Mashindano ya pikipiki Arusha yanasimamiwa na chombo gani cha michezo?

Mashindano ya pikipiki Arusha yanasimamiwa na chombo gani cha michezo?

Wajinga ndio waliwao. Wacha wajiingize kwenye biashara ya kukatuka mikono,miguu na vichwa.

MOI wapo kwa kazi gani
 
Tatizo ni kuwa wapinzani hawana sera, wanavizia kila kitu kwao ni mwao.

Kibaha mara kwa mara mashoindanoi ya pikipiki Off trial yanfanyika tena wanaandaliwa na watu boinafsi, isiwe mwao.

Mimi nilikuwa sijui, mwanangu ali time livu yake kuja na yeye ashiriki mashindano hayo, ndiyo nikaelewa.

Fikiri, kasafarisha pikipiki mbili za mashindano hayo kutokea Canada na spare za pikipiki na tools zake, ili aingie kwenye mashindano kwa siku moja tu.

Ndipo nilipojuwa kuwa Kibaha yanafanyika hayo mashindano.

Haya ya Makonda sijamwambia lakini kumbe kishapata habari, amejitahidi sana aje lakini bahati mbaya kwake alikuwa kishapanga mambo yake mengine kabla, akashindwa kuyavunja.

Wenye kufanya huo mchezo wanakuwa kama mateja ya huo mchezo. Huwaambii kitu ingawa ajali ni kitu cha kawaida kwenye huo mchezo.
Taasisi gani inasimamia mashindano ya pikipiki Arusha, Kibaha na popote nchi hii mashindano ya aina hiyo yanapofanyika?
 
Kwamba hata yakisimamiwa na hao FIA ndio watu hawafi???.........wewe nawe uko kama lema ...........lema ni kilema
Taasisi gani inayosimamia mashindano ya pikipiki Arusha?
 
Swala si ajali kutokea, ni kwamba lazima kupata kibali toka baraza la michezo na kupewa masharti ya kanuni za kufuatwa na washiriki wote na wasio washiriki.
Tatizo lako ni kutokuwa na ndugu hivyo haujawahi kushiriki kuandaa sherehe yoyote mtaani kwako.
Sahihi
 
Hata kama hayasimamiwi na chombo kilichosajiliwa serikalini lakini ni lazima yapate kibali toka baraza la michezo na hupewa masharti ya usalama wa wachezaji na watu wengine. Mnaoandika maneno ya hovyo mjue michezo si siasa kwani hata ngoma za mitaani husimamiwa na serikali za mitaa kwa kibali chenye masharti na hulipiwa.
Sahihi
 
Wasingepata ajali mngeuliza yanasimamiwa na nani?
Sijui kama wamepata au hawajapata ajali,
Taasisi gani inayosimamia mashindano ya pikipiki Arusha?
 
Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana.Hata Formula 1 watu wanapata ajali.
Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano.Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.
Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Sasa ndio umeandika nn wewe mbulula?
 
Sasa kama vijana wenyewe hawafuati sheria za barabara wategemee nini? Makonda kwa sasa ni mkubwa sana kisiasa kwa Lema.

Sema kuwa Bashite ni mkubwa sana katika kutrka na kuua watu. Ndiyo maana hata watu wakitrkwa Dar lazima wapelekwe Arusha kwanza ili akawape maelekezo ya namna ya kummaliza mhusika na kisha mwili wake wapewe fisi na mamba au uwe chakula cha samaki. Huyu ni mtu mkubwa sana maana ndite anayetoa kibali cha kuondoa roho za watu.
 
Ni chuki tu, kwani hayo mashindano ya pikipiki Arusha yameanza leo?
 
Jamaa una argue kitoto sana asee. Yani mashindano ambayo hayana hata safety controls wewe unatetea tu kisa ushabiki wa kisiasa
We kiazi ni motorcross gani ambayo watu hawapati ajali?
Kwenye mashindano ya jana njia zote zilikaguliwa na kuonekana zinafaa,pia kulikuwa na huduma za dharula.
Sasa we MPUMBAVU ni safety major gani unayotaka.
Chuki zenu dhidi ya Makonda imewafanya kama mazezeta,no reasoning.
 
We kiazi ni motorcross gani ambayo watu hawapati ajali?
Kwenye mashindano ya jana njia zote zilikaguliwa na kuonekana zinafaa,pia kulikuwa na huduma za dharula.
Sasa we MPUMBAVU ni safety major gani unayotaka.
Chuki zenu dhidi ya Makonda imewafanya kama mazezeta,no reasoning.
Ajali zipo kila mahali mkuu hata sehemu zetu za kazi ambazo hakuna mashindano. Nataka kukuuliza kwa mashindano hayo ambayo ni very risk niambie ni regulatory body gani ipo na niambie safety controls zilizopo.

Wewe ndio mpuuzi maana hayo mashindano hata boda kuvaa tu helmet hakuna. Hawana safety gears. Hakuna rescue services incase of accidents. Yani yapo kihuni tu na huyo nyamitako ana bless tu vijana kufa.

Wewe ni kichaa in the fisrt place.

Ulishaona hata hizo circuits za motocross, motogp, n.k kwanza ni circuits ambazo haziingiliani na pedestrians na other motorists. Na kuna safety controls na ndio maana rate ya fatality ni ndogo.

Sasa wewe mwehu ambae akili kisoda unaongelea vitu usivyovijua.

Hata nikikuuliza safety controls ni nini hujui. Kumbaf
 
Ajali zipo kila mahali mkuu hata sehemu zetu za kazi ambazo hakuna mashindano. Nataka kukuuliza kwa mashindano hayo ambayo ni very risk niambie ni regulatory body gani ipo na niambie safety controls zilizopo.

Wewe ndio mpuuzi maana hayo mashindano hata boda kuvaa tu helmet hakuna. Hawana safety gears. Hakuna rescue services incase of accidents. Yani yapo kihuni tu na huyo nyamitako ana bless tu vijana kufa.

Wewe ni kichaa in the fisrt place.
Kweli kabisa,ila uzuri mwaposa yupo hapo atawafufua na wataendelea na maisha

Ova
 
Kwenye mashindano ya jana njia zote zilikaguliwa na kuonekana zinafaa,pia kulikuwa na huduma za dharula.
Njia za mashindano zilikaguliwa na nani?
 
Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana. Hata Formula 1 watu wanapata ajali.

Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano. Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.

Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Wale hawakuwa washindanaji walikuwa washabiki tu wanaenda kuangalia mashindano wakaanza mbwembwe njiani wakienda

Traffic walikataza wao wakakaidi waligongana boda kwa boda sio washiriki wa mbio uwanja wa mbio

Lema naye mwehu haraka za kupost za nini angesubiri taarifa rasmi
 
Back
Top Bottom