Ajali zipo kila mahali mkuu hata sehemu zetu za kazi ambazo hakuna mashindano. Nataka kukuuliza kwa mashindano hayo ambayo ni very risk niambie ni regulatory body gani ipo na niambie safety controls zilizopo.
Wewe ndio mpuuzi maana hayo mashindano hata boda kuvaa tu helmet hakuna. Hawana safety gears. Hakuna rescue services incase of accidents. Yani yapo kihuni tu na huyo nyamitako ana bless tu vijana kufa.
Wewe ni kichaa in the fisrt place.
Ulishaona hata hizo circuits za motocross, motogp, n.k kwanza ni circuits ambazo haziingiliani na pedestrians na other motorists. Na kuna safety controls na ndio maana rate ya fatality ni ndogo.
Sasa wewe mwehu ambae akili kisoda unaongelea vitu usivyovijua.
Hata nikikuuliza safety controls ni nini hujui. Kumbaf