Huyo ni Dogo Janja huyu msanii auWaliiongia hatua ya 16 bora no 1 Nduli ndulma,2 Ronald FM 3Issa mamba,4 Aman Siri mchunguzi)5 Noel Namaloe 6 Dogo Sisco 7Simba wa Kongwa,8 dogo Ally 9Saiya 10 Mtanga,11 Rama Arusha 12 Swedish 13 Hemedi Gaidi 14 Kwata mwivi 15 Dogo janja 16 Fyatuka mahisabati
Mashindano yanaendelea leo
16 June 2020
Dogo janja wa mabauna uyo [emoji23], sio uyo msaniiHuyo ni Dogo Janja huyu msanii au
Hahahaha, sawa sawa lkn hy kitunda si IPO dar Mkuu ungeenda tuMwenyewe kama yatafanyikia Dar nitajitahidi nihudhurie siku moja.
Hahahaha, sawa sawa lkn hy kitunda si IPO dar Mkuu ungeenda tu
Hahahaha, sawa sawa MkuuMipango ilibana mkuu, nasubiri wakati mwingine.
Draft linavutia sana kuangalia watabe wakitambiana, maneno mengi sana.
Mech znaendelea Ronald anaongza 2 gaid 0'Simba Dom 2 Ndul 0' Issa mamba 1 dgo Sick 0' Noel namaloe 3 dogo Ally 1
Mashabiki wangu naomba mje mnishuhudie
HahahahaMzee umetinga Semi Final?
Nakuaminia mkuu.
Kuna dogo mmoja Chiba anakuaga Charambe...sijajua kama nae atashiriki. Yupo vizuri mno.Mkuu hicho ni kizazi kipya cha mabao na wengi hapo ni wanafunzi wa hao mafundi, mfano huyo Issa mamba ni denti wa mangwelele huyo ni hatari sana.
Nimewashuhudia wakipambana kwenye mashindano kadhaa hao kina Issa mamba,dogo janja, Ronaldo, Nduli, Kwata Mwivi nk nk wana balaa hao hatari.
Mkuu natumaini nusu fainal na fainal itakua kesho.Waliongia nusu final Issa mamba,Ronald,Noel namaloe bdo mech ya Simba Dom vs ndul ndulima