Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Hamna kijana wa CCM mwenye akili!! Na huyo ni mwalimu hapo kala dagaa lake na joto la mlandizi kajikalia kibarazani na kishikwambi anapumua tuuuh!
Kakosa kazi sasa anatumia multiple IDs kujiuliza na kujijibu JF!! Hii nchi ina viumbe wa hovyo sana!