Mashine ya Rostam inafanyaje kazi na imethibitishwa vipi?

Mashine ya Rostam inafanyaje kazi na imethibitishwa vipi?

Rostam ni mwizi sasa magufuli atoke pangoni anyoshee kidole ohh wewe ni Fisadi
 

Attachments

  • IMG_20191027_131122.jpg
    IMG_20191027_131122.jpg
    10.1 KB · Views: 1
Mshaurini
Hili wazo pia limenijia maana naona limeanzia mbalimbali.. mashine inazidi kusogezwa tu; mwisho kwa majaji... mwisho...
Mshaurini Magufuli atumie watu wa Sido/veta/udsm,....wa modify magari ya washa washa ya polisi yanyunyizie dawa mitaani hasa dar. Yasiwekwe tu na kusubiri kutumika dhidi ya raia.
 
Kama ingekua na mazara isingepelekwa sehem kama hio na kutumika..nazan inafanya kazi kama sanitizer zinavyofanya kazi
 
Nimeona mara kadhaa ndani ya wiki hii aliyekuwa Mbunge wa Igunga na Mfanyabiashara Maarufu Rostam Aziz akitoa kile kinachoitwa mashine za kunyunyizia dawa zenye kuua virusi. Mashine hizi ni "full body spray" kwamba mtu anaingia mashine zinatoa kitu kama manyunyu au mvuke ambao unadawa zenye kunyunyiza na kwamba dawa hiyo inadaiwa "kuua" virusi vya corona. Maswali:

1. Mashine hiyo imetengenezwa wapi na kwa lengo gani kabla ya ujio wa corona?
2. Je, ni dawa gani inatumika kunyunyizia watu kiasi kwamba wanajiexpose pumzi na ngozi zao kwa dawa hizo?
3. Je, dawa hizo zina vitu gani vyenye uwezo wa kuua corona kwa manyunyu lakini zisiwe na madhara kwa tu kupumulia au kuingia kupitia ngozi?
4. Kutokana na swali la 4; je inawezekana dawa hizi hazina vitu vyovyote vikali (active ingredients) ambazo zinaweza kusababisha kansa (carcinogens)? Visije kuua virusi vya corona lakini vikawa na madhara kwenye chembe za ngozi!
5. Dawa au mashine yoyote ya kufanya tiba inatakiwa ipitiwe utafiti wa kisayansi kuona uwezo wake kufanya unachofanya (efficacy) na kwa usalama (safety). Je, mashine hizi zimefanyiwa utafiti wapi na wa namna gani kuonesha kuwa zinafanya kile inachodaiwa kufanya?
6. Na kutokana na hilo la 5 je mtu akishapita kwenye hii mashine anakuwa amejikinga kwa muda gani? Ni kuwa virusi haviwezi kumgusa (vikimgusa vinakufa kama nzi kwenye moto). Je akibadilisha nguo bado ana "kinga" hiyo?
7. Wizara ya Afya inatakiwa kujibu maswali haya na watu wa TFDA pia.

Haya ni baadhi ya maswali tu. NI wazi kuwa Rostam anataka kutoa msaada na hili ni jambo zuri kweli kweli lakini bila kujibu au kutoa maelezo ya kujibu maswali haya (na labda mengine) ni vizuri watu waangalie na kufikiria mara mbili kabla ya kupita kwenye mashine hizi wakiamini kuwa wameua virusi vya corona na hivyo wako "clear".

Ninachojua ni kuwa mashine za namna hii zimekuwa zikitumika kuspray kwenye maeneo kama aiport, migodi n.k kwa ajili ya decontaminate watu. Na zipo za aina nyingi lakini linapokuja suala la corona ni kwa kiasi gani ziko effective ndio hasa swali langu.

Nje ya hapo, kama majibu ya maswali haya yote yanakubalika kiakili na yana msingi wa kisayansi RA anastahili pongezi za dhati na badala kumsubiria yeye tu serikali iwezeke kwenye kupata vifaa vingi zaidi.

MMM

NB: Mashine hii isije kuwa kama kikombe cha fulani.

BAADHI YA MASHINE ZA AINA HII:

View attachment 1425851

View attachment 1425854
Kwi kwi kwi teh teh.

Yao wao duu ya wenzao midomo juu - Sabah Muchacho.
 
Wasije wakamdanganya Mkuu wetu wakamuwekea mashine hiyo. Huyu jamaa mmh
Hahahaaa exactly My Thoughts

Nimeona alianzia Dar kwa RC
Leo kasogea mjengoni kwa Nduguyai

Asijepeleka Chamwino tu manaake simuamini kabisa huyu gabacholi
 
Nimeona mara kadhaa ndani ya wiki hii aliyekuwa Mbunge wa Igunga na Mfanyabiashara Maarufu Rostam Aziz akitoa kile kinachoitwa mashine za kunyunyizia dawa zenye kuua virusi. Mashine hizi ni "full body spray" kwamba mtu anaingia mashine zinatoa kitu kama manyunyu au mvuke ambao unadawa zenye kunyunyiza na kwamba dawa hiyo inadaiwa "kuua" virusi vya corona. Maswali:

1. Mashine hiyo imetengenezwa wapi na kwa lengo gani kabla ya ujio wa corona?
2. Je, ni dawa gani inatumika kunyunyizia watu kiasi kwamba wanajiexpose pumzi na ngozi zao kwa dawa hizo?
3. Je, dawa hizo zina vitu gani vyenye uwezo wa kuua corona kwa manyunyu lakini zisiwe na madhara kwa tu kupumulia au kuingia kupitia ngozi?
4. Kutokana na swali la 4; je inawezekana dawa hizi hazina vitu vyovyote vikali (active ingredients) ambazo zinaweza kusababisha kansa (carcinogens)? Visije kuua virusi vya corona lakini vikawa na madhara kwenye chembe za ngozi!
5. Dawa au mashine yoyote ya kufanya tiba inatakiwa ipitiwe utafiti wa kisayansi kuona uwezo wake kufanya unachofanya (efficacy) na kwa usalama (safety). Je, mashine hizi zimefanyiwa utafiti wapi na wa namna gani kuonesha kuwa zinafanya kile inachodaiwa kufanya?
6. Na kutokana na hilo la 5 je mtu akishapita kwenye hii mashine anakuwa amejikinga kwa muda gani? Ni kuwa virusi haviwezi kumgusa (vikimgusa vinakufa kama nzi kwenye moto). Je akibadilisha nguo bado ana "kinga" hiyo?
7. Wizara ya Afya inatakiwa kujibu maswali haya na watu wa TFDA pia.

Haya ni baadhi ya maswali tu. NI wazi kuwa Rostam anataka kutoa msaada na hili ni jambo zuri kweli kweli lakini bila kujibu au kutoa maelezo ya kujibu maswali haya (na labda mengine) ni vizuri watu waangalie na kufikiria mara mbili kabla ya kupita kwenye mashine hizi wakiamini kuwa wameua virusi vya corona na hivyo wako "clear".

Ninachojua ni kuwa mashine za namna hii zimekuwa zikitumika kuspray kwenye maeneo kama aiport, migodi n.k kwa ajili ya decontaminate watu. Na zipo za aina nyingi lakini linapokuja suala la corona ni kwa kiasi gani ziko effective ndio hasa swali langu.

Nje ya hapo, kama majibu ya maswali haya yote yanakubalika kiakili na yana msingi wa kisayansi RA anastahili pongezi za dhati na badala kumsubiria yeye tu serikali iwezeke kwenye kupata vifaa vingi zaidi.

MMM

NB: Mashine hii isije kuwa kama kikombe cha fulani.

BAADHI YA MASHINE ZA AINA HII:

View attachment 1425851

View attachment 1425854
Mwanakijiji hakuna mashine kama hizo ambazo zimeonekana Europe kwa sababu wao wana lockdown na kwa haraka haraka tu hakuna anayeweza kujibu hayo maswali, kwa sababu sifikirii kuna hata chembe kuonyesha hizo machine zinafanyaje kazi? Je, ukinyunyiziwa ina maana kwa muda gani huwezi kuwa na vijidudu vya Covid-19 kama ipo? Je, maambukizi yanatoka wapi ie nyumbani kwa watu au mitaani? Suluhisho la huu ugonjwa sio kitu rais jinsi wengi wanavyofikiria.

Ningependa uchunguzi wa kina ufanyike kutathmini hizi mashine zinatumia dawa gani ambayo inanyunyiziwa? Impact yake kwa raia katika kuzuia huu ugonjwa? Vile vile hizo mashine zimetoka wapi?
 
Hahahaaa exactly My Thoughts

Nimeona alianzia Dar kwa RC
Leo kasogea mjengoni kwa Nduguyai

Asijepeleka Chamwino tu manaake simuamini kabisa huyu gabacholi

Naibu rais alishaikubali mashine... Lazima ipelekwe chato kumuokoa mkulu... Hali si shwari kabisa!!
 
Nikivyozani Mimi hiyo mashine ilifaa kuwa closed ili Ile ethanol au sanitizer yao isi evaporate.sasa naziona hizo booth zipo wazi tu..sidhan Kama ipo effective
 
Hakika hili jukwaa limeanza kuludi kwenye heshima yake,hii hoja ndiyo inatakiwa kuisoma na inatakiwa ijibiwe na wataalamu wetu wa afya na wadau wote wenye ujuzi.sisi wengine tunapita,

Ahsante Mzee Mwanakijiji.
 
Back
Top Bottom