Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Serikali haina Dini Basi...., katambuaneni mahekaluni na misikitini....,
 
Jibuni swali kwanini hawakimbilii MECCA , au oman na nchi nyingine ambazo uislamu ndio dini ya nchi
 
Jibuni swali kwanini hawakimbilii MECCA , au oman na nchi nyingine ambazo uislamu ndio dini ya nchi
Mwarabu hajawahi kumpenda mwafrika..ila waafrika kila siku kujipendekeza na kujifanya miarabu miyeusi hata huku tu huwezi ona mwarabu aozeshe mtoto wake kwa blak hata kama ashike vipi dini.

Umesahai hao ndio walikua wana wahasi watumwa ili wasizae na mabinti zao wa kiarabu..ndio mana uarabuni ni pure waarabu hakuna weusi huko.

Waafrika ujinga mwingi sana asee.

Halafu kutwa kukicha inaumizana kisa dini.


#MaendeleoHayanaChama
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
[emoji851][emoji851]
 
Elewa nilichomaanisha sijakataa kuishi na jamii sio ya kiislam ila kiongozi wa kiislam ambae anaamini ukiristo sio dini kwa vitabu ila mbele ya hadhara anayoingoza ana kiri kuutambua

Upi msimamo wao???

Elewa kwanza Mtume wetu alikua anasambaza dini na mafundisho ya kiislam na uislam hautamki mdhuru asiye muislam au usiishi na asiye muislam

Mada hii kuhusu ndimi zao kutamka kuutambua ikiwa wao viongozi wetu na wanajua wazi...
Umejuaje kuwa hao viongozi unaowataja wanaamini unachokiamini?
Au kwa sababu wanavaa na kujinasibisha kama wewe.

Sio waislamu wote wanaamini kuwa ni vibaya kusalimu kwa kutumia maneno ya dini nyingine.

Ishi maisha yako itakusaidia sana kuachana na hizi stress.
 
Alikuja mtu mweupe kutoka Kaskazini na Mweupe kutoka Magharibi, wakawakuta ndugu wanaopendana, kila mmoja akawafundisha mafundisho yake walipoondoka ndugu wakawa maadui.
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Kuna nyuzi ukifungua ni lazima ujilaumu
 
[emoji2][emoji2] Hao hao viongozi unaowasema mleta mada bado wana watoto wao wanasoma Saint Francis !!
 
Wanaenda huko kwa ajiri ya maisha sio kidini ila kuhiji huwa wanaenda Saudia Arabia sio Ulaya au kwengineko.
Na ulaya hawawataki waislam sasa wanang'ang'ania nini??!!!waende uarabuni kwani huko hakuna maisha🤣🤣🤣🤣
 
Na hao wazungu nao wapo busy kusilimu kila siku wanakuwa Waislamu. Kote Ujerumani, Uingereza na Ufaransa Kuna Atleast Raia laki moja ambao wamesilimu kuwa waisilamu

Unajipa moyo sana kwa habari za kusadikika🤣🤣🤣 tembea uone wanavyotimuliwa hao waislam wenzako ulaya huko, hizi habari za kutengeneza usishadadie ni fake nyingi tu
 
Huoni mpaka shekh mkuu wa jiji la maraha shehena Alhadi mussa Salum nae kapewa udokita wa heshima😂😂
Tena kapewa na hao wanaoita makafiri🤣🤣🤣😁 ila waislam hovyo kichizi utakuta anaita watu makafiri huku kavaa suti na simu za makafiri mkononi😂😂😂😁😁 chenga sana hawajielewi kabisaa ndio maana wanadharaulika sana
 
Wanaenda huko kwa ajiri ya maisha sio kidini ila kuhiji huwa wanaenda Saudia Arabia sio Ulaya au kwengineko.
Kama mungu wao wa kweli kwa nini asiwape maisha huko huko kwao,
 
[emoji2][emoji2] Hao hao viongozi unaowasema mleta mada bado wana watoto wao wanasoma Saint Francis !!
Hawa waislamu wa mkuranga tabu kweli. Kuna jamaa tulikuwa nae Pugu miaka hiyo shule anasema hata kuimba wimbo wa taifa ni Ukafiri. Kuna siku timu ya taifa ya Saudi Arabia ilicheza wakaimba wimbo wao was taifa.

Nikamwambia shekhe unawaona watoto wa mtume?
 
Huwa najiuliza ni kitu gani kinawafanya waislam waamini kuwa dini yao ni ya kweli na dini nyingine sio za kweli.

Ukijaribu kuisoma vizuri imani hii ya kiislam ukiwa na open mind utagundua ina mapungufu makubwa sana kuifanya kuwa dini ya kweli ukilinganisha na dini nyingine kama wafuasi wake wanavyoinasibisha.

Hebu ngoja niishie tu hapa nikajenge taifa langu kwanza, lakini naomba tusibaguane ndugu zangu.
 
Kama mungu wao wa kweli kwa nini asiwape maisha huko huko kwao,
Wanaamini Mungu wao aliumba dunia nzima na si nchi yao tu na ni Mungu wa dunia nzima hivyo popote wanaweza kwenda.
 
Back
Top Bottom