Natumia hilo hilosawa juma mpemba njoo online , niambie unatumia jina gani online mimi natumia nyegere , game 6 . afu tutaleta matokea wadau wayajue
Noel Jana kafa 4-1 kwa kiwembe bhanaNadhani manhwerere ndio icon ya madraft hapa bongo
Sehemu yeyote ile ambapo watu wanacheza draft lazima wanajua jina la mangwerere.
Hao kima sisco, meno ya mamba, yassin ronaldo hawajulikani sana
Sema hapo kuna mwamba kutoka njombe anaitwa noeli sijamuona kwenye list
Duuh watu wana matatizo aiseeNoel Jana kafa 4-1 kwa kiwembe bhana
Huyo noel kuna mechi walikutana na ronaldo, noel akashinda goli 2-1 halafu mechi ya marudiano noel akaja kupasuka goli 2-0Kwann ndugu
Kuna vichwa hatari Sana hasa huyo Kiwembe na Cisco, Noel alikuwa anaongoza 1, Kuna muda akapigwa 3 za fasta .Huyo noel kuna mechi walikutana na ronaldo, noel akashinda goli 2-1 halafu mechi ya marudiano noel akaja kupasuka goli 2-0
Sasa bingwa huyo kusikia taarifa kapotea goli 4 ni habari ya kusikitisha sana
Mkuu umeongea kiuzoefu kucheza najua ila sifahamu kama ndo tenge daah umetishanaomba nikusaidie hapa , wanaposema washiriki watapitishwa na mikoa yao wana maana hii, mfano Iringa wachezaji wazuri wa draft tunawajua , sasa ni sisi wanairinga kuamua kupendekeza ni nani akatuwakilisha baada ya kujadiliana kwenye club zetu au kuamua kuandaa mashindano ambayo yatawakilisha wachezaji wotee wa mkoa afu mshindi atashinda ticket ya kwenda kutuwakilsha Dar es salaam katika mashindano ya kitaifa.
Baadhi ya mikoa kutokuwepo kabisaa , hii inatokana na mikoa hiyo kutokuwa na clubs za mchezo wa draft na kupelekea ugumu fulani katika kuwasiliana na wahusika wa mkoa usika lkn pia baadhi ya mikoa kutokuwa na upenzi na huu mchezo au kutokucheza huu mchezo katika sheria pendekezwa hapo juu. Mwisho ni baadhi ya mikoa (katika historia ) kutoa wachezaji wenye uwezo mdogo mnoo .
Unajua huu mchezo haupo kama wengi wajuavyo . Hawa wenzetu wa dar wametuzidi pakubwa mno ktk huu mchezo, kuna kigezo hapo cha omary john 14 hivi hapo umekielewa hicho kigezo ?
- ngoja nikufahamishe ni hivi, wachezaji wengi wanajiona au wanaitwa mabingwa kwasababu ana namna fulani ya kucheza huu mchezo , lkn katika omary john kila mcheza anatakiwa aanze kete zote 7 za vyumba vya mwanzo yaani anatakiwa aanze
Pasati , nugza , meja , kavimba, taa ya treni , mabano na tege . sasa wachezaji wengi wa mikoani utakuta anajua meja lakini mabano hajua au tege hajui , sasa mikoa iliyotajwa kidogo wanaufahamu juu ya hiyo sheria ya omary- john
Kwanin wanaiita omary- john ni kama njia ya kuwaanzi wachezaji wa wili omary na john ambao walipenda kucheza katika utaratibu huo wa kuanza kete zote za mwanzo na kuzipa majina niliyotaja hapo juu.
- Katika mchezo unaoitwa tege . Kuna sheria imesema watacheza tege 4. kwanini wamesema tege na siyo meja , nugza au pasati ?
ni hivi tege ni mchezo unaotaka mchezaji aanze kete ambayo wachezaji wengi wanaamini ni kete dhaifu kama utaanza na kupelekea ufungwe kirahisi na mpinzani wako. Sasa kwasababu wengi wanajua hii itapelekea sare ziwe nyingi na kupelekea mashindano yawe marefu , hivyo kwa kupendekeza wacheze tege basi tunaweza kuokoa muda kwa kuepusha sare zisiwe nyingi.
Ronaldo anamcheka Sana Noel leoHuyo noel kuna mechi walikutana na ronaldo, noel akashinda goli 2-1 halafu mechi ya marudiano noel akaja kupasuka goli 2-0
Sasa bingwa huyo kusikia taarifa kapotea goli 4 ni habari ya kusikitisha sana
Asee lile goli la pili liliwauma sana watu..na pale ndo noeli akaanza kupotea ila kiwembe tunampongeza kumfunga jitu kama lile pia apunguze kucheza izi man 2 man watu Wanawachora sana kwann,cr7 haji sana manyanya?? Kama uliona Jana usiku Sisco alivyokua akicheza kitu kitu alikua anajihami sana kwamba zile copy ni legelege watu wasizichukue..I bet noel akija dar wiki Moja kabla ya mashindano ajiweke fit atafanya makubwa mnoKuna vichwa hatari Sana hasa huyo Kiwembe na Cisco, Noel alikuwa anaongoza 1, Kuna muda akapigwa 3 za fasta .
Jana Sisco alikuwa anafatilia Miguu ya Kiwembe ,
Hii mech ndio inangojewa ,ila Uzuri kina mangwelele wameipanga wakutane kwenye makundi
Hivo wanaweza kukutana pia fainal
Kuna Nduli huyu naye ana balaa ,
Hance amekua mkubwa sikuizi nasikia nlikua course Moja nae chuo uyu bwana mdgo nkamuacha,,anapenda sana madanali, ila ni muoga sana ata akipita sizani kama atakuja last time alipita kwao iringa ila hakuja dar..Mfumo wetu wa ligi utakuwa kama ifuatavyo
1. Ligi itakuwa ya makundi kwa maana yatakuwepo makundi ma nne kila kundi litakuwa na wachezaji wasio punguwa watano
2. Kila kundi litatoa wachezaji wa wili jumla watakuwa 8 wataenda moja kwa moja kwenye robo
3. Aina ya michezo itakayo chezwa
5. Ligi haitakuwa na kiingilio imedhaminiwa na Eng kitova
- kwenye makundi itakuwa miwili mmoja wa nyumbani mmoja wa ugenini
- kuanzia hatua ya robo mpaka fainali itapigwa oj14
4. Zawadi zitakuwa kama ifuatavyo
5. Uamtaratibu wakwenda kwenye mashindano utakuwa kama ifuatavyo
- mshindi 1 -50000/=
- mshindi 2 -30000/=
- mshindi 3 - 20000/=
- mshindi wa kwanza atagharamiwa na kamati ya mashindano
- mshindi wa pili atagharamiwa kila kitu na mdhami wa mbeya Eng kitova. +255 652 572 142
Washiriki watakoa shiriki kuwatafuta wawakilishi wa wa mkoa wa mbeya
- maeneo yatakayo toa washiriki
1. Ilomba
2. Mbalizi
3. Sokomatola
4. Kabwe & songwe
- ilomba
1. Kenny mabao
2. Hance
3. Kiduku
4. Ticha kibegi
5. Mwasapile
6. Raisi wa ilomba
- mbalizi
1. Gabby
2. Dany
3. ............
- Sokomatola
1. Pascal
2. Kelvin
3. Steve nkeka
4. Amasebo
5. Ticha ngao
6. Iddy
- kabwe & songwe
1. Farid
2. Wille mtafiti
3. Amigo
4. Mlangi
5. Fadhiri
6. Peter salu
Kama kuna mchezaji mzuri tumemuacha na anahitaji kukiwasha tuwasiliane
Mkuu mwaka gani wewe MUST pale..Hance amekua mkubwa sikuizi nasikia nlikua course Moja nae chuo uyu bwana mdgo nkamuacha,,anapenda sana madanali, ila ni muoga sana ata akipita sizani kama atakuja last time alipita kwao iringa ila hakuja dar..
Khamis wa MUST,god vp cjawaona apo
Hatujaelewana...naomba nikusaidie hapa , wanaposema washiriki watapitishwa na mikoa yao wana maana hii, mfano Iringa wachezaji wazuri wa draft tunawajua , sasa ni sisi wanairinga kuamua kupendekeza ni nani akatuwakilisha baada ya kujadiliana kwenye club zetu au kuamua kuandaa mashindano ambayo yatawakilisha wachezaji wotee wa mkoa afu mshindi atashinda ticket ya kwenda kutuwakilsha Dar es salaam katika mashindano ya kitaifa.
Baadhi ya mikoa kutokuwepo kabisaa , hii inatokana na mikoa hiyo kutokuwa na clubs za mchezo wa draft na kupelekea ugumu fulani katika kuwasiliana na wahusika wa mkoa usika lkn pia baadhi ya mikoa kutokuwa na upenzi na huu mchezo au kutokucheza huu mchezo katika sheria pendekezwa hapo juu. Mwisho ni baadhi ya mikoa (katika historia ) kutoa wachezaji wenye uwezo mdogo mnoo .
Unajua huu mchezo haupo kama wengi wajuavyo . Hawa wenzetu wa dar wametuzidi pakubwa mno ktk huu mchezo, kuna kigezo hapo cha omary john 14 hivi hapo umekielewa hicho kigezo ?
- ngoja nikufahamishe ni hivi, wachezaji wengi wanajiona au wanaitwa mabingwa kwasababu ana namna fulani ya kucheza huu mchezo , lkn katika omary john kila mcheza anatakiwa aanze kete zote 7 za vyumba vya mwanzo yaani anatakiwa aanze
Pasati , nugza , meja , kavimba, taa ya treni , mabano na tege . sasa wachezaji wengi wa mikoani utakuta anajua meja lakini mabano hajua au tege hajui , sasa mikoa iliyotajwa kidogo wanaufahamu juu ya hiyo sheria ya omary- john
Kwanin wanaiita omary- john ni kama njia ya kuwaanzi wachezaji wa wili omary na john ambao walipenda kucheza katika utaratibu huo wa kuanza kete zote za mwanzo na kuzipa majina niliyotaja hapo juu.
- Katika mchezo unaoitwa tege . Kuna sheria imesema watacheza tege 4. kwanini wamesema tege na siyo meja , nugza au pasati ?
ni hivi tege ni mchezo unaotaka mchezaji aanze kete ambayo wachezaji wengi wanaamini ni kete dhaifu kama utaanza na kupelekea ufungwe kirahisi na mpinzani wako. Sasa kwasababu wengi wanajua hii itapelekea sare ziwe nyingi na kupelekea mashindano yawe marefu , hivyo kwa kupendekeza wacheze tege basi tunaweza kuokoa muda kwa kuepusha sare zisiwe nyingi.
Mm nlikua pale 2020 asee kama ww ni mmoja nliemtaja apo Si mlikua mnacheza apo Kwa chidy kinyozi.."BIG LIE" hamisi alikua bingwa ila hance alikuja juu Zaid..ila Kwa hance alivyokua anapenda madanali nlikua namfananisha na juma mchafu mda wote madanali tuuu...Mkuu mwaka gani wewe MUST pale..
Maana kama umetaja jina langu ila sina uhakika ni mimi au mwingine..
Nilikuaga kipindi flani nachuana sana na bonge (kipindi icho ndo bingwa wa mbeya mstaafu, tulikua nae MUST pale),.
Saivi sichezi sana, mambo yamekua mengi..
Hua napasha na kwatamwivi wa dom baadhi ya siku ananizuilisha sare 3...
All and all kiwango kipo kipo, matula hawawezi nisumbua [emoji23]
tupange siku na muda tupige hizo game sita ili tujue nani mtataNatumia hilo hilo