Mashine ya kukamulia Juice ya Miwa

Wapendwa wana jamii, Poleni na majukumu.
Naomba mwenye kujua wapi naweza pata hizi machine za kukamua juice ya miwa na bei zake tafadhari, nafikiria kuanza huo mradi nikiipata hiyo machine kama Mungu akinijaalia.
Asanteni.

nenda pale ubungo mataa ya shekilango business park, zipo za kila aina na kwa bei saafi kulingana na ubora zinaanzia laki hivi.
 
Nenda pale kidongo chekundu, Gerezani wanauza tena bei chee,mi nilinunua apo
 
zipo zile zinazotumia umeme.
Zinapatikana hapa Bongo kweli?
 

Thanks bro very satisfactory infos @ hekimatele.
 
Mwenye kufahamu bei za mashine za kukamulia juisi ya miwa naomba anijuze bei na mahali ninapoweza kuzipata, za umeme na za mikono.
 
Vuta subira wajuaji wanakuja soon
 
Njoo Emafa mashine tools
Utapata mpk za kusaga na kukoboa nafaka pia za chakula cha kuku,kuranda na kuchana mbao. Call 0754559846 or. 0655559846
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…