Mashimba Ndaki, Waziri wa kwanza wa mifugo tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki

Mashimba Ndaki, Waziri wa kwanza wa mifugo tangu Uhuru kuanzisha utambuzi wa mifugo kielektroniki

Unachotafuta Wewe ni nini?
Uwe na umakini wa kitu unachoandika.
Electronic tags wakati wa uhuru hazikuwepo, sasa ukilinganisha livestock identification methods wakati wa uhuru na tagging inayofanyika sasa ni mbingu na nchi.
Na huko ni kukosa weledi wa ulinganisho wa tu kile kitu unachoongelea.
 
Uwe na umakini wa kitu unachoandika.
Electronic tags wakati wa uhuru hazikuwepo, sasa ukilinganisha livestock identification methods wakati wa uhuru na tagging inayofanyika sasa ni mbingu na nchi.
Na huko ni kukosa weledi wa ulinganisho wa tu kile kitu unachoongelea.
I think Mashimba still the best,
 
Back
Top Bottom