Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Pre GE2025 Mashekhe wafanya ibada na kuomba majini yasaidie Rais Samia kushinda kwenye uchaguzi ujao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mitazamo tofauti na uelewa tofauti pia !
Naendelea kusisitiza kwamba hii itaenda kuwagawa watu wasiwe kitu kimoja katika kufanya maamuzi mwisho wa siku wanufaika siku zote wanafahamika ni wale wale tu !

Watu watasema ni bora wale wale wetu tuliowazoea miaka yote !
Na ndio hasa nia ya waleta mada za Udini Udini kama hizi 😳
Huu udini umefanywa na mashehe, to initiate and spread kwa makusudi kabisa ila lengo la mleta uzi namna alivyowasilisha ni kuwakosoa kwa udini na ushirikina wa hadharani.
 
Kuna watu hawaelewi kinacho endelea hawaelewi nguvu za Mungu zinazo fanya kazi na mwisho wa huu mtalange utakavyokuwa. Nawaomba msubiri muone wenyewe nadhani sina mengi ila mwaka huu Taifa la Tz litamuona Mungu wakati wa mchana kweupe dunia itajithibitishia Tz sio Taifa la kawaida yupo Mungu tena Mungu wa Israel. Amen
Sina shaka juu ya Hilo,

Katika Ulimwengu Ule wa Roho, mechi ilishacbezwa, mshindi tayari keshapatikana,

Kinachosubiriwa ni udhihurisho katika Ulimwengu wa mwili.
 
Kwhy hiyo clip yametajwa majini?au Samia ndo Rais wa kwnz kuombewa na viongozi wa dini?...uzushi ndo laana mliyopewa wagalatia...kwani uzushi wa Papa Francis awabariki LGBT hukuhusikia?...kwmb aliongea na mungu?
Acha kukwepakwepa stick kwenye mada,kuna sehemu kwenye mada imezungumziwa lgbtq?!,by the way kuna watu wanatafunana visamvu kama wafuasi wa mud?!,mpaka na aya za kuoga hayo majanaba ya liwati mnayo
 
Ungekua na elimu ungejua kua msingi wa kwanza wa uislam, ni kuamini “HAKUNA APASAE KUABUDIWA KWA HAKI ISIPOKUA ALLAH NA MUHAMMAD NI MTUME WAKE”

Shahada hiyo kwa Allah inajulikana kama Tauhidi,
Tauhidi ni
1. Kujua Mungu ni mmoja
2. Ibada zote na dua kua kwake yeye na si kitu kingine
3. Sifa zote kwake yeye.

Anything else other than that ni Ushirikina.

Chuki ikizidi inaondoa akili. Pumbafu wewe

Hiyo dini ya muarabu ni janga la dunia, sijui alikurupukaje na kuanzisha dini ilhali alikuta dini zingine, imesababisha ujinga, maafa na maushetani ya kila aina
 
yapo hadi majini ya kwenye kikwapa 😂😂😅
Kulingana na imani ya kiislamu iliyofundishwa na mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم
A. Binadamu tumeumbwa kutokana na udongo.
B. Malaika wameumbwa kutokana na nuru ( mwanga ) na
C. Majini wameumbwa kutokana na moto.
D. Malaika na majini Allaah amewapa uwezo wa kujigeuza maumbo mbalimbali kama vile kujivika sura ya kibinadamu nk.
E. Malaika wanapojivika sura ya kibinadamu hujivika sura ya mwanadamu mwanaume mwenye sura, umbo , mavazi na mwonekano mzuri.
F. Majini ndio hujigeuza katika maumbo mbalimbali mazuri kwa mabaya kama wanyama, wadudu , ndege nk, kulingana na mahitaji pia kulingana na aina ya jini,dini yake, dhehebu lake nk kwa kuwa kulingana na mafundisho ya Quran majini pia wapo katika dini, madhehebu na makundi tafauti.
Yapo majini waislamu, hao waislamu kama ilivyokuwa kwetu sisi waislamu wa kibinadamu waislamu wakijini pia wapo katika madhehebu na makundi mbalimbali.
Pia yapo majini ya kikristo , kiyahudi, kibudha nk na hayo pia yapo pia katika madhehebu na makundi mbalimbali kama majini ya kikatoliki, kianglikana, kipentekoste, kiorthodox, kilutheri nk.
G. Katika hadithi ya mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم
iliyopokelewa na Imamu Albukhary kutoka kwa swahaba Alliy bin Alhusain kasema mtume :
"إِنَّ الشَّيْطَانَ يَجْرِي مِنَ الْإِنْسَانِ مَجْرَى الدَّمِ"
( Hakika shetani anatembea ndani ya mwanadamu kupitia njia ( mishipa ) ya damu".
Hadithi hii sahihi inathibitisha kuwa shetani anao uwezo wa kujigeuza kiumbe mdogo sana sawa na kirusi au bakteria na kuingia katika mwili wa mwanadamu kupitia mishipa ya damu akaenda hadi kwenye ubongo au kwenye moyo wake akamtia maradhi au kumshawishi kutenda matendo mabaya yenye kumchukiza Allaah , bali hata kuwachukiza binadamu wengine kwa kumfanya mwanadamu huyu kwa nguvu ya shetani aliyemwingia afanye matendo yenye kumchonganisha na jamii iliyomzunguka.
 
Mmeweza kumzushia Yesu ni mungu mkaona haitoshi kuamina wengine wakasema mwana wa mungu hamkutosheka mkachora na kumchongea katuni pia mkaona havitoshi mkaweka na movie...
Bado hamkurudhika mnasema Yesu anawatokea na kumuota kila pembe ya dunia kila kiongozi wenu wa dini anaongea na Yesu..ajabu sanaa hiyo ndo laana yenu wagalatia mliyopewa uzushi kwa kuwazushiq manabii wa mwenyezimungu.
Juzi tu Papa Francis kaja na uzushi kaongea mungu aruhusu kufungisha ndoa ya jinsia moja...mtashndwa vipi kumzushia mwanadamu?
Dini imekufanya kuwa mjinga kabisa 🚮😁 ,uzushi uko wapi hapo au unataka kusema hizo clip ni editing?
 
Hiyo dini ya muarabu ni janga la dunia, sijui alikurupukaje na kuanzisha dini ilhali alikuta dini zingine, imesababisha ujinga, maafa na maushetani ya kila aina
Daaah! Ina maana nao hawaamini yale maandiko yasemwayo kuwa yalisemwa na nanihii....kuwa, HALITATENGEMAA JAMBO, AMBALO KIONGOZI MKUU WAO NI MWANAMKE?
Naona hata wao HAWAAMINI MAFUNDISHO YA MTUME WAO!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Hapo Zambia wagalatia watupu wamepiga hatua gani?..
Kenya hapo pia mwanzo mwsh mpk wakauana Rais alikua muislam...nyie wagalatia mmeweza kumzushia Yesu ni mungu mtashndwa vipi kwa binadamu?
Mbona kama umeumia sana wewe mvaa kobazi?,hio imani unayoitetea huna unasaba nayo lakin mshipa wa matako unavyokutoka
 
Wewe nae ni matade unafikiria kwa kutumia mshipa wa t**I,umewekewa mpaka na clip ya viongozi wako halafu unakuja kuandika utumbo hapa,kwahiyo unataka kusema hizo clip ni editing?!
Hahahahaha!
Je kama ile ni set up pia unajuaje ?
Kwa mtu mwenye kufikiri vizuri na mwenye uwezo wa kusoma body language utaona wale watu walikuwa wakiongea kama vile wanafanya mzaha fulani hivi huku wanacheka !

Na isitoshe yule Mufti ambaye katika wale wasemaji wawili kwenye hiyo Clip yeye ndiye msomi mwanazuoni wa vitabu vya Dini ya Kiislamu ! Ndio maana hakusema chochote kuhusu majini wala malaika kumuombea wamtakaye !
Aliyeongea habari ya majini ni Mzee tu muumini wa kawaida ambaye aliomba naye azungumze ndio akasema yale aliyoyasema !!

Ukiona mtu anajibu hoja kwa kutumia maneno yenye viashiria vya matusi matusi ujue huyo mtu hana hoja bali ana jazba 😳!
Punguza jazba utaeleweka tu !
 
Ndio nakuambia sasa majini sio kitu kizuri you have to understand kwasababu Wana principal ambazo wewe kama binaadamu ni ngumu kuzifuata kutokana na Mazingira yako , so ikiwa umeshaingia nao Mkataba ukishindwa kufanya watakayo lazima wata kuburuza Sana utajuta kuzaliwa
Kama siyo wazuri. Kwenye Quran mbona wana aya zao?
Kuna shekh mmoja alisema, yeye aliswali na majini msikiti mmoja.
 
Huu udini umefanywa na mashehe, to initiate and spread kwa makusudi kabisa ila lengo la mleta uzi namna alivyowasilisha ni kuwakosoa kwa udini na ushirikina wa hadharani.
Aliyeongea maneno yenye Ushirikina ndani yake sio Shehe bali ni mzee muumini tu wa kawaida ambaye kwa yale matamshi yake anajidhihirisha kuwa hana Elimu yeyote ya Dini zaidi ya kwenda kusali tu msikitini !

Shehe na mwanazuoni ni yule Mufti aliyeongea mwanzoni na ndio maana huwezi kumsikia akisema Eti majini yamuombee mtu fulani !
 
Wew una msongo wa mawazo pumzika kdg kama maiti ya ndugu yako ilizuiliwa muhimbili hilo sio kosa la raisi, kuna uongozi pale hospital raisi ana majukumu zaidi ya hayo..
Watoto wa maraisi kufanya ufisadi haihusiani kabisa na dini unaye muita ridhwani huyo ni kiongoz kwa sasa sijui hzo tuhuma za kumuita fisadi wew Ndio unazifaham,

Nchii hii imekuja kuwa na nafuu kipindi cha mwinyi mzee wa ruksa probably ulikuwa bado mdogo unachezea mikojo huyu ni muislam..
Wapumbavu kama wanapatikana kwenye uisiharamu tu...tatizo lako ujui maana ya kiongozi kwa sababu una akili sawa na wanawake
 
Back
Top Bottom