atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Peleka ujinga wako huko huyo Mungu wa Israel ndio yupi?,unamjua au wewe ni kabila gan kati ya yale makabila 12 ya israel?Kuna watu hawaelewi kinacho endelea hawaelewi nguvu za Mungu zinazo fanya kazi na mwisho wa huu mtalange utakavyokuwa. Nawaomba msubiri muone wenyewe nadhani sina mengi ila mwaka huu Taifa la Tz litamuona Mungu wakati wa mchana kweupe dunia itajithibitishia Tz sio Taifa la kawaida yupo Mungu tena Mungu wa Israel. Amen
Ni sawa. Kumbuka majini yanauwezo mkubwa kuliko binadamu na wapo wazuri hata kwenye Quran wapo. Wamesilimu na kuwa waislamu.hakuna usawa kwenye hilo mzee yeye anasema nimewaumba binadamu na majini ili waniabudu kazi ya jini sio kukusaidia wewe
Yey Ndio tuna muomba msaada na yeye Ndio tuna muomba usaidizi
Kuomba usaidizi kwa vitu tofauti ni kumshirikisha (na Shari za wenye kufunga mafundo “ilizi, majini mizimu masanamu” ni dhambi)
Hawawezi kufanya hivyo 🤣🤣🤣🤣Niliwaambia watu hapa JF kuwa viongozi waislamu ndiyo wanatuhalibia nchi ...wapumbavu wakabisha ...ni vyema waislamu waweke pembeni moja kwa moja kwenye uongozi wowote nchini ...nchi iongozwe na wapagani au wakristo tutafika mbali ila waislamu watakuja kuitumbukiza nchi shimoni
Majini sio viumbe wazuri na Hawajawahi kuwa wazuri maana unapoomba msaada toka kwao ni lazima mpeane maagano , Mwisho wa siku ndio Ile unasikia Ajali haziishi nchini kmmk kumbe Raia wanatolewa kafara kwaajili ya maagano waliyo yaingia Viongoz na majiniNi sawa. Kumbuka majini yanauwezo mkubwa kuliko binadamu na wapo wazuri hata kwenye Quran wapo. Wamesilimu na kuwa waislamu.
Kuomba msaada kwao sijaona ubaya ni sawa umeomba msaada kwa ndugu yako tu.
Mbona wewe unamuabudu Allah wa waarabu?Peleka ujinga wako huko huyo Mungu wa Israel ndio yupi?,unamjua au wewe ni kabila gan kati ya yale makabila 12 ya israel?
Ni vichekesho kwa kweliSisi binadamu tunamapungufu mengi sana, na huwenda hizi dini zetu kunaupande ni kama huwa tunadanganyana saana
Hawa hawa Mashekhe kipindi Rais Samia anaingia madarakani, walitusomea aya kuwa, Mwanamke kuwa kiongozi mwenye maamzi, yaani Mtawala, Kitabu na Dini ya Mnyaazi Mungu haikubali
Embu ona tena leo walivyomugeuka Huyu Mnyaazi Mungu na Kitabu chake!
Kuna mahali hata Mungu akitutazama anacheeeka na kutudharau sana kwa sababu huwa hatuna tujuacho kumhusu
Kama siyo wazuri. Kwenye Quran mbona wana aya zao?Majini sio viumbe wazuri na Hawajawahi kuwa wazuri maana unapoomba msaada toka kwao ni lazima mpeane maagano , Mwisho wa siku ndio Ile unasikia Ajali haziishi nchini kmmk kumbe Raia wanatolewa kafara kwaajili ya maagano waliyo yaingia Viongoz na majini
Amelaaniwa yeyote amtegemeaye mwanadamu/majini kwani huko ni kumshirikisha na Mungu wako ana wivu..Ni sawa. Kumbuka majini yanauwezo mkubwa kuliko binadamu na wapo wazuri hata kwenye Quran wapo. Wamesilimu na kuwa waislamu.
Kuomba msaada kwao sijaona ubaya ni sawa umeomba msaada kwa ndugu yako tu.
Leta hyo ayaKama siyo wazuri. Kwenye Quran mbona wana aya zao?
Kuna shekh mmoja alisema, yeye aliswali na majini msikiti mmoja.
Issue ni umemiss point unamu attack mtu asiyehusika. Ungewatukana wale mashekhe ubwabwa ambao wanaunajisi Uislamu kwa sababu ya njaa zao ndiyo ingeleta maana kwa sababu huyo Yesu hakuwa sehemu ya mjadala.Basi muabudu mizimu usiumie yesu wa kizungu kuwa na undugu na James delicious
Uchaguzi wa mwaka huu ni baina ya Nuru na giza. Kati ya Mungu wa mbinguni na Mungu ya kuzimu. Nina hakika hakuna giza litakaloishinda Nuru. Mungu wa Mbinguni atabaki kuwa Mungu wa miungu. Kwa kauli ya sheikh wenu CCM mjipange kwa pigo takatifu.Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
View attachment 3222655
View attachment 3222658
Asubiri majibu yakeRasmi nchi imekabidhiwa kwa mapepo wachafu, hii ni vita rasmi ya kiroho
ukileta kesi hatuijadili upande mmoja tu yani ni kinaga ubaga... usitegemeee uongee shit kwenye imani moja then ya pili tuipake uturiIssue ni umemiss point unamu attack mtu asiyehusika. Ungewatukana wale mashekhe ubwabwa ambao wanaunajisi Uislamu kwa sababu ya njaa zao ndiyo ingeleta maana kwa sababu huyo Yesu hakuwa sehemu ya mjadala.
Ila mbona binaadamu tunasaidiana?hakuna usawa kwenye hilo mzee yeye anasema nimewaumba binadamu na majini ili waniabudu kazi ya jini sio kukusaidia wewe
Yey Ndio tuna muomba msaada na yeye Ndio tuna muomba usaidizi
Kuomba usaidizi kwa vitu tofauti ni kumshirikisha (na Shari za wenye kufunga mafundo “ilizi, majini mizimu masanamu” ni dhambi)
Kuna binadamu anaye kulinda wew? Kuna binadamu anaye kufanya upate ridhiki yako mlo wako wa siku? Cheo? Kuna binadamu anaye kusaidia usife?Ila mbona binaadamu tunasaidiana?
Mnapotosha kwa sababu sheikh kawataja majini na malaika kuwa wote waombe Mungu, sasa hapo kuna ushindani gani wa nuru na giza?Uchaguzi wa mwaka huu ni baina ya Nuru na giza. Kati ya Mungu wa mbinguni na Mungu ya kuzimu. Nina hakika hakuna giza litakaloishinda Nuru. Mungu wa Mbinguni atabaki kuwa Mungu wa miungu. Kwa kauli ya sheikh wenu CCM mjipange kwa pigo takatifu.