EXCLUSIVE
Timu: Cr7 Mnyama Vs Fundi Saiya ( Confirmed )
Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )
Zawadi: 100,000/= ( Winner 80k na looser 20k )
Lini: Jumatatu tareh 11 July 2022 saa kumi jioni
Uwanja: Kitunda Stadium
Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu
Mratibu: Kaiza
Photograper: Kaiza ( 5000 )
Kamisaa: Riro (5000)
Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 20 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 25 kila mmoja kama kifuta jasho
Cr7 anapasha misuli na lengo lake apate gemu fitiness Njoo umuone Cr7 live bila chenga ndani ya kitunda Stadium