Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Mashindano makubwa ya "drafti" Dar: Noel Namaloe atwaa ubingwa baada ya kumshinda Ronaldo katika fainali

Kwanini wasiwe wanachukua video. Wanafanya editing wanafungua account wanatupia YouTube. Hela nje nje
Mchezo wa draft wakicheza mabingwa kwa mabingwa huchukua muda mtefu sana mpaka gemu kuisha. Sasa wakianza kuchukua video utakuta game moja limechukua saa zima labda kama kuwe na kamisaa ambaye anatumia stopwatch
 
Kucheza mnajua au ndo mmekalili mcheZo wenu mmoja wa kusogeza kete tatu za kati mbele.
Hahahaha mamluki wengi sijui kwanini wana spirit hiyo kudhani kwamba kete tatu za main road zina elements za ushindi.

Kuna sehemu nilifika nikaomba kucheza, mpinzani wangu aliposukuma kete yake ya kwanza mi nikatoka na yakulia basi akashangaa alijua ile kete yake ya road aliyoanza nayo nitaikata. Akaanza matambo kua "ushafungwa tayari maana umefanya kosa kusukuma kete ya kindezi"

Mwisho wa siku akafa
 
Lakini kwa nini wanaweka hela kwa masharti?
Elfu mbili kwa Elfu Kumi. Bingwa elf 10 wewe elfu 2 tu, kwa sharti kwamba kete ya kwanza ni zamu yako wewe wa elfu 2 na pia anakuchagulia pa kucheza. Ushaiona hiyo? Ipo kijiwe cha Buguruni Chama.
Amekariri mchezo mmoja anaujua mwanzo mwisho, bingwa gani huyo?
Unashangaa elfu mbili

Marehemu mchafu alicheza dau la hamsini hamsini gemu lilianza saa 1 jioni, mpaka kunakucha asubuhi mchafu alikua amekusanya shilingi 5000

Sasa piga hesabu kwenye 5000 kuna hamsini hamsini ngapi, ukipata jibu pia hesabia na sare ambazo walikua wanatoa ndo utajua walicheza jumla michezo mingapi
 
Wakuu tupeni update,, mafundi gani wameingia 16 bora
 
Waliiongia hatua ya 16 bora no 1 Nduli ndulma,2 Ronald FM 3Issa mamba,4 Aman Siri mchunguzi)5 Noel Namaloe 6 Dogo Sisco 7Simba wa Kongwa,8 dogo Ally 9Saiya 10 Mtanga,11 Rama Arusha 12 Swedish 13 Hemedi Gaidi 14 Kwata mwivi 15 Dogo janja 16 Fyatuka mahisabati
Mashindano yanaendelea leo
16 June 2020
 
Waliiongia hatua ya 16 bora no 1 Nduli ndulma,2 Ronald FM 3Issa mamba,4 Aman Siri mchunguzi)5 Noel Namaloe 6 Dogo Sisco 7Simba wa Kongwa,8 dogo Ally 9Saiya 10 Mtanga,11 Rama Arusha 12 Swedish 13 Hemedi Gaidi 14 Kwata mwivi 15 Dogo janja 16 Fyatuka mahisabati
Mashindano yanaendelea leo
16 June 2020
Mda gani wanaanza kucheza mwamba?
 
Waliiongia hatua ya 16 bora no 1 Nduli ndulma,2 Ronald FM 3Issa mamba,4 Aman Siri mchunguzi)5 Noel Namaloe 6 Dogo Sisco 7Simba wa Kongwa,8 dogo Ally 9Saiya 10 Mtanga,11 Rama Arusha 12 Swedish 13 Hemedi Gaidi 14 Kwata mwivi 15 Dogo janja 16 Fyatuka mahisabati
Mashindano yanaendelea leo
16 June 2020
Duh naona miamba watupu, Noel pia yupo..
Huyo Ronald Fm ni tofauti na Ronaldo (Shaban)?
 
Waliiongia hatua ya 16 bora no 1 Nduli ndulma,2 Ronald FM 3Issa mamba,4 Aman Siri mchunguzi)5 Noel Namaloe 6 Dogo Sisco 7Simba wa Kongwa,8 dogo Ally 9Saiya 10 Mtanga,11 Rama Arusha 12 Swedish 13 Hemedi Gaidi 14 Kwata mwivi 15 Dogo janja 16 Fyatuka mahisabati
Mashindano yanaendelea leo
16 June 2020
Sijaelewa mkuu yaani mashindano yanaisha leo au tarehe 16 Siku ya j4
 
Back
Top Bottom