Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Unajua kiingereza cha kusoma na kuelewa?

View attachment 2104328
Hata wale magaidi wanakuwa watu aina yenu! Yaani wanapewa kipande cha Aya ya Quran, nao bila kutafakari, wanatumika kupitia vipande hivyp!! Ndo kama wewe sasa!!!

Umeokoteza screenshot sijui kutoka wapi ndo tayari ushaona unaijua Quran ambayo watu wanaisoma miaka nenda rudi! Neither Quran nor Gospel inayoweza kusomwa kwa staili hiyo kwa sababu ukifanya hivyo, ndipo unaweza kukutana na aya kama hii:- Luka 19: 24-27

24 Ndipo akawaambia wale waliokuwa wamesimama karibu , ‘Mnyang’anyeni fungu lake la fedha mkampe yule mwenye kumi.’ 25 Wakamwambia, ‘Bwana, mbona tayari anayo mafungu kumi’? 26 Akajibu, ‘Nawahakikishieni kwamba, kila aliye na kitu, Mungu atamwongezea; na yule asiyetumia alicho nacho, atanyang’anywa hata hicho alicho nacho. 27 Sasa nileteeni wale maadui zangu ambao hawakutaka mimi niwe mfalme wao; waleteni hapa muwaue mbele yangu.”

Je, kwa hiyo staili yenu mtu hajaenda kuwalisha watu matango pori kwamba Bible inasema "mwenye kingi huongezewa na asiye nacho atanyang'anywa?" Na kwamba Bwana anauhusu maadui kuuawa?

Kinyume chake, ukiisoma aya hizo kwa makini unakuta aliyesema hayo kumbe sio "Bwana yule" anayefahamika na wengi kama Yesu!! Kumbe ni nukuu ya maneno yaliyosemwa na mwanadamu!!

Unless kama umeamua kupotosha kwa makusudi kama ambavyo mtu angeweza kusoma "Bwana aliagiza maadui wauawe" lakini ukweli kuhusu aya uliyoiweka mwanzoni kabisa kama 2:191 huwezi kuuelewa bila kusoma aya ya 2:190 na zingine zinazofuatia:

Quran.png


Ukisoma aya hizo mbili zinazofuatana utagundua kwamba kilichopo hapo ni kuji-defend! Kwamba, watu mmevamiwa, mmepigwa, na pengine wengine wameuawa na kutekwa makazi yao!!

Na ndo maana 2:190 inasema "Piganeni nao wale WALIOKUPIGENI na wala msizidishe"

Na HUWEZI kufahamu kwanini hizo aya zilikuja kwa mtindo huo bila kufahamu historia ya Muhamad na Wafuasi wake ambayo iliwafanya waikimbie hadi Mecca na kutorokea Madina baada ya kuwa kila wakati wanashambuliwa na kuuawa na hao infidels'

Now tell me: Huko mnakofundishwa upendo huwa mnafanya nini mnaposhambuliwa na kupigwa?! Huwa mnageuza shavu la kushoto kama bible inavyosema au mnapigana kama Quran inavyosema?

And remember, unapoambiwa "fight in the way of Allah" hiyo sio like any other war!!! Hiyo ni kama Wakristo mmekusanyika pale Taifa mnaanza kuhubiriana neno halafu linakuja kundi la watu na kuanza kuwatembezea kichapo! Sio kichapo cha mara moja bali hali yenyewe ndo inakuwa hivyo, inyeshe mvua, liwake jua!!!

Unataka kusema hapo Bible inawaambia "geuza shavu la kushoto?

Na kama ndivyo, vile Vita vya Msalaba vilitokea wapi?! NI Unbelievers (from Christianity PoV) wale?

Halafu haya mengine, yapunguzeni hata kwa kusoma bible yenu wenyewe!! Hebu angalia hiyo Quran 3:28 uliyoiweka hapo kisha fananisha na 2 Wakorintho 6:14 ambayo inasema:-
2 Wakorinto 6-14.png


Hapo juu ni 2 Wakorinto 6:14. Mnaambiwaje hapo?! Au hufahamu infidel ndo hao unbelievers?! Au unataka version ya Kiswahili? Hii hapa chini:-
2 Wakorinto 6-14 SW.png


2 Yohana 1:9-11 nae anawaambia:-
9Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia. 10Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu. 11Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.

Tuache huu unafiki, ukweli mchungu ni kwamba, ukifuatilia maandiko ya dini zote, ni taabu tupu.
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Waislamu tunafundishwa kuishi vizuri na amani na jamii zote yaani wasiokua waislamu iwe mkristo au pagani lakini usifungamane na kile ambacho mwenyezimungu amekikataza hapo unatakiwa kua mbali na matendo hayo

Mtume Muhammad (s.a.w) alifanya biashara na wasiokua waislamu na aliishi na wasiokua waislamu
 
Kwanza hakuna nchi ya makafiri, lakini pia hata hao wazungu wapo kwenye nchi za waarabu na hadi huku afrika pia wapo kote ni issue za maisha haihusiani na Allah wala Yehova.
Wazungu tafsiri ya imani wanaielewa sana tatizo waarabu wanalazimisha imani yao lazima ifuatwe katika nchi zao.
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Waislamu tunafundishwa kuishi vizuri na amani na jamii zote yaani wasiokua waislamu iwe mkristo au pagani lakini usifungamane na kile ambacho mwenyezimungu amekikataza hapo unatakiwa kua mbali na matendo hayo

Mtume Muhammad (s.a.w) alifanya biashara na wasiokua waislamu na aliishi na wasiokua
Nyie ndio mmefanya kitimoto ikapanda Bei.
Uislamu umeweka wazi kitimoto ni haramu,sijui wewe kafiri unaisemea vipi dini yako kuhusu kitimoto


Halafu unatakiwa kufahamu ni kwamba kitimoto analiwa na wakristo,pagani na waislamu pia wapo wanaokula kitimoto,ila katika dini ni dini moja tu ambayo imeharamisha kitimoto nayo ni UISLAMU
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Waislamu tunafundishwa kuishi vizuri na amani na jamii zote yaani wasiokua waislamu iwe mkristo au pagani lakini usifungamane na kile ambacho mwenyezimungu amekikataza hapo unatakiwa kua mbali na matendo hayo

Mtume Muhammad (s.a.w) alifanya biashara na wasiokua waislamu na aliishi na wasiokua
Nyie ndio mmefanya kitimoto ikapanda Bei.
Uislamu umeweka wazi kitimoto ni haramu,sijui wewe kafiri unaisemea vipi dini yako kuhusu kitimoto


Halafu unatakiwa kufahamu ni kwamba kitimoto analiwa na wakristo,pagani na waislamu pia wapo wanaokula kitimoto,ila katika dini ni dini moja tu ambayo imeharamisha kitimoto nayo ni UISLAMU
 
Sayansi na uvumbuzi wameipa nafasi kubwa zaidi..kuliku ujunga mwingine..ndio mana leo waanavumbua makubwa ambapo wewe na mimi hatujayawaza..mana tumefungwa na ujinga na upumbafu..kupitia mambo kama ya dini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hatuendishi nchi kwa kutumia dini,huko mahakamani hatutumii sheria za dini,na elimu yetu sio ya dini. Sasa nashindwa kuelewa dini inahusikaje hapo?

Na kama dini ndio inaleta umasikini wetu afrika basi huko uarabuni wasingekuwa matajiri wangekuwa masikini zaidi ya afrika.
 
Waislamu tunafundishwa kuishi vizuri na amani na jamii zote yaani wasiokua waislamu iwe mkristo au pagani lakini usifungamane na kile ambacho mwenyezimungu amekikataza hapo unatakiwa kua mbali na matendo hayo

Mtume Muhammad (s.a.w) alifanya biashara na wasiokua waislamu na aliishi na wasiokua

Uislamu umeweka wazi kitimoto ni haramu,sijui wewe kafiri unaisemea vipi dini yako kuhusu kitimoto


Halafu unatakiwa kufahamu ni kwamba kitimoto analiwa na wakristo,pagani na waislamu pia wapo wanaokula kitimoto,ila katika dini ni dini moja tu ambayo imeharamisha kitimoto nayo ni UISLAMU

kaka hata biblia imekataza kula nyama ya nguruwe
 
Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?
Mshika Dini Haswaaa, hawezi Purukushani za Serikalini; Kule kuna Neutralism ya kutosha; Ukishakuwa kiongozi tuu lazima Kuna Unafiki Uwe nao ili uweze kubalance Mambo;

Rais hata awe Musislamu hawezi kuwa na Strong ethics zake kuna namna atakuwa Neutral tu, Akiwa Christian the same; Maana unaongoza makundi ya watu tofauti.

NB: Kila mtu ana kiwango cha Unafiki ili aweze kuishi katika hii dunia.
 
Juzi hapo kuna jamaa kagawanyishwa kiwiliwili mara nne kwa jambia, kisa alisirim na kuwa mkristo huko Afghanistan, kisha maiti yake kupelekwa mlangoni mwa nyumba yake na kuwapa onyo waliomo humo.

Yaani Mungu anatetewa kwa nguvu zote utadhani hawezi kujitetea na hiyo ndiyo dini inayosemwa ya Amani na Upendo, yaani ukifuatilia hizi dini utagundua shetani ana abudiwa kuliko wanavyotamka mdomoni.

Alisirim,andika vizuri basi
 
Hakuna udini wowote katika uzi huu bali uelewa wa watu ni mdogo, kutosoma vizuri na kuwa na mihemko mingi.

Mfano wa lile ambalo mleta mada ameuliza ni kama wewe hauamini Ktk mizimu ila kwenye sherehe za matambiko na ibada zao unashiriki vipi hapo wewe si ni sawa na kufanya unafiki ? Ss hapo chuki ipo wapi angekuwa amesema kivipi Waislamu wawe pamoja (mahusiano ya kijamii) na wakristo hapo kweli ningeona amefanya udini

Ahsante Kaka umefafanua vizur mno
 
Kuna watu wanapindisha kwa makusudi hoja yako.wewe unachataka kujua vipi wakiwa misikiti,mihadhara na madrasa waukatae ukristo kua si dini,ila kwenye hafla za kiserikali wautambue ukristo kua ni dini?.


Nadhani hoja yako iko hapo

Sawa kabisa
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Muda si mrefu utajitoa mhanga ili ukapate mabikira 72 huko ahera! Dalili zote zinaonekana.
 
Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba U’kristo sio dini ni imani na kipind cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana

Ila naonaga ghafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika ghafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Wewe ni keng
 
Watu wadini siwapendi.

Ukizingatia waanzilishi wa dini hizi 2 ni wamoja, huwa ninakereka sana na udini.

Kuwa rational basi.

Bible (Agano la Kale) na Koran vinafanana.

Dini zote zinamuamini Mungu.

Yesu anatambulika pande zote.

Mariam, Joseph/Yusuf nk wanatambulika kote.

Kanzu, tasbih na kujisitiri kupo kote.

Dini hizi zina kiitikio maarufu "ameen/amina/ amen.

Ni mjinga mjinga tu ndiye ataona dini fulani ni bora kuliko nyingine
Biblia Agano la Kale na Korani havifanani.
Agano la kale Ngamia ni marufuku kula ila kwenye Korani ni nyama ya heshima sana.
 
Akijibu hii nistue.
Waarabu wenye dini yao Morocco, Misri, Algeria, Tunisia na waarabu weusi Mali kila siku wanahatarisha maisha kwenye mitumbwi na watoto kuingia Ulaya kwa hao mnaowaita wasio na dini. Kwanini wasiende Iran/Pakistan/Iraq/ Saudi Arabia kwenye dini ya haki?
 
Back
Top Bottom