Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

Nimefurahia hii. Ila kwa draft, hiyo zawadi ya mshindi wa kwanza ni ndogo sana, bora ingekuwa M5.

Kuna mwamba mmoja ''Msomali'' wa Arusha hapo hajawekwa. Huyo jamaa sijawahi kushuhudia akifungwa...kifupi hafungiki labda uambulie droo na uwe unajua sanaa.

Na haongei kabisa wakati wa kucheza na yupo faster ktk kucheza.
 
Wapo sahihi , tanzania tuna aina yetu ya mchezo ambayo inaitwa Tanzania draughts (sijui kama nimeandika vizuri ) .
-Hapa tunasheria zetu za namna ya kucheza ambazo kimsingi kwa namna fulani zinafanana na draughts za nchi nyingine kama vile American draughts /british draughts. Ila sasa sifa pekee ya Tanzania draughts ni kuwa king can make very long jumps, and can move back and forth . Wakatika american draughts /british draughts yenyewe inafanana kila kitu katika uanzaji wake na Tanzanian draughts lakini yenyewe king haiwezi kumake long jumps . Na kupelekea vitu kama force king kutokuwepo kirahisi ( wacheza wa draft wananielewa hapa nini nasema kama utacheza draft afu force king ziwe hazipo )

- sasa kwa upande wangu mimi nawapongeza sana waliondaa haya mashindano maana siyo tu wanaupromote huu mchezo wa draft Tanzania bali wanapromote kitu cha nyumbani ambacho dunia inatambua kuwa kwa sheria hizi na hizi zinachezwa Tanzania tu . Tofauti na french style of playing , ambayo kama tungeanzisha mashindano yake tunge promote kitu cha kigeni na siyo cha nyumbani.
 
Sasa mnasema washiriki watapitishwa na mikoa yao.,... Wakati we ndio unachagua mikoa.

Lindi, mtwara, znz, pwani, tanga, tabora....
Kuna mabingwa wa draft saana, nyinyi km wasimamiz ndio mlitakiwa kuratibu na sio kusubiria.

Km ndivyo msiite basi kuwa bingwa wa taifa, we unashndana na mtu toka Arusha unajiita bingwa, arusha sijui kilimanjaro na draft ni wap na wap.

Huu ujinga ndio unafany hii michezo ionekane ya kipumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mnasema washiriki watapitishwa na mikoa yao.,... Wakati we ndio unachagua mikoa.

Lindi, mtwara, znz, pwani, tanga, tabora....
Kuna mabingwa wa draft saana, nyinyi km wasimamiz ndio mlitakiwa kuratibu na sio kusubiria.

Km ndivyo msiite basi kuwa bingwa wa taifa, we unashndana na mtu toka Arusha unajiita bingwa, arusha sijui kilimanjaro na draft ni wap na wap.

Huu ujinga ndio unafany hii michezo ionekane ya kipumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
naomba nikusaidie hapa , wanaposema washiriki watapitishwa na mikoa yao wana maana hii, mfano Iringa wachezaji wazuri wa draft tunawajua , sasa ni sisi wanairinga kuamua kupendekeza ni nani akatuwakilisha baada ya kujadiliana kwenye club zetu au kuamua kuandaa mashindano ambayo yatawakilisha wachezaji wotee wa mkoa afu mshindi atashinda ticket ya kwenda kutuwakilsha Dar es salaam katika mashindano ya kitaifa.

Baadhi ya mikoa kutokuwepo kabisaa , hii inatokana na mikoa hiyo kutokuwa na clubs za mchezo wa draft na kupelekea ugumu fulani katika kuwasiliana na wahusika wa mkoa usika lkn pia baadhi ya mikoa kutokuwa na upenzi na huu mchezo au kutokucheza huu mchezo katika sheria pendekezwa hapo juu. Mwisho ni baadhi ya mikoa (katika historia ) kutoa wachezaji wenye uwezo mdogo mnoo .

Unajua huu mchezo haupo kama wengi wajuavyo . Hawa wenzetu wa dar wametuzidi pakubwa mno ktk huu mchezo, kuna kigezo hapo cha omary john 14 hivi hapo umekielewa hicho kigezo ?
- ngoja nikufahamishe ni hivi, wachezaji wengi wanajiona au wanaitwa mabingwa kwasababu ana namna fulani ya kucheza huu mchezo , lkn katika omary john kila mcheza anatakiwa aanze kete zote 7 za vyumba vya mwanzo yaani anatakiwa aanze

Pasati , nugza , meja , kavimba, taa ya treni , mabano na tege . sasa wachezaji wengi wa mikoani utakuta anajua meja lakini mabano hajua au tege hajui , sasa mikoa iliyotajwa kidogo wanaufahamu juu ya hiyo sheria ya omary- john
Kwanin wanaiita omary- john ni kama njia ya kuwaanzi wachezaji wa wili omary na john ambao walipenda kucheza katika utaratibu huo wa kuanza kete zote za mwanzo na kuzipa majina niliyotaja hapo juu.

- Katika mchezo unaoitwa tege . Kuna sheria imesema watacheza tege 4. kwanini wamesema tege na siyo meja , nugza au pasati ?
ni hivi tege ni mchezo unaotaka mchezaji aanze kete ambayo wachezaji wengi wanaamini ni kete dhaifu kama utaanza na kupelekea ufungwe kirahisi na mpinzani wako. Sasa kwasababu wengi wanajua hii itapelekea sare ziwe nyingi na kupelekea mashindano yawe marefu , hivyo kwa kupendekeza wacheze tege basi tunaweza kuokoa muda kwa kuepusha sare zisiwe nyingi.
 
Nadhani manhwerere ndio icon ya madraft hapa bongo

Sehemu yeyote ile ambapo watu wanacheza draft lazima wanajua jina la mangwerere.

Hao kima sisco, meno ya mamba, yassin ronaldo hawajulikani sana

Sema hapo kuna mwamba kutoka njombe anaitwa noeli sijamuona kwenye list
Humjui Cisco, Ronaldo? Noel yupo group E , alikula goli 5 kwa sisco
 
Nimefurahia hii. Ila kwa draft, hiyo zawadi ya mshindi wa kwanza ni ndogo sana, bora ingekuwa M5.

Kuna mwamba mmoja ''Msomali'' wa Arusha hapo hajawekwa. Huyo jamaa sijawahi kushuhudia akifungwa...kifupi hafungiki labda uambulie droo na uwe unajua sanaa.

Na haongei kabisa wakati wa kucheza na yupo faster ktk kucheza.
Anaitwa nan maana Arusha wataleta bingwa wao, na huwa wanaleta bingwa wao anakufa vzr TU,

Unapozungumzia draft TZ unazungumzia Kinondon Manyanya ,hivi hamuelewagi

Mafund wote unaowajua ,lazima afike manyanya akaguliwe kwanza
 
naomba nikusaidie hapa , wanaposema washiriki watapitishwa na mikoa yao wana maana hii, mfano Iringa wachezaji wazuri wa draft tunawajua , sasa ni sisi wanairinga kuamua kupendekeza ni nani akatuwakilisha baada ya kujadiliana kwenye club zetu au kuamua kuandaa mashindano ambayo yatawakilisha wachezaji wotee wa mkoa afu mshindi atashinda ticket ya kwenda kutuwakilsha Dar es salaam katika mashindano ya kitaifa.

Baadhi ya mikoa kutokuwepo kabisaa , hii inatokana na mikoa hiyo kutokuwa na clubs za mchezo wa draft na kupelekea ugumu fulani katika kuwasiliana na wahusika wa mkoa usika lkn pia baadhi ya mikoa kutokuwa na upenzi na huu mchezo au kutokucheza huu mchezo katika sheria pendekezwa hapo juu. Mwisho ni baadhi ya mikoa (katika historia ) kutoa wachezaji wenye uwezo mdogo mnoo .

Unajua huu mchezo haupo kama wengi wajuavyo . Hawa wenzetu wa dar wametuzidi pakubwa mno ktk huu mchezo, kuna kigezo hapo cha omary john 14 hivi hapo umekielewa hicho kigezo ?
- ngoja nikufahamishe ni hivi, wachezaji wengi wanajiona au wanaitwa mabingwa kwasababu ana namna fulani ya kucheza huu mchezo , lkn katika omary john kila mcheza anatakiwa aanze kete zote 7 za vyumba vya mwanzo yaani anatakiwa aanze

Pasati , nugza , meja , kavimba, taa ya treni , mabano na tege . sasa wachezaji wengi wa mikoani utakuta anajua meja lakini mabano hajua au tege hajui , sasa mikoa iliyotajwa kidogo wanaufahamu juu ya hiyo sheria ya omary- john
Kwanin wanaiita omary- john ni kama njia ya kuwaanzi wachezaji wa wili omary na john ambao walipenda kucheza katika utaratibu huo wa kuanza kete zote za mwanzo na kuzipa majina niliyotaja hapo juu.

- Katika mchezo unaoitwa tege . Kuna sheria imesema watacheza tege 4. kwanini wamesema tege na siyo meja , nugza au pasati ?
ni hivi tege ni mchezo unaotaka mchezaji aanze kete ambayo wachezaji wengi wanaamini ni kete dhaifu kama utaanza na kupelekea ufungwe kirahisi na mpinzani wako. Sasa kwasababu wengi wanajua hii itapelekea sare ziwe nyingi na kupelekea mashindano yawe marefu , hivyo kwa kupendekeza wacheze tege basi tunaweza kuokoa muda kwa kuepusha sare zisiwe nyingi.
Shukran kaka umefafanunua vzr sana
 
Mkuu kuna wachezaji wapo tanzania hiii hii wanakuruhusu utumie dalmax na bado wanakufunga yani hao watu ni zaidi ya software najua huamini
Dalmax Kuna watu wanalipa sare 1 na hakipati TZ hii , watu Kama kina Noel, Sisco, au Mkulima hivi Hawa ukitumia dalmax si wanakuua game zote
 
EXCLUSIVE



Timu: Nduli Idd Amini Vs Dogo Ally ( Confirmed )




Mdhamini : Mzee Java ( Raisi wa wakongwe wa madanali )




Zawadi: 70,000/= ( Winner 60k na looser 10k )




Lini: Jumamosi, tarehe 9 July 2022 Saa Tisa Kamili




Uwanja: kinondoni Manyanya




Michezo: 24-Omary John + Tege 10 za mzee Ngapu



Mratibu: Masta Mtemi ( 5000)




Photograper:Masta mtemi( 5000 )




Kamisaa: Chande (5000)




Note: Hakutakuwa na mshindi wa pili ila tutakuwa na nauli ya Shilingi elf 10 kwa atakaefungwa



Boss Java amefungua turbo vijana washindwe wao na Sasa Dogo Ally anasema yeye ni Jeshi la Mtu mmoja na anapambana kivyake Msituni potelea mbali watamuulia mbali
 
Back
Top Bottom