Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ungekua na elimu ungejua kua msingi wa kwanza wa uislam, ni kuamini “HAKUNA APASAE KUABUDIWA KWA HAKI ISIPOKUA ALLAH NA MUHAMMAD NI MTUME WAKE”

Shahada hiyo kwa Allah inajulikana kama Tauhidi,
Tauhidi ni
1. Kujua Mungu ni mmoja
2. Ibada zote na dua kua kwake yeye na si kitu kingine
3. Sifa zote kwake yeye.

Anything else other than that ni Ushirikina.

Chuki ikizidi inaondoa akili. Pumbafu wewe
NAunga mkono,hoja yako.
 

1731860596641.jpg
 
Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.

Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.

SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?

Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?

Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
View attachment 3222655
View attachment 3222658
Kila uzi humu una sema Lissu anaombewa sana. Ni mtu wa mungu.
Sasa imeku maneno Masheik walipo sema wanataka kumuombea Samia.

Lissu anaombewa na wachungaji.
Samia anaombewa na na Masheikh.
 
Pata somo kutoka kwa FaizaFoxy adriz Ritz Malaria 2 kuhusu majini wabaya na majini wazuri.
Ni uchache wa Elimu na uchawa uliopitiliza ukiona mtu , analeta mafungamano kati ya majini na Wanadamu huyo ni mshirikina . Hakuna ushirikiano kati ya majini na wadamamu jap wapo Wema na waovu.
 
Huyu mama hata aroge vipi - anaondoka tu. Huu ni Ujumbe kutoka kwa Muumba wa mbingu na nchi.
 
Majin tena bas YATUMWE NA KWETU sis tunao SIKILIZIA usail wapo 600 wanao hitajika 75,,, WATU TUTOBOE ufugaji wa nguruwe unatoa harufu sanaaa
 
Tatizo nyie wagalatia mnashndwa kumjua mganga na shekhe..video zipo mbili ya shekhe mkuu na na shekhe mganga
Nikufafanulie kidogo mganga yyt ambaye ni shekhe hana mamlaka ya kusalisha sala sababu yy ameshamkufuru mwenyezimungu hukumu za dini ya kiislam zipo wazi ukipiga ramli ukipima uwezo wa mwenyezimungu umekufuru hivo kama ni shekhe wa msikiti unaondolewa...
Sheikh ni sheikh tu Hamna tofauti ya sheikh mganga wala sheikh mkuu. Wote wafuga majini
 
Back
Top Bottom