Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

Mkulima Yupo nje ya Tz Kwenye WhatsApp group la Draft tz anatumia jina Aman sanga Kama sikosei

Huyu jamaa game zake online anatoa vipigo Sana ,

Kule online nadhan hakuna Kama Yeye
Hiyo online ni wapi mzee
Ni app gani mnatumia
 
EXCLUSIVE



Timu: Cr7 Mnyama Vs Fundi Saiya ( Confirmed )




Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )




Zawadi: 100,000/= ( Winner 80k na looser 20k )




Lini: Jumatatu tareh 11 July 2022 saa kumi jioni




Uwanja: Kitunda Stadium




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Kaiza




Photograper: Kaiza ( 5000 )




Kamisaa: Riro (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 20 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 25 kila mmoja kama kifuta jasho


Cr7 anapasha misuli na lengo lake apate gemu fitiness Njoo umuone Cr7 live bila chenga ndani ya kitunda Stadium
 
Nampongeza Fundi Mkubwa Omary Kiwembe mwakikishi wa chama la wakongwe kwa Ushindi mnono alioupata dhidi ya Bingwa wa Dunia👏👏
Hakika inaonyesha Kiwembe amejiandaa vema kuelekea Mashindano ya kumpata Bingwa wa Tanzania 2020,
Kwa upande mwingine nampa pole Noel Namaloe na kupitia mechi hii iwe alarm/wake up call kuongeza maandalizi zaidi.

All in all mchezo hongereni wote mlioshinda Leo Bingwa wa Tanzania Nduli Ndulima dhidi ya Dg Ally na sare kutoka kwa Fundi Saiya na Fundi Yasini. Wote kwa pamoja mmetupa burudani bora na wenye utulivu mkubwa.
 
EXCLUSIVE



Timu: Dogo Sisco Vs Gaidi ( Confirmed )




Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )




Zawadi: 90,000/= ( Winner 75k na looser 15k )




Lini:Jumapili tareh 17 July 2022 saa kumi jioni




Uwanja: Kinondoni Manyanya




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Mkorea




Photograper: Mkorea ( 5000 )




Kamisaa: Beka(5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 15 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 20 kila mmoja kama kifuta jasho


Sisco ndie mfalme wa madraft kwa sasa na Dunia inatambua mchango wake,,,
 
EXCLUSIVE



Timu: Cr7 Mnyama Vs Fundi Saiya ( Confirmed )




Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )




Zawadi: 100,000/= ( Winner 80k na looser 20k )




Lini: Jumatatu tareh 11 July 2022 saa kumi jioni




Uwanja: Kitunda Stadium




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Kaiza




Photograper: Kaiza ( 5000 )




Kamisaa: Riro (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 20 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 25 kila mmoja kama kifuta jasho


Cr7 anapasha misuli na lengo lake apate gemu fitiness Njoo umuone Cr7 live bila chenga ndani ya kitunda Stadium
 
Kesho ligi ya kuwatafuta wawakilishi wa ligi ya kumtafuta bingwa wa Tanzania Kwa mkoa wa iringa itaanza saa sista kamili mchana,washiriki wenye sifa kwa mkoa wa Iringa fikeni Kwa wakati ili kiwake na bingwa apatikane Kwa kete.

Mtuletee Dar bingwa anayejiweza ,sio Round ya kwanza tu Anakula suti
 
MECHI YA KUKATA NA SHOKA HII , BAADA YA LEO KIWEMBE KUMPIGA 4-1 NOEL BINGWA WA NJOMBE


SASA AMEPEWA BINGWA CR7 ,MOJA YA MABINGWA WAKUBWA WA DRAFT TZ


EXCLUSIVE



Timu: Cr7 Mnyama Vs Omary Kiwembe ( Confirmed )




Mdhamini : Dany Denyo ( Tajiri Huyu )




Zawadi: 120,000/= ( Winner 100k na looser 20k )




Lini:Ijumaa tareh 15 July 2022 saa kumi jioni




Uwanja: Kitunda Stadium




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Mkorea




Photograper: Mkorea ( 5000 )




Kamisaa: Beka(5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 20 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 30 kila mmoja kama kifuta jasho


Cr7 anapasha misuli na lengo lake apate gemu fitiness Njoo umuone Cr7 live bila chenga ndani ya kitunda Stadium
 

Attachments

  • IMG-20220707-WA0000.jpg
    IMG-20220707-WA0000.jpg
    74 KB · Views: 45
  • IMG-20220709-WA0022.jpg
    IMG-20220709-WA0022.jpg
    49.5 KB · Views: 44
  • IMG-20220706-WA0006.jpg
    IMG-20220706-WA0006.jpg
    70.6 KB · Views: 40
EXCLUSIVE



Timu: Cr7 Mnyama Vs Masta Mjape ( Confirmed )




Mdhamini : Ismail Gsm




Zawadi: 100,000/= ( Winner 80k na looser 20k )




Lini: Alhamisi tareh 14 July 2022 saa Tisa alasiri




Uwanja: Mbagala kizuiani




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Haji Nguya




Photograper: Abdul Tindwa ( 5000 )




Kamisaa: Fidelisi (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 20 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 20 kila mmoja kama kifuta jasho


Cr7 Mnyama anatengeneza gemu fitiness ili kwenye Bodaboda awe anatiririka tu,,, Ndani ya mbagala kizuiani
 
EXCLUSIVE



Timu: Dogo Ally Vs Dogo Shukuru ( Confirmed )




Mdhamini : Ismail Gsm




Zawadi: 70,000/= ( Winner 55k na looser 15k )




Lini: Jumatano tareh 13 July 2022 saa Tisa alasiri




Uwanja: Mbagala kizuiani




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Haji Nguya




Photograper: Abdul Tindwa ( 5000 )




Kamisaa: Fidelisi (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 15 kwa atakaefungwa na kama ngoma 24 zitaisha sare basi hawa jamaa watapewa elf 15 kila mmoja kama kifuta jasho


Dogo Ally alilalamika kwamba wadhamini hawamuoni sasa mechi zimeanza kufunguka ,,,ndani ya Mbagala kizuiani
 
EXCLUSIVE



Timu: Ally white Vs Masta Mtemi ( Confirmed )




Mdhamini : Mzee Java ( Raisi wa wakongwe wa madanali )




Zawadi: 60,000/= ( Winner 50k na looser 10k )




Lini: Ijumaa, tarehe 15 July 2022 Saa nane kamili mchana




Uwanja: Yombo relini




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Dullah Mabao ( 5000)




Photograper: Dullah Mabao ( 5000 )




Kamisaa: Riro (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 10 kwa atakaefungwa



Hii inaitwa mama Mkanye Mwanao Boss Java Amechafukwa hii ni hatari sana ,,wakongwe wa Madanali 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
 
EXCLUSIVE



Timu: Omary Kiwembe Vs Mtanga ( Confirmed )




Mdhamini : Mzee Java ( Raisi wa wakongwe wa madanali )




Zawadi: 100,000/= ( Winner 90k na looser 10k )




Lini: Alhamisi, tarehe 14 July 2022 Saa kumi kamili jioni




Uwanja:Kinondoni Manyanya




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Masta Mtemi ( 5000)




Photograper: Masta Mtemi( 5000 )




Kamisaa: Chande (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 10 kwa atakaefungwa



Hii inaitwa mama Mkanye Mwanao Boss Java Amechafukwa hii ni hatari sana ,,wakongwe wa Madanali 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
 
EXCLUSIVE



Timu: Mbigili Vs Masta Mtemi ( Confirmed )




Mdhamini : Mzee Java ( Raisi wa wakongwe wa madanali )




Zawadi: 60,000/= ( Winner 50k na looser 10k )




Lini: Jumapili, tarehe 17 July 2022 Saa nane kamili mchana




Uwanja: Kinondoni Manyanya




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Mzee Mangwelele ( 5000)




Photograper: Mkorea ( 5000 )




Kamisaa: Beka (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 10 kwa atakaefungwa



Hii inaitwa mama Mkanye Mwanao Boss Java Amechafukwa hii ni hatari sana ,,wakongwe wa Madanali 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪
 
Back
Top Bottom