Mashindano makubwa ya Draft Tanzania yanatarajiwa kufanyika Tar 7 July, 2021
Mshindi wa kwanza anatarajiwa kuondoka na kitita cha shilingi 700,000/-.
Yamepangwa kufanyikia Kinondoni Manyanya.
Mafundi wote unaowajua wanatarajiwa kuwepo.
Baadhi ya mafundi wanaotarajiwa kuwepo ni:
Ronaldo (Field Marshall), Noel, Issa (Meno ya Mamba), Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Simba Dodoma, Shabani Katoto, Hemedi Gaidi na wengine wengi.
Mtaalamu Mkuu wa Madraft Mr Mangwelele atakuwa mmoja wa waratibu.
Tutaendelea kupeana updates za nini kitakachojiri na kama kuna mabadiliko yoyote.
Update: Mashindano yameahirishwa mpaka Tar 8 August.
Mshindi wa kwanza anatarajiwa kuondoka na kitita cha shilingi 700,000/-.
Yamepangwa kufanyikia Kinondoni Manyanya.
Mafundi wote unaowajua wanatarajiwa kuwepo.
Baadhi ya mafundi wanaotarajiwa kuwepo ni:
Ronaldo (Field Marshall), Noel, Issa (Meno ya Mamba), Nduli, Dogo Sisqo, Dogo Yassin, Simba Dodoma, Shabani Katoto, Hemedi Gaidi na wengine wengi.
Mtaalamu Mkuu wa Madraft Mr Mangwelele atakuwa mmoja wa waratibu.
Tutaendelea kupeana updates za nini kitakachojiri na kama kuna mabadiliko yoyote.
Update: Mashindano yameahirishwa mpaka Tar 8 August.