Aigle
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 1,540
- 7,973
wachezaji wengi wazur tanzania wapo ila ni maskini, na hawana konekshen,
Hao wachezaji wenu ni michongo na konekshen, mitoto ya international schools, wengine wamepita kwa magumashi tu ya kubebana na kujuana kwingi hata kuogelea mita 50 bado unaenda kutia aibu unakua mtu wa mwisho..tumeshindwa hata na uganda wana medali moja ya gold..hata kenya wana silver, sisi tuna makalio tu ...wengine wamejipeleka kula perdiem[emoji706][emoji706][emoji706] , michezo iko mingi sana wabongo hawapo , sis nadhan tunaweza bia nyama choma.na kujadili aziz ki na mobeto, na kupiga madili ufisadi pesa za miradi.
Hao wachezaji wenu ni michongo na konekshen, mitoto ya international schools, wengine wamepita kwa magumashi tu ya kubebana na kujuana kwingi hata kuogelea mita 50 bado unaenda kutia aibu unakua mtu wa mwisho..tumeshindwa hata na uganda wana medali moja ya gold..hata kenya wana silver, sisi tuna makalio tu ...wengine wamejipeleka kula perdiem[emoji706][emoji706][emoji706] , michezo iko mingi sana wabongo hawapo , sis nadhan tunaweza bia nyama choma.na kujadili aziz ki na mobeto, na kupiga madili ufisadi pesa za miradi.