Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Masheikh wenye vyeo Serikalini msimamo wenu ni upi kuhusu Uislam?

Mleta mada ukitaka ukae na uislamu wako usifanye kazi ya serikali uislamu hutauweza

Serikali haina dini

Fikiria bajeti ya setikali ya mama samia inaendeshwa. Kwa kodi za viwanda vya pombe na bar na kodi za wauza kitimoto!!!
Fikiria umeajiriwa Shirika la Ndege la ATCL kama rubani umebeba pombe kwenye ndege na abiria walevi na wanakunywa pombe ndani ya hiyo ndege unayoendesha!!!

Haya umepewa ukurugenzi TRA kazi yako kuhakikisha kodi stahiki kwa serikali zinalipwa na ajiba chapombe wenye bar na viwanda vya pombe

Chukulia umepewa kazi wizara ya fedha moja ya kazi yako kutengeneza bajeti ambayo mojawapo ya vyanzo vya mapato ni pombe

Fikiria wewe Raisi bajeti ili itumike Raisi lazima aidhinishe unatia sahihi kukubali kuwa bajeto hiyo naidhinisha ambayo mojawapo ya vyanzo vya mapato ni pombe!!!

Fikiria hata umepewa kazi ya ukaguzi mkuu wa Serikali ukikagua TRA mfano kama iko vizuri ni pamoja na kuhakikisha ilikusanya sawasawa mapato ya walipa kodi wakubwa kama viwanda vya bia!!! Na kama ushuru stahiki ulilipwa kwenye pombe zilizoingizwa nchini kupitia bandari nk


Kifupi kazi nyingi serikalini ni mtego kwa watu wenye imani kali za kidini.

Kutekeleza imani zao kikamilifu si rahisi sana hata awe na sigda usoni ya swala tano kuiona pepo kwake si rahisi

Hivyo njia bpra ni kujiajiri ufanye kile kisichokwaza imani yako

Waliojiajiri wengi waweza iona pepo.Lakini wa serikalini ndege mitego ya imani mingi mno na kuikwepa si rahisi

Hivyo ushauri wangu kama wewe mtu wa imani kali ya kidini tafuta kitu kingine cha kufanya sio ajira serikalini
 
Sasa mkuu hiyo suti ya kafiri imetengenezwa na nani na Gwajima au Lusekelo? haha natania.
Hata kama imetengenezwa na John, Paul au Schneider si bado ndio wanaitwa Makafiri?
 
Yaani walivyoigeuza maneno katika Bibilia wanajaribu kuigeuza na Quraan, hilo haiwezekani
Umeshaanza uzushi hapa.

Quran inayotumika Saudi Arabia sio inayotumika Sudan kaskazini na Egypt.

Nimeshaweka ushahidi hapa mara kibao, the Current Quran has different version.

Unafikiri Turkey wanaamini habari ya kuja kuzawadiwa Mabikira 72? eti ndio zawadi ya Allah kwa waja wake kule peponi? [emoji23]
 
Shule uliyosoma mkuu imeshika nafasi ya ngapi kitaifa
Kwani shule zao zinashikaga nafasi ya ngapi?

Sasahivi mama (Mwenzao) ndio ameshikilia mpini lakini watakuambia NECTA kuna mfumo kristo au mfumo katoliki.

Sio bure Kikwete alikuwa anawachamba kila siku
 
Dini ya mwalabu ww mtu mweusi umeletewa na hujui chochote kuhusu iyo dini leo Israel na Saud arabia wanaongea na serikar ya saudi inakubali uwepi wa dini na taifa la kiyahudi
 
Mkuu nimejaribu kuongelea viongozi wetu wa dini nchini
Sawa vaa viatu vya hao viongozi, chukulia ndio wewe ungekua kiongozi wa dini yako, mmealikwa kwenye shughuli ya kiserikali viongozi mbalimbali wa dini. Je wewe kama kiongozi wa dini ungetambua viongozi wa dini zingine au la? Katika hiyo tafrija tu maana baada ya hiyo shughuli ikiisha kila mtu analudi katika misingi yake.
 
Hata kama imetengenezwa na John, Paul au Schneider si bado ndio wanaitwa Makafiri?
Point ni kwamba ukafiri hautengenezi hizo suti, waislamu wanaitwa magaidi ila ndio hao wanauza chakula kwenye migahawa na wamaowaita magaidi wanaenda kula kwenye hiyo migahawa ya magaidi.
 
Uliwaona waking'ang'ania kwenda huko mpaka wafe maji baharini?

Unafikiri njaa ndio inawapeleka?
Mimi sizungumzii njaa au shida nazungumzia kuwa wazungu wapo pia arabuni na kwengineko.
 
Wazungu wakienda uarabun wanaenda kutalii tu na kazi kisha wanarudi, na nchi nyingine ulizotaja wapo wakristo wengi sana tu so tamaduni mchanganyiko tofauti na uarabuni, tofauti na hao muslims wanakimbilia ulaya sio kikazi bali wanataka kukaa kabisa ulaya😂😂😁😁 hapo ndio tatizo
Tatizo lipo wapi sasa?
 
Umeshaanza uzushi hapa.

Quran inayotumika Saudi Arabia sio inayotumika Sudan kaskazini na Egypt.

Nimeshaweka ushahidi hapa mara kibao, the Current Quran has different version.

Unafikiri Turkey wanaamini habari ya kuja kuzawadiwa Mabikira 72? eti ndio zawadi ya Allah kwa waja wake kule peponi? [emoji23]
Hamna vesion tofauti za Quraan, ukiiiona quraani tofauti ujue feki kama unazozungumzia, aya ulizo zipaste kiasilia zina maneno zaidi ya 30, wazushi meitafsiri kwa maneno 10. mnachagua vijineno mjifurahishe.
 
What's ua point dude? Bado sijaelewa unataka kumaanisha nini hasa.
 
Hamna vesion tofauti za Quraan, ukiiiona quraani tofauti ujue feki kama unazozungumzia, aya ulizo zipaste kiasilia zina maneno zaidi ya 30, wazushi meitafsiri kwa maneno 10. mnachagua vijineno mjifurahishe.
Waislam wenzako walikuwa wanabisha sana hapahapa na baadae wakatulia. Quran iliyosambaza ulaya ilichapishwa kwa mara ya kwanza kabisa na Lecturer wa zamani Muingereza miaka ya 1600's na kwakuwa hakujua kiarabu kuna maneno alichakachua na kuna Imam alishakiri hilo.

Ukiacha hilo, Quran ilipelekwa katika nchi mbalimbali na Waarabu waislam walioitwa ''Transmitters'' ninakuwekea hapa majina yao na versions tofauti za Quran walizosambaza, yaani akina Hamzah, Ibn Kadhir, Nafi na wengine.
Screenshot_20220204-144438~3.jpg
 
Hamna vesion tofauti za Quraan, ukiiiona quraani tofauti ujue feki kama unazozungumzia, aya ulizo zipaste kiasilia zina maneno zaidi ya 30, wazushi meitafsiri kwa maneno 10. mnachagua vijineno mjifurahishe.
Visit hii web upate ukweli wa uislam wako answering-islam.org
 
Assalam aleykum !

Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu.

Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba Ukristo sio dini ni imani na kipindi cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana.

Ila naonaga hafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea

Katika hafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?


Wabillah tawfiq
Mafundisho yenu yanawezekana nchi za kiarabu tu ambako mnaweza msikute mtu mwingine wa cdini tofauti.
Na Kwa ushauri tu, mawaidha na mafundisho yenu, yangejikita kwenye dini yenu, na sio kuongelea dini tofauti.
 
Back
Top Bottom