Mashindano ya pikipiki Arusha yanasimamiwa na chombo gani cha michezo?

Taasisi gani inayosimamia mashindano ya pikipiki Arusha?
Ina maana kira kitu unataka kitoke kwa taasisi je kama ni mtu tu na pesa zake kaamua kuyaandaa? Ohh sijui watu wakiumia itakuwaje .........huko kwenye serikali bima yenyewe iko kama kamari ......je uko tayari kuzungushwa kwenye huduma na bima ni serikali? Mara kipimo hiki hakipo .....dawa hii haipo sasa kama kira kitu hakipo viko wapi???
 
Unafahamu kwamba Tanzania hata kuweka maudhui kwenye channel ya youtube mtandaoni lazima usajiliwe na taasisi, kufanya comedy lazima usajiliwe na taasisi, kufanya usanii lazima usajiliwe??
 
Ungeenda kuendesha ufe wewe mbwa huna faida yoyote hapa nchini
 
Unafahamu kwamba Tanzania hata kuweka maudhui kwenye channel ya youtube mtandaoni lazima usajiliwe na taasisi, kufanya comedy lazima usajiliwe na taasisi, kufanya usanii lazima usajiliwe??
Kusajiliwa ni ishara ya kutojiamini
 
Karibuni telegram group la Mazda CX-5 ili upate maarifa na uelewa juu kutoka Kwa wamiliki wa hapa bongo
 
Kuna hela nyingi Toka arabuni mpaka uchaguzi upite tutashifia mengi
 
Safety ya washiriki ilizangatiwa na waandaji hiyo ndio la muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…