Mashindano ya kuhifadhi Quran kuanza Aprili 10

Mashindano ya kuhifadhi Quran kuanza Aprili 10

Taja Hospitali hata moja ya Rufaa yenye hadhi Kama Bugando u KCMC,au chuo kikuu chenye hadhi sawa na Tumaini au SAUTI.
Walikuja watu bila shaka ni wa kuwait kutaka kuomba kujenga chuo kikuu cha kiislam ambacho ndicho kingekua cha pili baada ya mlimani alichofanya mtakatifu wa Butiama aliwakatalia kata kata Idd amin akawaambia wakajenge huko Uganda....

Mambo ni mengi bwamdogo
 
Walikuja watu bila shaka ni wa kuwait kutaka kuomba kujenga chuo kikuu cha kiislam ambacho ndicho kingekua cha pili baada ya mlimani alichofanya mtakatifu wa Butiama aliwakatalia kata kata Idd amin akawaambia wakajenge huko Uganda....

Mambo ni mengi bwamdogo
hajui ebu mpe kidogo na jamaa ndo alidimiza waislamu enzi zile kuua miji ya kiislamu ambayo ilikuwa ishaendelea hajui pia mfumo wa namba kweny mitihani uliletwa sababu ya jamaa kubagua waislamu
 
Taja Hospitali hata moja ya Rufaa yenye hadhi Kama Bugando u KCMC,au chuo kikuu chenye hadhi sawa na Tumaini au SAUTI.
Hata hii hapa ya kwetu mkuu
JamiiForums-1836789741.jpg
 
Kwa nini walipwa pesa wakati Quran ingekua bora zaidi ili waendelee kutangaza na kwa wengine.

Vifuani kuna mapafu hakuna utambuzi/akili
Wacha wapewe fedha na magari na tuzo mbalimbali ni juu yao.
 
Aliyeshushiwa alikuwa mtume jamii ya kiarabu na walikuja kuandika kwa kukusanya aya na sura zote walikuwa waarabu ndo maan wewe mpaka leo physiscs unasoma kingereza sio kiswahili labda utafsiri tu kwa kupenda

kwa akili izo lazima ufeli shule
🤣🤣
 
Seriously jamani, hivi hii inasaidia nini watu?

Unakariri kitu kisicho na faida maishani mwako ili iweje?
Nani kakupa jukumu la kuwasemea watu wote duniani?!!!

Kwani wamekuambia lina faida kwako wewe?!!!

Ikiwa kwako halina faida je ni lazima kwa wengine pia lisiwe na faida ?!!!!😳😳😳
 
bro hata shule watu wanakariri hamna ubunifu tatizo ya tabia za kijinga kama wewe kupenda kufuatilia vitu havikuhusu si uwaache
At lease mtu unatoka shuleni unakuwa na kitu cha faida maishani na hatimaye unapata kazi......Kukariri juzuu inakupa kazi gani zaidi ya kufuga majini na kutesa wenzako?
 
Seriously jamani, hivi hii inasaidia nini watu?

Unakariri kitu kisicho na faida maishani mwako ili iweje?
Nadhani matokeo huwa ni tabia binafsi ya mtu,
Ona mtu kama Lavalava alikariri sana hizo ila leo anaimba "chutama nikupelekee moto kwa mpalange"
 
Nadhani matokeo huwa ni tabia binafsi ya mtu,
Ona mtu kama Lavalava alikariri sana hizo ila leo anaimba "chutama nikupelekee moto kwa mpalange"
Usikute haya maneno -"chutama nikupelekee moto kwa mpalange" ni maneno aliyokuwa anaambiwa na mwalimu wake wa madrasat maana wale wanajulikana kwa kubaka wanafunzi wao kama mapadri tu.
 
At lease mtu unatoka shuleni unakuwa na kitu cha faida maishani na hatimaye unapata kazi......Kukariri juzuu inakupa kazi gani zaidi ya kufuga majini na kutesa wenzako?
huna akili wewe ujatembea kazi ya mavi na wasiopata means elimu haina faidi unajiita mbishi huoni kama una matatizo ya akili
 
Back
Top Bottom