Mashine ya Rostam inafanyaje kazi na imethibitishwa vipi?

It shouldn't be used for senior level leaders.
 
Kizazi cha kuhoji,safi sana.ila sidhani kama tutapata majibu.mwenye kuijua ID ya ummy amtag ajekujibu.
 
Kabla hazijaingia kwetu zipo mamlaka kama TBS na TFDA bila shaka wameshazipitia na kuzithibitisha ndio maana unaziona mtaani.. Taasisi zetu zinachapa kazi usiku na mchana kuhakikisha usalama wetu, tuko salama..
 
Rostam anajiandaa kupiga tukio ambalo wote mtakaa chini akishirikiana na Makonda
 
Kabla hazijaingia kwetu zipo mamlaka kama TBS na TFDA bila shaka wameshazipitia na kuzithibitisha ndio maana unaziona mtaani.. Taasisi zetu zinachapa kazi usiku na mchana kuhakikisha usalama wetu, tuko salama..
Inasemekena zimetengenezwa na SIDO.
 
Kwenye dharura kama hizi ni sawasawa na mfa maji. Unajaribu kila kitu. Hata kwenye tiba sasa wanajaribu kila kitu - kuanzia dawa ambazo hazijathibitishwa mpaka procedures mpya ambazo hakuna ajuaye kama zinafanya kazi ama la. Na wakati mwingine inakuwa ni ishu ya kisaikolojia zaidi. Hata kama unajua kabisa kuwa kitu hakisaidii kutatua tatizo lakini kama kinaweza kuwaondolea hofu watu basi unakitumia huku ukitafuta njia zingine zilizo bora. Ndicho kinachoendelea kwa sasa duniani. Mambo yakitulia ndiyo tutajua zipi zilikuwa mbivu na zipi zilikuwa mbichi....
 
Uzuri na furaha yangu ni kwamba Wabunge wengi ni Wa CCM na ndio wengi wazee. Hilo tu
 
Wajinga ndio waliwao
Huu ni ujnga wa ccm na utawala uliopo
Rostam has got nothing to kupoteza kama WaTz mtakufa kama nzi
The guy is cooking something
Alirudi kwao Iran kilichomrudisha Tz ni nini?
ccm ni ile ile Jana leo na milele
Mlimpongeza sana jiwe hana jipya alilolifanya zaidi ya kupitia nyayo za waliomtangulia
It's same old same old
** Wizara husika au hata WHO wanapashwa wadhibiti upumbavu huu
 
Unafikiri wabunge, mawaziri, na timu mbalimbali zilizopo pale bungeni wamepokea pasipo kujiuliza ivo viswali ambavyo ata mwanao ukimletea pipi utakumbana na maswali kibao.
 
Nimeona sido wametengeneza the same! Ila za huyu jamaa sijui zimetoka wapi? Tatizo sijawahi Kumuamini. He is too smart with evil motives behind his doings.
 
Nakumbuka kuna kauli ilitamka Serikali hii haitegemei Fedha za misaada toka kwa matajiri sasa hii imekaaje tena?
 
Alafu hili swala linafikirisha, mbona hatujaona machine kama hii kwa nchi zingine au wenzangu mmeona wapi zinatumika kipindi hiki cha corona?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mashine zipo kwa ajili ya decontamination; miye tatizo langu kubwa ni kutumika kwake dhidi ya corona. Maana virusi vya corona vimekuja na mbwembwe zake... maana hizi mashine zingekuwa zinapunguza sana vifo au kukinga watu nchi kama US, UK, na zile nyingine za daraja la kwanza zingejaza hizi mashine kile mtaa...
 
Nimeona mtu kama Ndugai ndani anafanyiwa demo; ila viongozi wetu ni vichwa maji sana. Hapo karibu na mama wesimama hawajavaa Barakoa
 
Rostam anastahili pongezi kwa ushirikiano anaotoa kwenye kukabiliana na hili janga haya mengine ni mengineyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…