Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Papa ni Papa hakuna haja ya kupinga waraka wake mashoga wenzio mbarikiwe kanisani..Sheikh ni sheikh tu Hamna tofauti ya sheikh mganga wala sheikh mkuu. Wote wafuga majini
Fugeni malaika.Sheikh ni sheikh tu Hamna tofauti ya sheikh mganga wala sheikh mkuu. Wote wafuga majini
Hapo tu ndio mnanifurahisha mnakataa Issa kuwa sio Yesu ila mnalazimisha majini kuwa malaika.Labda unamzungumzia Issa bin mariam lakini sio Yesu Kristo wa Nazareth
Hilo halina ubishiWatu wakisema hi I dini ya mashetani mnakataa
Wewe mwenyewe umeongea takataka tuKwahiyo malaika ndio wanafaa kuombwa? Tatizo hamsomi kwa kuelewa mnakurupuka tu kisa mmeona wametajwa majini, nyie ndio mnatuambia kuwa hao majini ni malaika na kila mkiambiwa kuwa majini ni viumbe tofauti na malaika ambao hawamuasi Mungu hamuelewi.
Sasa ulitaka uone naongea nini wakati uzi wenyewe takataka tupu.Wewe mwenyewe umeongea takataka tu
HAYATAMSAIDIA HAYO MASHETANIRasmi nchi imekabidhiwa kwa mapepo wachafu, hii ni vita rasmi ya kiroho
Hata Mungu anatusaidia mkuu bila hivyo haliningekuwa mbayaAisee hii nchi?!
Mungu tusaidie
Hapana majini sio Malaika, Wala ISSA sio YesuHapo tu ndio mnanifurahisha mnakataa Issa kuwa sio Yesu ila mnalazimisha majini kuwa malaika.
Ila si tunaambiwa majini ni malaika waliyoasi sasa inakuaje sio malaika?Hapana majini sio Malaika, Wala ISSA sio Yesu
Haya majini yao nadhani ndio yanayowaongoza kuteka na kupoteza ndugu zetu.Hata Mungu anatusaidia mkuu bila hivyo haliningekuwa mbaya
Basi usipaniki ndiyo hizo takataka ulizoongeaSasa ulitaka uone naongea nini wakati uzi wenyewe takataka tupu.
HahaaHAYATAMSAIDIA HAYO MASHETANI
😂😂Aah Kwa upande huo wao wanaamini hivyoIla si tunaambiwa majini ni malaika waliyoasi sasa inakuaje sio malaika?