Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
India wahandisi wengi tu wamezitengeneza. Full body sanitizers na maeneo kama polisi na magereza wameziweka. We mwenezi wa Chadema uwe unfuatilia mambo ErythrocyteAlafu hili swala linafikirisha, mbona hatujaona machine kama hii kwa nchi zingine au wenzangu mmeona wapi zinatumika kipindi hiki cha corona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu swali lililopo ubaoni ni hili " Je zinafanyaje kazi ya kuzuia corona ? " wewe ukisaidia kutujibu hapa wala hatutahangaikaIndia wahandisi wengi tu wamezitengeneza. Full body sanitizers na maeneo kama polisi na magereza wameziweka. We mwenezi wa Chadema uwe unfuatilia mambo Erythrocyte
Kwani kazi ya sanitizer hujui kazi yake? Unapojitakasa si unakuwa umeua wale virusi wa corona na hapo ndio unakuwa umezuia maambukizi. Au zile sanitizer ulikuwa unazigawa mwembe yanga hata kazi yake ulikuwa hujui!😀😀😀Sasa mkuu swali lililopo ubaoni ni hili " Je zinafanyaje kazi ya kuzuia corona ? " wewe ukisaidia kutujibu hapa wala hatutahangaika
Labda wanaogelea pombe mwili mzima, si wanasema hizo mashine ni sanitizers? HahahaSasa mkuu swali lililopo ubaoni ni hili " Je zinafanyaje kazi ya kuzuia corona ? " wewe ukisaidia kutujibu hapa wala hatutahangaika
Mwili mzima !Kwani kazi ya sanitizer hujui kazi yake? Unapojitakasa si unakuwa umeua wale virusi wa corona na hapo ndio unakuwa umezuia maambukizi. Au zile sanitizer ulikuwa unazigawa mwembe yanga hata kazi yake ulikuwa hujui!😀😀😀
Mimi nimeziona nchi zingine kwenye Mabanda ya kuku kabla ya kuingia kwenye banda la kuku unapita hapo na kupulizwaAlafu hili swala linafikirisha, mbona hatujaona machine kama hii kwa nchi zingine au wenzangu mmeona wapi zinatumika kipindi hiki cha corona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hautaki?Mwili mzima !
Hapo kuna ka ukweli aisee...Mzee unaumia na ukaribu wa Rostam na Serikali JPM,yule ni Kingmaker ameshajua JPM anapendaga nini akajipenyeza.
Sasa kwanini India wamelock down nchi nzima?India wahandisi wengi tu wamezitengeneza. Full body sanitizers na maeneo kama polisi na magereza wameziweka. We mwenezi wa Chadema uwe unfuatilia mambo Erythrocyte
Hoja nzuri.Nimeona mara kadhaa ndani ya wiki hii aliyekuwa Mbunge wa Igunga na Mfanyabiashara Maarufu Rostam Aziz akitoa kile kinachoitwa mashine za kunyunyizia dawa zenye kuua virusi. Mashine hizi ni "full body spray" kwamba mtu anaingia mashine zinatoa kitu kama manyunyu au mvuke ambao unadawa zenye kunyunyiza na kwamba dawa hiyo inadaiwa "kuua" virusi vya corona. Maswali:
1. Mashine hiyo imetengenezwa wapi na kwa lengo gani kabla ya ujio wa corona?
2. Je, ni dawa gani inatumika kunyunyizia watu kiasi kwamba wanajiexpose pumzi na ngozi zao kwa dawa hizo?
3. Je, dawa hizo zina vitu gani vyenye uwezo wa kuua corona kwa manyunyu lakini zisiwe na madhara kwa tu kupumulia au kuingia kupitia ngozi?
4. Kutokana na swali la 4; je inawezekana dawa hizi hazina vitu vyovyote vikali (active ingredients) ambazo zinaweza kusababisha kansa (carcinogens)? Visije kuua virusi vya corona lakini vikawa na madhara kwenye chembe za ngozi!
5. Dawa au mashine yoyote ya kufanya tiba inatakiwa ipitiwe utafiti wa kisayansi kuona uwezo wake kufanya unachofanya (efficacy) na kwa usalama (safety). Je, mashine hizi zimefanyiwa utafiti wapi na wa namna gani kuonesha kuwa zinafanya kile inachodaiwa kufanya?
6. Na kutokana na hilo la 5 je mtu akishapita kwenye hii mashine anakuwa amejikinga kwa muda gani? Ni kuwa virusi haviwezi kumgusa (vikimgusa vinakufa kama nzi kwenye moto). Je akibadilisha nguo bado ana "kinga" hiyo?
7. Wizara ya Afya inatakiwa kujibu maswali haya na watu wa TFDA pia.
Haya ni baadhi ya maswali tu. NI wazi kuwa Rostam anataka kutoa msaada na hili ni jambo zuri kweli kweli lakini bila kujibu au kutoa maelezo ya kujibu maswali haya (na labda mengine) ni vizuri watu waangalie na kufikiria mara mbili kabla ya kupita kwenye mashine hizi wakiamini kuwa wameua virusi vya corona na hivyo wako "clear".
Ninachojua ni kuwa mashine za namna hii zimekuwa zikitumika kuspray kwenye maeneo kama aiport, migodi n.k kwa ajili ya decontaminate watu. Na zipo za aina nyingi lakini linapokuja suala la corona ni kwa kiasi gani ziko effective ndio hasa swali langu.
Nje ya hapo, kama majibu ya maswali haya yote yanakubalika kiakili na yana msingi wa kisayansi RA anastahili pongezi za dhati na badala kumsubiria yeye tu serikali iwezeke kwenye kupata vifaa vingi zaidi.
MMM
NB: Mashine hii isije kuwa kama kikombe cha fulani.
BAADHI YA MASHINE ZA AINA HII:
View attachment 1425851
View attachment 1425854
Huo mtambo ni balaa unaweza sababisha chato atoke pangoniUmejitahidi kuchambua vyema mkuu.
Kwani unapolockdown nchi nzima polisi hawafanyi kazi? Bana Chadema mnafeli wapi?Sasa kwanini India wamelock down nchi nzima?
Hatari sana.Hiyo mtambo ni balaa unaweza sababisha chato atoke pangoni
China zipo kibao hata hapa nchini zipo zimetengenezwa Jeshini na Veta tatizo la watanzania mnapenda kufuatilia udaku tu lakini vitu vya maana hamfuatiliiAlafu hili swala linafikirisha, mbona hatujaona machine kama hii kwa nchi zingine au wenzangu mmeona wapi zinatumika kipindi hiki cha corona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujawahi kumkubali Rostam. Hilo linaeleweka.Nimeona mara kadhaa ndani ya wiki hii aliyekuwa Mbunge wa Igunga na Mfanyabiashara Maarufu Rostam Aziz akitoa kile kinachoitwa mashine za kunyunyizia dawa zenye kuua virusi. Mashine hizi ni "full body spray" kwamba mtu anaingia mashine zinatoa kitu kama manyunyu au mvuke ambao unadawa zenye kunyunyiza na kwamba dawa hiyo inadaiwa "kuua" virusi vya corona. Maswali:
1. Mashine hiyo imetengenezwa wapi na kwa lengo gani kabla ya ujio wa corona?
2. Je, ni dawa gani inatumika kunyunyizia watu kiasi kwamba wanajiexpose pumzi na ngozi zao kwa dawa hizo?
3. Je, dawa hizo zina vitu gani vyenye uwezo wa kuua corona kwa manyunyu lakini zisiwe na madhara kwa tu kupumulia au kuingia kupitia ngozi?
4. Kutokana na swali la 4; je inawezekana dawa hizi hazina vitu vyovyote vikali (active ingredients) ambazo zinaweza kusababisha kansa (carcinogens)? Visije kuua virusi vya corona lakini vikawa na madhara kwenye chembe za ngozi!
5. Dawa au mashine yoyote ya kufanya tiba inatakiwa ipitiwe utafiti wa kisayansi kuona uwezo wake kufanya unachofanya (efficacy) na kwa usalama (safety). Je, mashine hizi zimefanyiwa utafiti wapi na wa namna gani kuonesha kuwa zinafanya kile inachodaiwa kufanya?
6. Na kutokana na hilo la 5 je mtu akishapita kwenye hii mashine anakuwa amejikinga kwa muda gani? Ni kuwa virusi haviwezi kumgusa (vikimgusa vinakufa kama nzi kwenye moto). Je akibadilisha nguo bado ana "kinga" hiyo?
7. Wizara ya Afya inatakiwa kujibu maswali haya na watu wa TFDA pia.
Haya ni baadhi ya maswali tu. NI wazi kuwa Rostam anataka kutoa msaada na hili ni jambo zuri kweli kweli lakini bila kujibu au kutoa maelezo ya kujibu maswali haya (na labda mengine) ni vizuri watu waangalie na kufikiria mara mbili kabla ya kupita kwenye mashine hizi wakiamini kuwa wameua virusi vya corona na hivyo wako "clear".
Ninachojua ni kuwa mashine za namna hii zimekuwa zikitumika kuspray kwenye maeneo kama aiport, migodi n.k kwa ajili ya decontaminate watu. Na zipo za aina nyingi lakini linapokuja suala la corona ni kwa kiasi gani ziko effective ndio hasa swali langu.
Nje ya hapo, kama majibu ya maswali haya yote yanakubalika kiakili na yana msingi wa kisayansi RA anastahili pongezi za dhati na badala kumsubiria yeye tu serikali iwezeke kwenye kupata vifaa vingi zaidi.
MMM
NB: Mashine hii isije kuwa kama kikombe cha fulani.
BAADHI YA MASHINE ZA AINA HII:
View attachment 1425851
View attachment 1425854