Waiziraili taifa teule,,,,mmeambiwa mkawaone ndugu zake Yesu huko wakikimbizana na mapikipiki
Mashindano ya Formular 1 yanasimamiwa na Fédération Internationale de l'Automobile(FIA), mashindano ya Arusha yanasimamiwa na taasisi gani??Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana.Hata Formula 1 watu wanapata ajali.
Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano.Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.
Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Mashindano ya Formular 1 yanasimamiwa na Fédération Internationale de l'Automobile(FIA), mashindano ya Arusha yanasimamiwa na taasisi gani??
taasisi ya mifupa MOIMashindano ya Formular 1 yanasimamiwa na Fédération Internationale de l'Automobile(FIA), mashindano ya Arusha yanasimamiwa na taasisi gani??
Sijui taasisi gani inasimamia. Ninachojua pia sio lazima mashindano yote ya michezo yasimamiwe na taasisi rasmi. Mtaani kuna mashindano ya michezo mbalimbali ambayo hayasimamiwi na taasisi yoyote rasmi,sembuse hayo ya Arusha yaliyoandaliwa na uongozi wa mkoa.Mashindano ya Formular 1 yanasimamiwa na Fédération Internationale de l'Automobile(FIA), mashindano ya Arusha yanasimamiwa na taasisi gani??
BSSijui taasisi gani inasimamia.
Ninachojua pia sio lazima mashindano yote ya michezo yasimamiwe na taasisi rasmi.
Mtaani kuna mashindano ya michezo mbalimbali ambayo hayasimamiwi na taasisi yoyote rasmi,sembuse hayo ya Arusha yaliyoandaliwa na uongozi wa mkoa.
Bullshit mwenyewe.
Aisee kumbe Sir Khan kichwa unafugia nywele tu.Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana.Hata Formula 1 watu wanapata ajali.
Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano.Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.
Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Kuchukia kupoteza wapiga kura wako ni vibaya kwani..Ee ripoti ya Polisi unayo na inasema chanzo cha ajali ni nini?Kupata ajali kwenye mashindano kama hayo ni jambo la kawaida sana.Hata Formula 1 watu wanapata ajali.
Hao waliopata ajali wakitoka kwenye hayo mashindano hawawezi kumlaumu muandaaji wa hayo mashindano.Ukipata ajali ukiwa unatoka kwenye sherehe ya harusi huwezi kumlaumu bwana harusi.
Kinachomsumbua Lema na wapumbavu wenzake ni chuki waliyobeba dhidi ya Makonda.
Yana regulators , uzuri wanapata na kibali mpaka jeshi la polisi, hawa kurupukiAisee kumbe Sir Khan kichwa unafugia nywele tu.
Pamoja na kwamba kila mchezo unakua na regulations lakini pia Kuna registered regulator.
Sio tu MTU anataka kutoa kafara ya damu anaandaa mashindano.
Mwamposa kawatoa kafara kama kawaida yakeAmeandika Godbless E. J. Lema kwenye mtandao wa X kuwa:-
"Naambiwa vijana wengi leo wa boda boda wamepata ajali mbaya ktk mashindano haya na wengine watatu wamefariki wakitokea ktk mashindano hayo huko Ngaramtoni leo. Zuieni huu UPUUZI ambao hautazamani wala kuzingatia regulation zozote za mashindano.Damu zao ziwe juu yenu. Sifa bila maarifa ni msiba mkubwa".
View attachment 3042553