Daaah..hatari sana.Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.
Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Ebu tupe mbinu za ushindi..mana kufungwa draf aibu sana.Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.
Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Draft sio mchezo wa ushindi, draft limetengenezwa ili michezo yote iwe sare sasa kama akili fupi nduguyangu utachezea kipondo kilasiku.Ebu tupe mbinu za ushindi..mana kufungwa draf aibu sana.
#MaendeleoHayanaChama
dalmax 95% kwang ni mboga tu , ila 100% huwa tunatoa sare hata 4 na kupoteza 1 kwenye michezo 5Hatari lile ishu.
Michezo 5 nalifunga moja linanipiga 3 suluhu 1.
Nyinyi watu acheni uzamani. Piga picha hao mnaowasema nasi tuwaone, kila siku mnaongea tu na hatuoni walau picha zaoHongera sana kwa kunipa update kuhusu mchezo wa draft, mm ni mdau mkubwa sana wa mambo hayo, huyo Mangwengwele au Mangwes aliwahi kunifunga michezo 10 bao 10, kiukweli ameshindikana ktk mchezo wa draft ndio maana siku hizi amekuwa refarii tu, huyo na Noel ni hatari, kuna mwingine simsikii cku hiz anaitwa Shaaban Katoto, wana balaa hao, endelea kutupa habari zao kaka
hahaaaaaKuna sehemu nilipita kucheza draft kucheza kete tatu tu! Nikaambiwa inuka akae mwengine!!
Hiyo zamani. Siku hizi dalmax anakaa.dalmax 95% kwang ni mboga tu , ila 100% huwa tunatoa sare hata 4 na kupoteza 1 kwenye michezo 5
we ni tula ,ujui baoDraft sio mchezo wa ushindi, draft limetengenezwa ili michezo yote iwe sare sasa kama akili fupi nduguyangu utachezea kipondo kilasiku.
Kuwa mjanja kuanzia leo, yoyote unaechezanae we cheza yote mawili yani lakwako na la adui iliujue utakapo cheza yeye atacheza wapi ukijua hivyo tayari umejua kwa kiwango cha juu.
😂 😂 mkuu, mimi sitakagitu kwenda kwenye mashindano sababu sioni faida ila siku ukiingia kwenye miguu yangu ndio utajua.we ni tula ,ujui bao
Mpaka sasa ni nani Bora kwenye mchenzo wa drafting???Kuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.
Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Ni tura , anatafuta kuwa icon, kwa kununua mechiNoel namaloe
Alooo hizo tatu mpya ndio zipi ? Kuna mkoa nlienda nlipangusa kijiwe kizima na watu wake aloo wakanisifia kumbe copy naziangaliaga manyanya pale kina sisco wakiwa wanapangusana, acha kabisaKuna sehemu niliendaga nikakutawanacheza draft nikawaangaliaaaaaaa, nikawaambia kama wanapesakidogo niwafundishe tatu mpya waka nidharau.
Nikawaambia basi ngoja niwapanguse wooote,nikaingia nikapiga vichwa 6. Waka endakumuita sijui nani nikawaambia sichezitena bure wakaleta tikitimaji mimi nikaweka simuyangu basi jamaa walie mleta nilikuwa namuwekea ngumu tupu, dakika 8 hachezi badae kabla mchezo haujaisha akasimama akaondoka maana nilitega manyuklia matupu akakwepa aibu nikachukua tikitimaji nikaendelea na safariyangu.
Tatizo la drafti halina maendeleo wachezaji wote wamechokatu.
Bingwa wa wa draft TZ 2023 alimpiga ronaldo (CR7) chunya. Kwasasa yeye ndio bingwa.Ni tura , anatafuta kuwa icon, kwa kununua mechi
Hao wote nikikutana NAO nawafunga.Jana nilipata bahati ya kushuhudia Nusu Fainali pamoja na Fainali ya mashindano ya Draft yaliyofanyika Kinondoni - Manyanya.
Washiriki walikuwa 32, na walioingia nusu ilikuwa:
Ronaldo vs Saia (Spelling sina uhakika sana) Ronaldo alishinda 3 - 1.
Issa Mamba vs Dogo Yassin, Issa Mamba alishinda 3 bila.
Fainali Ronaldo aka (Christian Bela, Scientist, Alien, Field Marshall) akimshinda Issa (Meno ya Mamba) goli 3 kwa 1.
Wao wanasema ilikuwa ni warm up wakisubiria ligi ambayo mshindi ataondoka na kitita cha shilingi milioni 1.
Kwa mara ya kwanza niliweza kuwaona mabingwa ambao nimekuwa nikiwasikia kwenye vijiwe tofauti tofauti vya madraft.
Baadhi yao ni Mangwelele, Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Bedui (kawa chapombe siku hizi), Chaula, Ronaldo na Issa Mamba.
Nilifurahi sana kumwona Mangwelele, huyu mwamba nimeanza kumsikia miaka kama 10 iliyopita, dah!