Mashindano ya pikipiki Arusha yanasimamiwa na chombo gani cha michezo?

Mashindano ya pikipiki Arusha yanasimamiwa na chombo gani cha michezo?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Ameandika Godbless E. J. Lema kwenye mtandao wa X kuwa:-

"Naambiwa vijana wengi leo wa boda boda wamepata ajali mbaya ktk mashindano haya na wengine watatu wamefariki wakitokea ktk mashindano hayo huko Ngaramtoni leo. Zuieni huu UPUUZI ambao hautazamani wala kuzingatia regulation zozote za mashindano.Damu zao ziwe juu yenu. Sifa bila maarifa ni msiba mkubwa".

Screenshot_20240714-230542_X.jpg
 
Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana. Hata Formula 1 watu wanapata ajali.

Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano. Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.

Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
 
Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana.Hata Formula 1 watu wanapata ajali.
Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano.Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.
Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Mashindano ya Formular 1 yanasimamiwa na Fédération Internationale de l'Automobile(FIA), mashindano ya Arusha yanasimamiwa na taasisi gani??
 
Mashindano ya Formular 1 yanasimamiwa na Fédération Internationale de l'Automobile(FIA), mashindano ya Arusha yanasimamiwa na taasisi gani??
Sijui taasisi gani inasimamia. Ninachojua pia sio lazima mashindano yote ya michezo yasimamiwe na taasisi rasmi. Mtaani kuna mashindano ya michezo mbalimbali ambayo hayasimamiwi na taasisi yoyote rasmi,sembuse hayo ya Arusha yaliyoandaliwa na uongozi wa mkoa.
 
Bongo kila sehemu siasa tu. Hapo lema ni siasa tu, ni kweli simkubali bwana bashite lakini hapa lema analeta siasa, hue da akawa na hoja lakini swali je alihoji hivi kabla au baada ya kuona vifo vimetokea?
 
Watu wengi ni wakurupukaji.
iko hivi..

Mashindano yamefanyika ktk eneo MAALUM hapa Arusha.

Hao wanaosema wamepata ajali na kufa ni mbwa na wacha wafe tuu wapungue. Kwanini?

Wanakusanyana BODABODA ambap si washiriki wa hayo mashindano na kuanza kukimbiza pikipiki either wakiwa wanakuja ktk eneo la mashindao (kuangalia) au baada ya kutoka ktk mashindano (kuangalia) wakirudi walipotoka wanakimbiza pikipiki. Na wanabebana watatu au zaidi hawana protective gears zozote.

Mtu wa hivi AKIFA huwa nafurahi sana maana anapunguza wingi wa watu wapumbavu, wajinga na huwenda angesababisha vifo vya watu wengine wasio na hatia huko mbeleni ni kheri atangulie yeye na upumbavu wake.

Turudi ktk swali.. nani kasimamia? Kuna utaratibu maalumu uliwekwa (registration) na zipo kamati maalumu za kufatilia hilo jambo.

Reference:

Screenshot_20240715_001930.jpg


Bodaboda wa Arusha acha WAFE mie nafurahi sana nikiskia wamekufa ni wajinga sana na hawana cha kupoteza zaidi ya maisha yao tu.
 
Lema anafeli sana anapenda kutunga uongo na uzandiki hivi ndivyo anavyowacha Makonda anachanja mbuga watu wameanza kumpuuza Lema na chadema vijana wa Arusha hawana muda wa udaku!
 

Attachments

  • Screenshot_20240714_233559_X.jpg
    Screenshot_20240714_233559_X.jpg
    275.1 KB · Views: 3
Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana.Hata Formula 1 watu wanapata ajali.
Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano.Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.
Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Aisee kumbe Sir Khan kichwa unafugia nywele tu.
Pamoja na kwamba kila mchezo unakua na regulations lakini pia Kuna registered regulator.
Sio tu MTU anataka kutoa kafara ya damu anaandaa mashindano.
 
Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana.Hata Formula 1 watu wanapata ajali.
Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano.Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.
Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Kuchukia kupoteza wapiga kura wako ni vibaya kwani..Ee ripoti ya Polisi unayo na inasema chanzo cha ajali ni nini?
 
Ameandika Godbless E. J. Lema kwenye mtandao wa X kuwa:-

"Naambiwa vijana wengi leo wa boda boda wamepata ajali mbaya ktk mashindano haya na wengine watatu wamefariki wakitokea ktk mashindano hayo huko Ngaramtoni leo. Zuieni huu UPUUZI ambao hautazamani wala kuzingatia regulation zozote za mashindano.Damu zao ziwe juu yenu. Sifa bila maarifa ni msiba mkubwa".

View attachment 3042553
Mwamposa kawatoa kafara kama kawaida yake
 
Back
Top Bottom