Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Hapo sawa Kama Ni wanafunzi maana mabingwa Wa mabingwa Ni akina mangwelele na timu yake wakikutana hao watacheza draft masaa kumi wakitoka draw
Mkuu hicho ni kizazi kipya cha mabao na wengi hapo ni wanafunzi wa hao mafundi, mfano huyo Issa mamba ni denti wa mangwelele huyo ni hatari sana.

Nimewashuhudia wakipambana kwenye mashindano kadhaa hao kina Issa mamba,dogo janja, Ronaldo, Nduli, Kwata Mwivi nk nk wana balaa hao hatari.
 
Hapo sawa Kama Ni wanafunzi maana mabingwa Wa mabingwa Ni akina mangwelele na timu yake wakikutana hao watacheza draft masaa kumi wakitoka draw
Kwa kusema hao ni 'wanafunzi wao' simaanishi hawana ufundi mkuu, wana balaa hao sio kidogo hata ukiwauliza kina Mangwez wanawatambua.

Sema tu zama za kina Mangwelele na wenzake zinaishia wanabaki kuwa malegend kwenye huo mchezo.

Kuna jamaa anaitwa Gaidi wa Moro ushamsikia balaa lake? Aliwakalisha wote hao Moshi kwenye mashindano Oktoba 2019. Nusu fainali alimchana Ronaldo then akamuua Nduli fainali.
 
Kwa kusema hao ni 'wanafunzi wao' simaanishi hawana ufundi mkuu, wana balaa hao sio kidogo hata ukiwauliza kina Mangwez wanawatambua.

Sema tu zama za kina Mangwelele na wenzake zinaishia wanabaki kuwa malegend kwenye huo mchezo.

Kuna jamaa anaitwa Gaidi wa Moro ushamsikia balaa lake? Aliwakalisha wote hao Moshi kwenye mashindano Oktoba 2019. Nusu fainali alimchana Ronaldo then akamuua Nduli fainali.
Mkuu ntafika kitunda jumapili, maana inaonekana kuna balaaa huko,
 
Natamani ningekuwepo.nione hao mabingwa.
Kwa kusema hao ni 'wanafunzi wao' simaanishi hawana ufundi mkuu, wana balaa hao sio kidogo hata ukiwauliza kina Mangwez wanawatambua.

Sema tu zama za kina Mangwelele na wenzake zinaishia wanabaki kuwa malegend kwenye huo mchezo.

Kuna jamaa anaitwa Gaidi wa Moro ushamsikia balaa lake? Aliwakalisha wote hao Moshi kwenye mashindano Oktoba 2019. Nusu fainali alimchana Ronaldo then akamuua Nduli fainali.
 
Back
Top Bottom