Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Elewa nilichomaanisha sijakataa kuishi na jamii sio ya kiislam ila kiongozi wa kiislam ambae anaamini ukiristo sio dini kwa vitabu ila mbele ya hadhara anayoingoza ana kiri kuutambua

Upi msimamo wao???

Elewa kwanza Mtume wetu alikua anasambaza dini na mafundisho ya kiislam na uislam hautamki mdhuru asiye muislam au usiishi na asiye muislam

Mada hii kuhusu ndimi zao kutamka kuutambua ikiwa wao viongozi wetu na wanajua wazi...
Kuna watu wanapindisha kwa makusudi hoja yako wewe unachataka kujua vipi wakiwa misikiti, mihadhara na madrasa waukatae ukristo kua si dini, ila kwenye hafla za kiserikali wautambue ukristo kua ni dini?.


Nadhani hoja yako iko hapo
 
Kuna watu wanapindisha kwa makusudi hoja yako.wewe unachataka kujua vipi wakiwa misikiti,mihadhara na madrasa waukatae ukristo kua si dini,ila kwenye hafla za kiserikali wautambue ukristo kua ni dini?.


Nadhani hoja yako iko hapo
Ni kweli hoja ipo hapa..kiukweli hao viongozi wa dini wengi wachumia tumbo..na hutumia waumini wao wajinga wasio jielewa kama ngazi ya kufikia mambo yao binafs kwa mgongo wa dini..kumbuka dini hazina mashiko kwa mwanadamu na ni kitu ambacho sio tangible..ili kiweze kuwa tangible ni kuweka hisia za hofu..uoga na utengano ili kuweza kupata waumini na waendelee kuwepo katika dini husika.

Ila wenzetu kwakua wamejazwa ujinga..na wengi wawajielewe..na kwa kuwa wana inferiority complex..basi ule uoga na ujinga..umejaa chuki na husuda.

Wakulaumiwa ni hao viongozi wao wachumia tumbo mana wamejaa unafiki.

All in all dini zimekuja kuleta utengano sana hasa katika jamii zetu za afrika....i wish wazee wa NWO watuondolee huu upumbafu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli hoja ipo hapa..kiukweli hao viongozi wa dini wengi wachumia tumbo..na hutumia waumini wao wajinga wasio jielewa kama ngazi ya kufikia mambo yao binafs kwa mgongo wa dini..kumbuka dini hazina mashiko kwa mwanadamu na ni kitu ambacho sio tangible..ili kiweze kuwa tangible ni kuweka hisia za hofu..uoga na utengano ili kuweza kupata waumini na waendelee kuwepo katika dini husika.

Ila wenzetu kwakua wamejazwa ujinga..na wengi wawajielewe..na kwa kuwa wana inferiority complex..basi ule uoga na ujinga..umejaa chuki na husuda.

Wakulaumiwa ni hao viongozi wao wachumia tumbo mana wamejaa unafiki.

All in all dini zimekuja kuleta utengano sana hasa katika jamii zetu za afrika....i wish wazee wa NWO watuondolee huu upumbafu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Naaamini kati haya uliyosema,ila kwa hizii jamii zetu ni vita kuyaeleza haya hadharani. Kuna mtu ikitajwa dini yake kwa maana ya kukosoa/kuhoji, badi yuko radhi hata kupigana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Ajabu watu aiana hiyo ukifuatilia matendo yao katika maisha yao ya kila siku ni uovuu mtupuuu.
 
Naaamini kati haya uliyosema,ila kwa hizii jamii zetu ni vita kuyaeleza haya hadharani. Kuna mtu ikitajwa dini yake kwa maana ya kukosoa/kuhoji, badi yuko radhi hata kupigana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Ajabu watu aiana hiyo ukifuatilia matendo yao katika maisha yao ya kila siku ni uovuu mtupuuu.
Bora uamini kwenye sayansi..kuliko ujinga wa dini..afrika dini zimetuletea umasikini wa kutupwa..ulaya sayansi inawaletea utajiri na ustaarabu.

Ila wagalatia na warabu weusi walivyozingangania huwaambi kitu..kumbe ni ujinga tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusitoane Roho tu kwasababu ya Dini.chonde chonde.
Waislamu wao kwa wao kutoana roho kitu cha kawaida

Mfano Somalia ni waislamu watupu ila kutwa wanatwangana

Wakristo tuna imani tofauti ila huwa hatupigani sababu ya tofauti za imani zetu waislamu ngumi kuwaka kwa tofauti za kiimani ni dakika tu Raisi Mwinyi alishaeahi chapwa makofi kwenye hafla ya kiislamu kisa kutofautiana tu imani

Mashia na ma sunni kulipuliana misikiti kawaida sana wakati wote waislamu

Mwislamu siasa kali na mwislamu Bakwata wakikutana moto kuwaka dakika tu
 
Waislamu wao kwa wao kutoana roho kitu cha kawaida

Mfano Somalia ni waislamu watupu ila kutwa wanatwangana

Wakrisyo tuna imani tofauti ila huwa hatupigani sababu ya tofauti za imani zetu waislamu ngumi kuwaka kwa tofauti za kiimani ni dakika tu Raisi Mwinyi alishaeahi chapwa makofi kwenye hafla ya kiislamu kisa kutofautiana tu imani

Mashia na ma sunni kulipuliana misikiti kawaida sana wakati wote waislamu

Mwislamu siasa kali na mwislamu Bakwata wakikutana moto kuwaka dakika tu
Bakwatwa ni tawi la ccm kama uwt na uvccm..hao ni wazee wa makongamano ya kusifu na kuabudu viongozi wa chama..baada ya hapo ubwabwa na posho juu mchezo umeisha.

Wale wengine wao wanataka bikra 7 kule akhera.

Kweli dini ni ulevi kama ilivyopombe na madawa ya kulevya.

Halafu huu ujinga upo sana afrika..ndio mana jamii zetu kila siku ni umasikini..magonjwa..ujinga..unafiki ndio vimejaa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini Allah asiwape maisha huko walipo mpaka wengine wakafie baharini kwa kugombania kuingia katika nchi za makafiri?
Kwanza hakuna nchi ya makafiri, lakini pia hata hao wazungu wapo kwenye nchi za waarabu na hadi huku afrika pia wapo kote ni issue za maisha haihusiani na Allah wala Yehova.
 
Bakwatwa ni tawi la ccm kama uwt na uvccm..hao ni wazee wa makongamano ya kusifu na kuabudu viongozi wa chama..baada ya hapo ubwabwa na posho juu mchezo umeisha.

Wale wengine wao wanataka bikra 7 kule akhera.

Kweli dini ni ulevi kama ilivyopombe na madawa ya kulevya.

Halafu huu ujinga upo sana afrika..ndio mana jamii zetu kila siku ni umasikini..magonjwa..ujinga..unafiki ndio vimejaa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe ulitaka Bakwata wafanyaje au ulitaka nao kiwakute kama kilichowakuta Uamsho? Maana kumpa kesi ya ugaidi muislamu ni jambo jepesi sana hivyo fikiria hilo mkuu.
 
Waislamu wao kwa wao kutoana roho kitu cha kawaida

Mfano Somalia ni waislamu watupu ila kutwa wanatwangana

Wakrisyo tuna imani tofauti ila huwa hatupigani sababu ya tofauti za imani zetu waislamu ngumi kuwaka kwa tofauti za kiimani ni dakika tu Raisi Mwinyi alishaeahi chapwa makofi kwenye hafla ya kiislamu kisa kutofautiana tu imani

Mashia na ma sunni kulipuliana misikiti kawaida sana wakati wote waislamu

Mwislamu siasa kali na mwislamu Bakwata wakikutana moto kuwaka dakika tu
Hilo pengine linachangia na watu wa imani husika wanaipa uzito kiasi gani hiyo imani yao, changine hapo utaona imani moja imegusa sehemu kubwa ya maisha na hivyo inawagusa sana hao waumini tofauti na imani nyengine imejikita sana kwenye kuabudu na kuomba tu inakuwa sio sana kutokea migogoro.
 
Ni kweli hoja ipo hapa..kiukweli hao viongozi wa dini wengi wachumia tumbo..na hutumia waumini wao wajinga wasio jielewa kama ngazi ya kufikia mambo yao binafs kwa mgongo wa dini..kumbuka dini hazina mashiko kwa mwanadamu na ni kitu ambacho sio tangible..ili kiweze kuwa tangible ni kuweka hisia za hofu..uoga na utengano ili kuweza kupata waumini na waendelee kuwepo katika dini husika.

Ila wenzetu kwakua wamejazwa ujinga..na wengi wawajielewe..na kwa kuwa wana inferiority complex..basi ule uoga na ujinga..umejaa chuki na husuda.

Wakulaumiwa ni hao viongozi wao wachumia tumbo mana wamejaa unafiki.

All in all dini zimekuja kuleta utengano sana hasa katika jamii zetu za afrika....i wish wazee wa NWO watuondolee huu upumbafu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Utengano unaweza kuufanya kwa kutumia lolote lile sio dini tu hata ukabila unaweza kutumia kuleta utengano, leo hii watu wanavunja hadi udugu kwa sababu ya pesa kwahiyo chochote kile kinaweza kutumika kuleta utengano na kinaweza kutumika kuleta umoja.
 
Bora uamini kwenye sayansi..kuliko ujinga wa dini..afrika dini zimetuletea umasikini wa kutupwa..ulaya sayansi inawaletea utajiri na ustaarabu.

Ila wagalatia na warabu weusi walivyozingangania huwaambi kitu..kumbe ni ujinga tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila kitu kina makusudio yake maisha ni zaidi ya utajiri tu mkuu ndio maana huko ulaya pamoja hiyo sayansi ila bado wana imani na tamaduni mbalimbali kwenye maisha yao kwa sababu sayansi ina nafasi yake na hayo mambo mengine yana nafasi yake,sayansi sio jibu la kila kitu mkuu kwenye maisha.
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Hapo ni wazi kabisa kuna unafiki fulani unaendelea. Mtu anakuwa na mawazo kwamba dini yake ni bora kuliko za wengine na chuki za chini chini na dini ya mwenzie. Ila akiwa mbele ya umma anajifanya hana tatizo lolote na dini nyingine ili kulinda nafasi aliopewa na serikali aendelee kufaidika kiuchumi
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Kuna mwenzako kauliwa Huko Mozambique
 
Kila kitu kina makusudio yake maisha ni zaidi ya utajiri tu mkuu ndio maana huko ulaya pamoja hiyo sayansi ila bado wana imani na tamaduni mbalimbali kwenye maisha yao kwa sababu sayansi ina nafasi yake na hayo mambo mengine yana nafasi yake,sayansi sio jibu la kila kitu mkuu kwenye maisha.
Sayansi na uvumbuzi wameipa nafasi kubwa zaidi..kuliku ujunga mwingine..ndio mana leo waanavumbua makubwa ambapo wewe na mimi hatujayawaza..mana tumefungwa na ujinga na upumbafu..kupitia mambo kama ya dini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi nahisi harufu ya udini mkubwa sana maana ukisoma nia na madhumini ya mleta mada Wala sio kuulizia hayo anayouliza bali yeye ana msimamo wake aliokaririshwa huko madrasa sasa hapendi yanayotendeka na viongozi wa serikali.

Labda nikushauri tu wewe mfiadini, hii imani uliyokaririshwa na maustadh kwamba ukristu sio dini nadhani tuache tunaoamini kwenye ukristu wetu na hatuhitaji kushika majambia au mabomu kukulazimisha uamini, relax acha makasiriko, wewe amini unayoamini na isiwe tatizo Kama utaenda mbinguni ni wewe na kama ni motoni ni wewe.

Nakushauri hamia nchi zenye uislam haswa kule kwa waarabu wenzio maana unajiona umekuwa mwarabu sana kiasi ya kukwazwa mno ukiona wakristo, nachelea kusema unaweza kuwa na uwezo wa kulipia wakristo makanisani maana una hasira nao sana.

Ushauri wangu kwako ni kwamba; punguza kujiona upo mbinguni na endelea kuwa na kiu ya kujua neno la Mungu zaidi maana itakusaidia kwenye maisha yenye utakaso na sio kufikiria kuchinja wenzio maana unaonekana unakerwa sana pale serikali inapotambua dini zote.

Pia ningependa nikushauri tu, serikali haina dini kwa hiyo sio sababu Samia ni muislam mwenzio basi unadhani ataamua nchi iendeshwe kwa jambia na kulazimishana imani yako kama ambavyo unatamani iwe hivyo au ukristu ustambuliwe kabisa sababu wao ni makafiri Kama ulivyofundiahwa na hao maustadh waliokujaza chuki.

Pia jifunze kuheshimu dini na imani za wengine itakusaidis uione mbingu maana fungu kuu la imani ya dini ya kweli ni upendo, ukimpenda binadamu mwenzio utahakikisha unamhubiria neno la Mungu kwa upendo ili asiteketee kama kweli dini yako ndio itakupeleka mbinguni.
Uzi umeishia hapa
 
Eti quran imeshushwa na unaamini ila mkristo akihubiri injili na kuponya hutaki!mimi suala la quran kushushwa naona bonge la usanii!
Huo ni muono wako mkuu, na hakuna muisilamu anaekataa injili, katika Nguzo 6 za imani za uisilamu ni kuamini Mitume na Vitabu vya mwenyezi Mungu. Tunachoamini sisi tu ni kwamba ipo corrupted, unapotafsiri kitabu toka lugha mama tena kimetafsiriwa na Binadamu lazima makosa yaanze.
 
Waislamu wao kwa wao kutoana roho kitu cha kawaida

Mfano Somalia ni waislamu watupu ila kutwa wanatwangana

Wakrisyo tuna imani tofauti ila huwa hatupigani sababu ya tofauti za imani zetu waislamu ngumi kuwaka kwa tofauti za kiimani ni dakika tu Raisi Mwinyi alishaeahi chapwa makofi kwenye hafla ya kiislamu kisa kutofautiana tu imani

Mashia na ma sunni kulipuliana misikiti kawaida sana wakati wote waislamu

Mwislamu siasa kali na mwislamu Bakwata wakikutana moto kuwaka dakika tu
[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
 
Wanakimbilia kwa makafiri. Hata hawa wa hapa nchini huwa wanakimbilia kusoma na kupeleka watoto wao katika shule nzuri za makafiri.

Huu uzi nahisi harufu ya udini mkubwa sana maana ukisoma nia na madhumini ya mleta mada Wala sio kuulizia hayo anayouliza bali yeye ana msimamo wake aliokaririshwa huko madrasa sasa hapendi yanayotendeka na viongozi wa serikali.

Labda nikushauri tu wewe mfiadini, hii imani uliyokaririshwa na maustadh kwamba ukristu sio dini nadhani tuache tunaoamini kwenye ukristu wetu na hatuhitaji kushika majambia au mabomu kukulazimisha uamini, relax acha makasiriko, wewe amini unayoamini na isiwe tatizo Kama utaenda mbinguni ni wewe na kama ni motoni ni wewe.

Nakushauri hamia nchi zenye uislam haswa kule kwa waarabu wenzio maana unajiona umekuwa mwarabu sana kiasi ya kukwazwa mno ukiona wakristo, nachelea kusema unaweza kuwa na uwezo wa kulipia wakristo makanisani maana una hasira nao sana.

Ushauri wangu kwako ni kwamba; punguza kujiona upo mbinguni na endelea kuwa na kiu ya kujua neno la Mungu zaidi maana itakusaidia kwenye maisha yenye utakaso na sio kufikiria kuchinja wenzio maana unaonekana unakerwa sana pale serikali inapotambua dini zote.

Pia ningependa nikushauri tu, serikali haina dini kwa hiyo sio sababu Samia ni muislam mwenzio basi unadhani ataamua nchi iendeshwe kwa jambia na kulazimishana imani yako kama ambavyo unatamani iwe hivyo au ukristu ustambuliwe kabisa sababu wao ni makafiri Kama ulivyofundiahwa na hao maustadh waliokujaza chuki.

Pia jifunze kuheshimu dini na imani za wengine itakusaidis uione mbingu maana fungu kuu la imani ya dini ya kweli ni upendo, ukimpenda binadamu mwenzio utahakikisha unamhubiria neno la Mungu kwa upendo ili asiteketee kama kweli dini yako ndio itakupeleka mbinguni.
Hawa jamaa wanajionaga wameshafika mbinguni hao maustadh wanawafundisha chuki sana.

Mbona sisi mafundisho ya kipaimara hatufundishwi chuki? Yaani vitabu vyote vya sunday school watoto wa kikristu wanafundishwa upendo, ??

Hawa wenzetu kuna shida sana eti alipokuwa madrasa alifundishwa ukristu sio dini na ni makafiri aisee dah? No wonder wenzetu mnalazimisha dini ikubaliwe kwa upanga.

Yesu alishasema waache wafu wazikane wao kwa wao baada ya yule bwana kuambiwa nifuate nae akasema amsubiri aende akahudhurie msiba.

Neno la Mungu halitangazwi kwa kulazimishana hata Mtume Mohammad hakulazimisha mtu sijui hawa wenzetu wanatoa wapi haya mambo ya kuwabagua dini nyingine 🙆🏼‍♀️🤷
Kwanza mkuu uisilamu upo decentralised, hakuna mtu anaemkaririsha mtu bali tunafuata mafundisho ya Quran na Sunnah.

Pili soma uzi wote humu nambie nani anamkashifu nani? Sababu asilimia 90 za comment humu zinakashifu uisilamu ila wewe una pretend as if vice versa is true.
 
Back
Top Bottom