Mashindano ya Draft - Ronaldo Awa Bingwa Kwa Kumfunga Issa Mamba

Mashindano ya Draft - Ronaldo Awa Bingwa Kwa Kumfunga Issa Mamba

Darius RR

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2019
Posts
385
Reaction score
793
Jana nilipata bahati ya kushuhudia Nusu Fainali pamoja na Fainali ya mashindano ya Draft yaliyofanyika Kinondoni - Manyanya.

Washiriki walikuwa 32, na walioingia nusu ilikuwa:

Ronaldo vs Saia (Spelling sina uhakika sana) Ronaldo alishinda 3 - 1.

Issa Mamba vs Dogo Yassin, Issa Mamba alishinda 3 bila.

Fainali Ronaldo aka (Christian Bela, Scientist, Alien, Field Marshall) akimshinda Issa (Meno ya Mamba) goli 3 kwa 1.

Wao wanasema ilikuwa ni warm up wakisubiria ligi ambayo mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 1.

Kwa mara ya kwanza niliweza kuwaona mabingwa ambao nimekuwa nikiwasikia kwenye vijiwe tofauti tofauti vya madraft.

Baadhi yao ni Mangwelele, Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Bedui (kawa chapombe siku hizi), Chaula, Ronaldo na Issa Mamba.

Nilifurahi sana kumwona Mangwelele, huyu mwamba nimeanza kumsikia miaka kama 10 iliyopita, dah!
 
Jana nilipata bahati ya kushuhudia Nusu Fainali pamoja na Fainali ya mashindano ya Draft yaliyofanyika Kinondoni - Manyanya.

Washiriki walikuwa 32, na walioingia nusu ilikuwa:

Ronaldo vs Jamaa mmoja sikulipata jina lake (nadhani ni Salehe au Sahia), Ronaldo alishinda 3 - 1.

Issa Mamba vs Dogo Yassin, Issa Mamba alishinda 3 bila.

Fainali Ronaldo aka Christian Bela akimshinda Issa (Meno ya Mamba) goli 3 kwa 1.

Wao wanasema ilikuwa ni warm up wakisubiria ligi ambayo mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 1.

Kwa mara ya kwanza niliweza kuwaona mabingwa ambao numekuwa nikiwasikia kwenye vijiwe tofauti tofauti vya madraft.

Baadhi yao ni Mangwelele, Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Bedui (kawa chapombe siku hizi), Chaula, Ronaldo na Issa Mamba.

Nilifurahi sana kumwona Mangwelele aisee.
Hahahaaaa hivi mchafu bado anacheza draft??
 
Jana nilipata bahati ya kushuhudia Nusu Fainali pamoja na Fainali ya mashindano ya Draft yaliyofanyika Kinondoni - Manyanya.

Washiriki walikuwa 32, na walioingia nusu ilikuwa:

Ronaldo vs Jamaa mmoja sikulipata jina lake (nadhani ni Salehe au Sahia), Ronaldo alishinda 3 - 1.

Issa Mamba vs Dogo Yassin, Issa Mamba alishinda 3 bila.

Fainali Ronaldo aka Christian Bela akimshinda Issa (Meno ya Mamba) goli 3 kwa 1.

Wao wanasema ilikuwa ni warm up wakisubiria ligi ambayo mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 1.

Kwa mara ya kwanza niliweza kuwaona mabingwa ambao numekuwa nikiwasikia kwenye vijiwe tofauti tofauti vya madraft.

Baadhi yao ni Mangwelele, Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Bedui (kawa chapombe siku hizi), Chaula, Ronaldo na Issa Mamba.

Nilifurahi sana kumwona Mangwelele aisee.
Ngoja nitawaibukia huko nije kuwapigia kete jiwe aisee...watakaaa.
 
Back
Top Bottom