Wiwachu
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 809
- 924
Yap yap watu wachukue hii ni fursa aisee [emoji115][emoji115][emoji115]Saahizi wametoa tozo ya Youtube. Nibure kuimiliki. So mtu anatakiwa tu kuwa na kamera au simu nzuri ya kurekodi. Ukiweka mechi za mabingwa utapata tu views. Nimeona baadhi ya wadau wanafundisha mule wanapatq views elfu kadhaa.