noel yupo njombeVipi Noel alikuwepo? Au Amani Siri maarufu kama Mchunguzi, Bad Face je.
Mangwelele vp anacheza au anaangalia maana jamaa anajua bao hadi kashauriwa na dokta asicheze draft.
Daaaah mwaka gani hiyo ndugu??
Vipi Noel alikuwepo? Au Amani Siri maarufu kama Mchunguzi, Bad Face je.
Mangwelele vp anacheza au anaangalia maana jamaa anajua bao hadi kashauriwa na dokta asicheze draft.
Huyo mtu nilicheza nae sana draft pale kiwalaniMwaka sina uhakika nao, nadhani 2019 au 2018.
Mchezo wa kutumia akili kuliko mchezo wowote.Hivi kuna wataalam wa Chess hapa Tanzania tuchuane.
Hongera, mi sijawahi kumuona hata mmoja, ila nasikia ronaldo hatari sanaJana nilipata bahati ya kushuhudia Nusu Fainali pamoja na Fainali ya mashindano ya Draft yaliyofanyika Kinondoni - Manyanya.
Washiriki walikuwa 32, na walioingia nusu ilikuwa:
Ronaldo vs Jamaa mmoja sikulipata jina lake (nadhani ni Salehe au Sahia), Ronaldo alishinda 3 - 1.
Issa Mamba vs Dogo Yassin, Issa Mamba alishinda 3 bila.
Fainali Ronaldo aka Christian Bela akimshinda Issa (Meno ya Mamba) goli 3 kwa 1.
Wao wanasema ilikuwa ni warm up wakisubiria ligi ambayo mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 1.
Kwa mara ya kwanza niliweza kuwaona mabingwa ambao nimekuwa nikiwasikia kwenye vijiwe tofauti tofauti vya madraft.
Baadhi yao ni Mangwelele, Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Bedui (kawa chapombe siku hizi), Chaula, Ronaldo na Issa Mamba.
Nilifurahi sana kumwona Mangwelele aisee.
Hongera, mi sijawahi kumuona hata mmoja, ila nasikia ronaldo hatari sana
Huyo mtu nilicheza nae sana draft pale kiwalani
Ronaldo yuko vyema sana.
Anajiita Scientist, Allien, Field Marshall ...
Mangurere anapashapasha au ndio kastaafu mazima
Alale mahala pema aiseeNdo hivyo Mkuu, ameshatangulia mbele ya haki.
Alale mahala pema aisee
nitawaibukiwa siku nikipata nafasi, japo wazee wa dar nawaheshimu mwaka 2017 niliburuzwa sana pale mapipa.We fika Kinondoni Manyanya, utawakuta.
Mangwelele amebaki kwenye kitengo cha utafiti wa mabao magumu na kufundisha mbinu kwa vijana.
Kijana wake Issa aka Meno Ya Mamba anajitahidi naye, ndiye aliingia Fainali dhidi ya Ronaldo.
Akajinoe upya, draft mchezo mzuri sana, akina mangurere inabidi wafungue centres za kuendeleza hii michezo.
nitawaibukiwa siku nikipata nafasi, japo wazee wa dar nawaheshimu mwaka 2017 niliburuzwa sana pale mapipa.
Umenikumbusha kitambo sana...Hao jamaa hizo ndo shughuli zao, watu wanakesha hapo kwenye madanali.
Wako vizuri aisee, mimi nafurahia sana kuangalia jamaa wanavyocheza, ila hata kuambulia kitu hakuna, maana kumbukumbu sina kabisa.