Duuuuu!Bikra 72 huzitaki? Jilipue mzee ukaanze kuzichakata mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuu!Bikra 72 huzitaki? Jilipue mzee ukaanze kuzichakata mapema
Nipo. Mambo!We ndugu upo?
Quraani ni moja kama alivyo Mungu mmoja, nakwambia ukikuta inantofauti na nyingine ujue fake, tunajua vita mnazo zitangaza kuihujumu but will remain intact always till the end, anailinda mwenyewe aloi shusha, chezeeni bibilia sio Quraani, ilisha kua memorized na majority ya waumini, hizozenu zitabaki kua feki feki feki.Visit hii web upate ukweli wa uislam wako answering-islam.org
Yaelekea hujui kusoma na kuelewa wewe.Quraani ni moja kama alivyo Mungu mmoja, nakwambia ukikuta inantofauti na nyingine ujue fake, tunajua vita mnazo zitangaza kuihujumu but will remain intact always till the end, anailinda mwenyewe aloi shusha, chezeeni bibilia sio Quraani, ilisha kua memorized na majority ya waumini, hizozenu zitabaki kua feki feki feki.
Yaelekea hujui kusoma na kuelewa wewe.
Nimekuwekea Quran zilizopo duniani katika nchi mbalimbali mpaka sasa na iliyo general zaidi ni ''Hafs''
Hebu pinga kwa hoja sio kwa kujipa matumaini.
Weka hapa hiyo Quran iliyo moja duniani namimi nikuwekee utofauti hapahapa.
Karibu.
Acha uongo,Watu wadini siwapendi.
Ukizingatia waanzilishi wa dini hizi 2 ni wamoja, huwa ninakereka sana na udini. Kuwa rational basi, Bible (Agano la Kale) na Koran vinafanana. Dini zote zinamuamini Mungu.
Yesu anatambulika pande zote, Mariam, Joseph/Yusuf nk wanatambulika kote, Kanzu, tasbih na kujisitiri kupo kote. Dini hizi zina kiitikio maarufu "ameen/amina/ amen.
Ni mjinga tu ndiye ataona dini fulani ni bora kuliko nyingine
Akadanganye watoto wenzieKama hujui ki2 kaa kimya
Akadanganye watoto wenzie
Serikali haina dini.Assalam aleykum !
Kuna kitu kinanikwaza kidogo nashindwa elewa kwa uelewa wangu mdogo madrasa zetu tunavyofundishwa kuhusu Dini tunafundishwa Dini ya kweli na ya Haki ni Uislamu.
Mihadhara na mawaidha yote tunayohudhulia neno ni hilo kwamba Ukristo sio dini ni imani na kipindi cha nyuma maeneo ya mwembe chai tumeshuhudia sana na kushinda kwa hoja hiyo na kuwasilimisha kwa wingi sana.
Ila naonaga hafla za kiserikali kunakuwa na pande mbili Ukristo na Uislam (viongozi wake) kama kipindi cha kati kumetokea sana kuliombea Taifa kwa matatizo ya Kidunia yaliyotokea
Katika hafla hizo nawaona viongozi wangu wa dini ya kiislam wakitoa salaam ya kiislam na kikiristo na kutambua uwepo wao hii imekaaje?
Wabillah tawfiq
Acha kiherehere mama, usidandie treni kwa mbeleKama hujui ki2 kaa kimya
Wewe ndio MUISLAM, sio hawa wajaa njaa za wali wa manjano.Soma Dini yasome Maisha ya Mtume Muhammad utaona namna alivyowaathiri watu Kwa tabia zake njema
Wao Wana Dini yao nawe una Dini yako waonyeshe uzuri wa Dini yako wavutiwe nayo
Mtoto ni Aysha wa miaka 9 aliyebakwa na Mwamedi.Akadanganye watoto wenzie
Kanisa lilituma mtu aende Uarabuni kueneza imani Katoliki. Kufika huko akaasi na kuanza kufanya yake. Kanisa kuona tabu likaanzisha Agano Jipya ili kipingana na aliyetumwa.Acha uongo,
Dini yetu ya Kikristo aimtambui mohamedi. Angalau shetani hua anazungumziwa lakini sio huyo dogo wanaosema mtume...sjui katumwa na nani?
Poa poa rafikiNipo. Mambo!
Pamoja shemPoa poa rafiki
Hivi unajua misri, syria, iraq, algeria, gaza,, hazikuwa high muslim populated?,Wazungu wakienda uarabun wanaenda kutalii tu na kazi kisha wanarudi, na nchi nyingine ulizotaja wapo wakristo wengi sana tu so tamaduni mchanganyiko tofauti na uarabuni, tofauti na hao muslims wanakimbilia ulaya sio kikazi bali wanataka kukaa kabisa ulaya[emoji23][emoji23][emoji16][emoji16] hapo ndio tatizo