Mashindano ya Draft - Ronaldo Awa Bingwa Kwa Kumfunga Issa Mamba

Mashindano ya Draft - Ronaldo Awa Bingwa Kwa Kumfunga Issa Mamba

Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.

Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
 
Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.

Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Daaah..hatari sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.

Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Ebu tupe mbinu za ushindi..mana kufungwa draf aibu sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ebu tupe mbinu za ushindi..mana kufungwa draf aibu sana.

#MaendeleoHayanaChama
Draft sio mchezo wa ushindi, draft limetengenezwa ili michezo yote iwe sare sasa kama akili fupi nduguyangu utachezea kipondo kilasiku.

Kuwa mjanja kuanzia leo, yoyote unaechezanae we cheza yote mawili yani lakwako na la adui iliujue utakapo cheza yeye atacheza wapi ukijua hivyo tayari umejua kwa kiwango cha juu.
 
Hongera sana kwa kunipa update kuhusu mchezo wa draft, mm ni mdau mkubwa sana wa mambo hayo, huyo Mangwengwele au Mangwes aliwahi kunifunga michezo 10 bao 10, kiukweli ameshindikana ktk mchezo wa draft ndio maana siku hizi amekuwa refarii tu, huyo na Noel ni hatari, kuna mwingine simsikii cku hiz anaitwa Shaaban Katoto, wana balaa hao, endelea kutupa habari zao kaka
Nyinyi watu acheni uzamani. Piga picha hao mnaowasema nasi tuwaone, kila siku mnaongea tu na hatuoni walau picha zao
 
dalmax 95% kwang ni mboga tu , ila 100% huwa tunatoa sare hata 4 na kupoteza 1 kwenye michezo 5
Hiyo zamani. Siku hizi dalmax anakaa.

Kama una akaunti tanzania draughts njoo tupige kete.
 
Draft sio mchezo wa ushindi, draft limetengenezwa ili michezo yote iwe sare sasa kama akili fupi nduguyangu utachezea kipondo kilasiku.

Kuwa mjanja kuanzia leo, yoyote unaechezanae we cheza yote mawili yani lakwako na la adui iliujue utakapo cheza yeye atacheza wapi ukijua hivyo tayari umejua kwa kiwango cha juu.
we ni tula ,ujui bao
 
Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.

Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Mpaka sasa ni nani Bora kwenye mchenzo wa drafting???
 
Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.

Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Alooo hizo tatu mpya ndio zipi ? Kuna mkoa nlienda nlipangusa kijiwe kizima na watu wake aloo wakanisifia kumbe copy naziangaliaga manyanya pale kina sisco wakiwa wanapangusana, acha kabisa
 
Jana nilipata bahati ya kushuhudia Nusu Fainali pamoja na Fainali ya mashindano ya Draft yaliyofanyika Kinondoni - Manyanya.

Washiriki walikuwa 32, na walioingia nusu ilikuwa:

Ronaldo vs Saia (Spelling sina uhakika sana) Ronaldo alishinda 3 - 1.

Issa Mamba vs Dogo Yassin, Issa Mamba alishinda 3 bila.

Fainali Ronaldo aka (Christian Bela, Scientist, Alien, Field Marshall) akimshinda Issa (Meno ya Mamba) goli 3 kwa 1.

Wao wanasema ilikuwa ni warm up wakisubiria ligi ambayo mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 1.

Kwa mara ya kwanza niliweza kuwaona mabingwa ambao nimekuwa nikiwasikia kwenye vijiwe tofauti tofauti vya madraft.

Baadhi yao ni Mangwelele, Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Bedui (kawa chapombe siku hizi), Chaula, Ronaldo na Issa Mamba.

Nilifurahi sana kumwona Mangwelele, huyu mwamba nimeanza kumsikia miaka kama 10 iliyopita, dah!
Hao wote nikikutana NAO nawafunga.
 
Back
Top Bottom