Mashine ya Rostam inafanyaje kazi na imethibitishwa vipi?

Rostam ni mwizi sasa magufuli atoke pangoni anyoshee kidole ohh wewe ni Fisadi
 
Mshaurini
Hili wazo pia limenijia maana naona limeanzia mbalimbali.. mashine inazidi kusogezwa tu; mwisho kwa majaji... mwisho...
Mshaurini Magufuli atumie watu wa Sido/veta/udsm,....wa modify magari ya washa washa ya polisi yanyunyizie dawa mitaani hasa dar. Yasiwekwe tu na kusubiri kutumika dhidi ya raia.
 
Kama ingekua na mazara isingepelekwa sehem kama hio na kutumika..nazan inafanya kazi kama sanitizer zinavyofanya kazi
 
Kwi kwi kwi teh teh.

Yao wao duu ya wenzao midomo juu - Sabah Muchacho.
 
Wasije wakamdanganya Mkuu wetu wakamuwekea mashine hiyo. Huyu jamaa mmh
Hahahaaa exactly My Thoughts

Nimeona alianzia Dar kwa RC
Leo kasogea mjengoni kwa Nduguyai

Asijepeleka Chamwino tu manaake simuamini kabisa huyu gabacholi
 
Mwanakijiji hakuna mashine kama hizo ambazo zimeonekana Europe kwa sababu wao wana lockdown na kwa haraka haraka tu hakuna anayeweza kujibu hayo maswali, kwa sababu sifikirii kuna hata chembe kuonyesha hizo machine zinafanyaje kazi? Je, ukinyunyiziwa ina maana kwa muda gani huwezi kuwa na vijidudu vya Covid-19 kama ipo? Je, maambukizi yanatoka wapi ie nyumbani kwa watu au mitaani? Suluhisho la huu ugonjwa sio kitu rais jinsi wengi wanavyofikiria.

Ningependa uchunguzi wa kina ufanyike kutathmini hizi mashine zinatumia dawa gani ambayo inanyunyiziwa? Impact yake kwa raia katika kuzuia huu ugonjwa? Vile vile hizo mashine zimetoka wapi?
 
Hahahaaa exactly My Thoughts

Nimeona alianzia Dar kwa RC
Leo kasogea mjengoni kwa Nduguyai

Asijepeleka Chamwino tu manaake simuamini kabisa huyu gabacholi

Naibu rais alishaikubali mashine... Lazima ipelekwe chato kumuokoa mkulu... Hali si shwari kabisa!!
 
Nikivyozani Mimi hiyo mashine ilifaa kuwa closed ili Ile ethanol au sanitizer yao isi evaporate.sasa naziona hizo booth zipo wazi tu..sidhan Kama ipo effective
 
Hakika hili jukwaa limeanza kuludi kwenye heshima yake,hii hoja ndiyo inatakiwa kuisoma na inatakiwa ijibiwe na wataalamu wetu wa afya na wadau wote wenye ujuzi.sisi wengine tunapita,

Ahsante Mzee Mwanakijiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…