Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Msimamo wetu ni ule ule “Uisilamu ni dini ya haqqi”
 
Unafik ni jambo zito mnoo, mtume alipofika madina alipata tabu saana na wanafiki, katika quraan kuna sura nzima ya wanafik(munafiqun)

Mzee, uislam sio jina, wala kanzu... Viongozi wengi ni wachumia tumbo, hawana uislam huo moyoni, wanatumia uislam kurahisisha maisha yao ya kila siku.

Katika hao viongozi nani anafata njia ya mtume!? Jibu hakuna, basi hata kama umar abdulazizi, nako hola.
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Yani mi nilifikiri unaongea kua viongozi wana behave vibaya na waislam hawaongei. Kumbe ww umekuja kugawanyisha watu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Elewa nilichomaanisha sijakataa kuishi na jamii sio ya kiislam ila kiongozi wa kiislam ambae anaamini ukiristo sio dini kwa vitabu ila mbele ya hadhara anayoingoza ana kiri kuutambua

Upi msimamo wao???

Elewa kwanza Mtume wetu alikua anasambaza dini na mafundisho ya kiislam na uislam hautamki mdhuru asiye muislam au usiishi na asiye muislam

Mada hii kuhusu ndimi zao kutamka kuutambua ikiwa wao viongozi wetu na wanajua wazi...
Nyie ndio mmefanya kitimoto ikapanda Bei.
 
Waarabu wenye dini yao Morocco, Misri, Algeria, Tunisia na waarabu weusi Mali kila siku wanahatarisha maisha kwenye mitumbwi na watoto kuingia Ulaya kwa hao mnaowaita wasio na dini. Kwanini wasiende Iran/Pakistan/Iraq/ Saudi Arabia kwenye dini ya haki?
Na hao wazungu nao wapo busy kusilimu kila siku wanakuwa Waislamu. Kote Ujerumani, Uingereza na Ufaransa Kuna Atleast Raia laki moja ambao wamesilimu kuwa waisilamu

 
Juzi hapo kuna jamaa kagawanyishwa kiwiliwili mara nne kwa jambia, kisa alisirim na kuwa mkristo huko Afghanistan, kisha maiti yake kupelekwa mlangoni mwa nyumba yake na kuwapa onyo waliomo humo.

Yaani Mungu anatetewa kwa nguvu zote utadhani hawezi kujitetea na hiyo ndiyo dini inayosemwa ya Amani na Upendo, yaani ukifuatilia hizi dini utagundua shetani ana abudiwa kuliko wanavyotamka mdomoni.
Ndivyo walivyo.
 
Quran haisomwi Kama Gazeti, Kama kweli unataka kujifunza Google kitu kinaitwa asbabun nuzul utaelewa kila kitu kwa nini Aya fulani imeshushwa.
Eti quran imeshushwa na unaamini ila mkristo akihubiri injili na kuponya hutaki!mimi suala la quran kushushwa naona bonge la usanii!
 
Waarabu wenye dini yao Morocco, Misri, Algeria, Tunisia na waarabu weusi Mali kila siku wanahatarisha maisha kwenye mitumbwi na watoto kuingia Ulaya kwa hao mnaowaita wasio na dini. Kwanini wasiende Iran/Pakistan/Iraq/ Saudi Arabia kwenye dini ya haki?
Wanakimbilia kwa makafiri. Hata hawa wa hapa nchini huwa wanakimbilia kusoma na kupeleka watoto wao katika shule nzuri za makafiri.

Inashangaza.
 
Huu uzi nahisi harufu ya udini mkubwa sana maana ukisoma nia na madhumini ya mleta mada Wala sio kuulizia hayo anayouliza bali yeye ana msimamo wake aliokaririshwa huko madrasa sasa hapendi yanayotendeka na viongozi wa serikali.

Labda nikushauri tu wewe mfiadini, hii imani uliyokaririshwa na maustadh kwamba ukristu sio dini nadhani tuache tunaoamini kwenye ukristu wetu na hatuhitaji kushika majambia au mabomu kukulazimisha uamini, relax acha makasiriko, wewe amini unayoamini na isiwe tatizo Kama utaenda mbinguni ni wewe na kama ni motoni ni wewe.

Nakushauri hamia nchi zenye uislam haswa kule kwa waarabu wenzio maana unajiona umekuwa mwarabu sana kiasi ya kukwazwa mno ukiona wakristo, nachelea kusema unaweza kuwa na uwezo wa kulipia wakristo makanisani maana una hasira nao sana.

Ushauri wangu kwako ni kwamba; punguza kujiona upo mbinguni na endelea kuwa na kiu ya kujua neno la Mungu zaidi maana itakusaidia kwenye maisha yenye utakaso na sio kufikiria kuchinja wenzio maana unaonekana unakerwa sana pale serikali inapotambua dini zote.

Pia ningependa nikushauri tu, serikali haina dini kwa hiyo sio sababu Samia ni muislam mwenzio basi unadhani ataamua nchi iendeshwe kwa jambia na kulazimishana imani yako kama ambavyo unatamani iwe hivyo au ukristu ustambuliwe kabisa sababu wao ni makafiri Kama ulivyofundiahwa na hao maustadh waliokujaza chuki.

Pia jifunze kuheshimu dini na imani za wengine itakusaidis uione mbingu maana fungu kuu la imani ya dini ya kweli ni upendo, ukimpenda binadamu mwenzio utahakikisha unamhubiria neno la Mungu kwa upendo ili asiteketee kama kweli dini yako ndio itakupeleka mbinguni.
 
Hiyo jamii nyingine isiyo ya kislamu ndio ile wanayoitwa Makafiri au kuna nyingine?
Hawa jamaa wanajionaga wameshafika mbinguni hao maustadh wanawafundisha chuki sana.

Mbona sisi mafundisho ya kipaimara hatufundishwi chuki? Yaani vitabu vyote vya sunday school watoto wa kikristu wanafundishwa upendo, ??

Hawa wenzetu kuna shida sana eti alipokuwa madrasa alifundishwa ukristu sio dini na ni makafiri aisee dah? No wonder wenzetu mnalazimisha dini ikubaliwe kwa upanga.

Yesu alishasema waache wafu wazikane wao kwa wao baada ya yule bwana kuambiwa nifuate nae akasema amsubiri aende akahudhurie msiba.

Neno la Mungu halitangazwi kwa kulazimishana hata Mtume Mohammad hakulazimisha mtu sijui hawa wenzetu wanatoa wapi haya mambo ya kuwabagua dini nyingine 🙆🏼‍♀️🤷
 
Huoni mpaka shekh mkuu wa jiji la maraha shehena Alhadi mussa Salum nae kapewa udokita wa heshima😂😂
 
Huu uzi nahisi harufu ya udini mkubwa sana maana ukisoma nia na madhumini ya mleta mada Wala sio kuulizia hayo anayouliza bali yeye ana msimamo wake aliokaririshwa huko madrasa sasa hapendi yanayotendeka na viongozi wa serikali.

Labda nikushauri tu wewe mfiadini, hii imani uliyokaririshwa na maustadh kwamba ukristu sio dini nadhani tuache tunaoamini kwenye ukristu wetu na hatuhitaji kushika majambia au mabomu kukulazimisha uamini, relax acha makasiriko, wewe amini unayoamini na isiwe tatizo Kama utaenda mbinguni ni wewe na kama ni motoni ni wewe.

Nakushauri hamia nchi zenye uislam haswa kule kwa waarabu wenzio maana unajiona umekuwa mwarabu sana kiasi ya kukwazwa mno ukiona wakristo, nachelea kusema unaweza kuwa na uwezo wa kulipia wakristo makanisani maana una hasira nao sana.

Ushauri wangu kwako ni kwamba; punguza kujiona upo mbinguni na endelea kuwa na kiu ya kujua neno la Mungu zaidi maana itakusaidia kwenye maisha yenye utakaso na sio kufikiria kuchinja wenzio maana unaonekana unakerwa sana pale serikali inapotambua dini zote.

Pia ningependa nikushauri tu, serikali haina dini kwa hiyo sio sababu Samia ni muislam mwenzio basi unadhani ataamua nchi iendeshwe kwa jambia na kulazimishana imani yako kama ambavyo unatamani iwe hivyo au ukristu ustambuliwe kabisa sababu wao ni makafiri Kama ulivyofundiahwa na hao maustadh waliokujaza chuki.

Pia jifunze kuheshimu dini na imani za wengine itakusaidis uione mbingu maana fungu kuu la imani ya dini ya kweli ni upendo, ukimpenda binadamu mwenzio utahakikisha unamhubiria neno la Mungu kwa upendo ili asiteketee kama kweli dini yako ndio itakupeleka mbinguni.
Hakuna udini wowote katika uzi huu bali uelewa wa watu ni mdogo, kutosoma vizuri na kuwa na mihemko mingi.

Mfano wa lile ambalo mleta mada ameuliza ni kama wewe hauamini Ktk mizimu ila kwenye sherehe za matambiko na ibada zao unashiriki vipi hapo wewe si ni sawa na kufanya unafiki ?

Sasa hapo chuki ipo wapi angekuwa amesema kivipi Waislamu wawe pamoja (mahusiano ya kijamii) na wakristo hapo kweli ningeona amefanya udini
 
Watu wadini siwapendi.

Ukizingatia waanzilishi wa dini hizi 2 ni wamoja, huwa ninakereka sana na udini.

Kuwa rational basi.

Bible (Agano la Kale) na Koran vinafanana.

Dini zote zinamuamini Mungu.

Yesu anatambulika pande zote.

Mariam, Joseph/Yusuf nk wanatambulika kote.

Kanzu, tasbih na kujisitiri kupo kote.

Dini hizi zina kiitikio maarufu "ameen/amina/ amen.

Ni mjinga mjinga tu ndiye ataona dini fulani ni bora kuliko nyingine
@Aikambee.
 
Watu wadini siwapendi.

Ukizingatia waanzilishi wa dini hizi 2 ni wamoja, huwa ninakereka sana na udini.

Kuwa rational basi.

Bible (Agano la Kale) na Koran vinafanana.

Dini zote zinamuamini Mungu.

Yesu anatambulika pande zote.

Mariam, Joseph/Yusuf nk wanatambulika kote.

Kanzu, tasbih na kujisitiri kupo kote.

Dini hizi zina kiitikio maarufu "ameen/amina/ amen.

Ni mjinga mjinga tu ndiye ataona dini fulani ni bora kuliko nyingine
Aiseee rationalizations of your mind must not rationalize each and everything...!!!
 
Aiseee rationalizations of your mind must not rationalize each and everything...!!!
Physical, emotional, spiritual, and mentality should be in balance.

Yaani hivi vitu vinne ni kama miguu minne ya stuli.

Mguu mmoja ukikosekana, stuli inaanguka.

Mguu mmoja ukizidi, stuli inaanguka.

Lazima ubalance imani, mwili, akili na hisia. Kimoja kikizidi lazima uharibikiwe tu.

Dini ikikuelemea utakuwa mdini na utakua unaona dini yako ya muhimu na utadharau wengine hatimaye utajitenga.
 
Back
Top Bottom