Hamna kijana wa CCM mwenye akili!! Na huyo ni mwalimu hapo kala dagaa lake na joto la mlandizi kajikalia kibarazani na kishikwambi anapumua tuuuh!
Hiyo shule inayoongoza Kwa ZERO ni ya Zenji?!Ni wakati Sasa Zanzibar kuwa na Baraza Kamili la Mitihani. Dhuluma hii haivumiliki.
Mara nyingi hao division Zero ndio Huwa ni mashabiki wa Chadema wasiojua wanachishabikia 🤸🤸Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Soon hapa dsm wataongezeka wanaojiuza mtaani na mashoga maana vingi vinapenda raha wakati havina helaNECTA imemwaga waolewaji!
SanaSiasa ya Elimu bure, hawa nao watazaa watoto wenye akili kama zao
[emoji1787][emoji1787]Wazazi wenyewe walifeli so Ni mwendo wa kuzalisha kina uchebe, Shishi na Stiv ake wajao
Hata hapa nilipo kuna. binti alianza na shikamoo, naitikia vizuri tu.Mtoto mmoja wa kike jirani yangu amemaliza hapo kurasini secondary school sikuhizi ananisalima "mambo vipi uncle" huyu ni mjukuu wangu kabisaa lkn anasalimia mambooo!!!
[emoji1787][emoji1787]Waje mtaani waimbe singeli na kututikisia matako tiktok
Piga mashineeeeeHata hapa nilipo kuna. binti alianza na shikamoo, naitikia vizuri tu.
Ila nowdays ananiambia mambo, nauchuna tu
Hahhhhhhh umeeeelewekaaaaaaaaa nenda kasuuuuuzeeee mirija mzeeeKitimoto Safi naweza kupata wapi mitaa ya Mbezi Mwisho?
Kitimoto Safi naweza kupata wapi mitaa ya Mbezi Mwisho?
Hahaha dah mkuu nitake radhi viroba tena? malizana na mkuu Lusungo hapo juu atakuelewesha.Matatizo ya kunywa viroba mchana wa jua kali halafu hujala.
Hayo umeyaona wapi??
Hahaah au ni tatizo la mitambo?.Hamna kijana wa CCM mwenye akili!! Na huyo ni mwalimu hapo kala dagaa lake na joto la mlandizi kajikalia kibarazani na kishikwambi anapumua tuuuh!
Kakosa kazi sasa anatumia multiple IDs kujiuliza na kujijibu JF!! Hii nchi ina viumbe wa hovyo sana!
Hatari hakuna wanafunzi hapaSasa wanafunzi sahvi huko shuleni kutwa kudiscus mambo ya bongo fleva na wasanii wao,huku wakiwaduatilia wakina mwijaku babalevo jumalokole,kutwa kukatika mauno tu shuleni wakishindana kucheza singeli,mpaka hapo kuna kufaulu...
Mfano hawa kwenye video hii watapiga 1,2,3 kweli
Ova
View attachment 2499347
Hii ndio utavuna ulichopanda.Hakika vijana WAPENDA starehe mmeamua kutufungulia mwaka na ZERO zenu.
Eg.Taifa Sec. School, Division ZERO 474, Division 4 (ambayo ni division 0 iliyochangamka 533=YUTONG 15 full capacity).
NB: unapata mpaka Civics, Kiswahili F?
SEKTA zitakazonufaika na mgao huu WA division ZERO;
1. Ualimu,
2. Polisi,
3. Bongo Movie,
4. Singeli.
5. Umoja wa vijana (vyama vya Siasa).
Acha nijipatie nakala yangu fasta. Dini inaruhusu kumsitiri mtuNECTA imemwaga waolewaji!