zote.

Mariam, Joseph/Yusuf nk wanatambulika kote.

Kanzu, tasbih na kujisitiri kupo kote.

Dini hizi zina kiitikio maarufu "ameen/amina/ amen.

Ni mjinga mjinga tu ndiye ataona dini fulani ni bora kuliko nyingine

Sawa ila kujifunza zaidi ni kuwa proud zaid kwa kuelewa zaid na wala sio ujinga kuwa proud ya unachokipenda
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Unajua kiingereza cha kusoma na kuelewa?

images%20-%202022-02-01T210828.400.jpg
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Bikra 72 huzitaki? Jilipue mzee ukaanze kuzichakata mapema
 
Juzi hapo kuna jamaa kagawanyishwa kiwiliwili mara nne kwa jambia, kisa alisirim na kuwa mkristo huko Afghanistan, kisha maiti yake kupelekwa mlangoni mwa nyumba yake na kuwapa onyo waliomo humo.

Yaani Mungu anatetewa kwa nguvu zote utadhani hawezi kujitetea na hiyo ndiyo dini inayosemwa ya Amani na Upendo, yaani ukifuatilia hizi dini utagundua shetani ana abudiwa kuliko wanavyotamka mdomoni.
 
Waarabu wenye dini yao Morocco, Misri, Algeria, Tunisia na waarabu weusi Mali kila siku wanahatarisha maisha kwenye mitumbwi na watoto kuingia Ulaya kwa hao mnaowaita wasio na dini.

Kwanini wasiende Iran/Pakistan/Iraq/ Saudi Arabia kwenye dini ya haki?
 
Elewa nilichomaanisha sijakataa kuishi na jamii sio ya kiislam ila kiongozi wa kiislam ambae anaamini ukiristo sio dini kwa vitabu ila mbele ya hadhara anayoingoza ana kiri kuutambua

Upi msimamo wao???

Elewa kwanza Mtume wetu alikua anasambaza dini na mafundisho ya kiislam na uislam hautamki mdhuru asiye muislam au usiishi na asiye muislam

Mada hii kuhusu ndimi zao kutamka kuutambua ikiwa wao viongozi wetu na wanajua wazi...
Baba mdogo alie mlea Mtume mpaka anakufa alikuwa sio mwislamu
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq

Usichanganye waislamu wa dhati na waislamu BAKWATA. Hao unawaona serikalini ni waislamu Bakwata hawapendwi na waislamu wa dhati.

Hao kazi yao ni kutangaza mwezi na kuhodhi mali za waislamu na hakuna wa kuwasemesha maana wao ni walinzi wa amani watakuweka ndani
 
Waarabu wenye dini yao Morocco, Misri, Algeria, Tunisia na waarabu weusi Mali kila siku wanahatarisha maisha kwenye mitumbwi na watoto kuingia Ulaya kwa hao mnaowaita wasio na dini. Kwanini wasiende Iran/Pakistan/Iraq/ Saudi Arabia kwenye dini ya haki?
Wanaenda huko kwa ajiri ya maisha sio kidini ila kuhiji huwa wanaenda Saudia Arabia sio Ulaya au kwengineko.
 
Elewa nilichomaanisha sijakataa kuishi na jamii sio ya kiislam ila kiongozi wa kiislam ambae anaamini ukiristo sio dini kwa vitabu ila mbele ya hadhara anayoingoza ana kiri kuutambua

Upi msimamo wao???

Elewa kwanza Mtume wetu alikua anasambaza dini na mafundisho ya kiislam na uislam hautamki mdhuru asiye muislam au usiishi na asiye muislam

Mada hii kuhusu ndimi zao kutamka kuutambua ikiwa wao viongozi wetu na wanajua wazi...
Mungu ndo mjuzi,unadhani wasipofanya hvyo wataeleweka?Kila amali inapimwa kwa nia....!!!nadhani umenielewa!

Masuala ya dini magumu sana...fata ibada,toa sadaka ,saidia yatima na wagonjwa
 
Back
Top Bottom